Bilal Waikela ni nani?

Bilal Waikela ni nani?

Al Watan wapi nimesema maneno hayo? Hii ni historia ya waliopigania uhuru wa Tanganyika. Hayo mengine mimi siyajui.
Mbona sasa hutaji Waislamu?

Utapigania vipi uhuru wa Tanganyika na kukumbatia dini inayokutia utumwa kwa kukuambia ukisali lazima uisujudie Maka?

Ukikubali masharti ya hiyo dini wewe Muafrika utakuwa huru kimawazo kweli?

Uislamu ni utumwa. Neno "Islam" linakutaka uwe mtumwa wa Allah.

Allah hayupo. Ni Mungu katungwa tu na waarabu.

Kwa maana nyingine ukikubali kuwa Muislamu, unakubali kuwa mtumwa wa utamaduni wa Waarabu.

Ndiyo maana watu wanasomeshwa Quran Kiarabu hata hawaelewi wanasoma nini.

Ndiyo maana Waislamu wanasali wakielekea Maka.

Sasa utasemaje watu wamepigania uhuru wa Tanganyika ili tu kuubadilisha na uhuru huu na utumwa mbaya sana wa kimawazo wa Uislamu?

Muislamu si mtu huru. Ni mtumwa siku zote.

Jina tu "Islam" maana yake ni kukubali kuwa mtumwa. You submit yourself to another.
 
Mazungumzo yale na Mzee Waikela ndiyo yaliyotengeneza sehemu ya tatu katika
kitabu cha Abdul Sykes na sehemu hiyo nikaipa jina, ''Njama Dhidi ya Uislam (1961 -
1970).''[/QUOTE] mleta hoja unachobisha ni nini watu tunakuambia hapa unatuletea udini unabisha .kama hoja yako ilikuwa ni kutujulisha wanaharakati waliopigania sisi kupata Uhuru,basi hoja yako ungejikita kutuelezea wasifu wao na namna alivyochangia katika harakati.
Ajabu unatuletea habari za mpigania Uhuru huku hoja yako imebezi kwenye uislamu.tena unadiriki kuandika kabisa akaniambia andika uwambie waislamu.nawe ukaandika kitabu njama dhidi ya uislamu.
Alafu unatuambia nilikuwa huzungumzii udini je ulipoandika "njama dhidi ya uislamu " ulikuwa unamanisha nini.kama sio kupandikiza chuki za udini kwa waislamu kwamba mmedhurumiwa sana tangu kudai Uhuru.
Umechemka sana usiwe unatuletea porojo porojo zako hapa za udini ukidai ni harakati za uhuru.unadhani hatuijui fasihi
 
Mbona sasa hutaji Waislamu?

Utapigania vipi uhuru wa Tanganyika na kukumbatia dinibinayokutiabutumwa kwa kukuambia ukisali lazima uisujudie Maka?

Ukikubali masharti ya hiyo dini wewe Muafrika utakuwa huru kimawazo kweli?

Uislamu ni utumwa. Neno "Islam" linakutakabuwe mtumwa wa Allah.

Allah hayupo. Ni Mungukatungwa tu na waarabu.

Kwa maanabnyingine ukikubali kuwa Muislamu, unakubali kuwa mtumwa wa utamaduni wa Waarabu.

Ndiyobmaana watu wanasomeshwa Quran Kiarabu hata hawaelewi wanasoma nini.

Ndiyo maana Waislamu wanasali wakielekea Maka.

Sasa utasemaje watu wamepigania uhuru wa Tanganyika ili tu kuubadilisha na uhuru huu nabutumwa mbaya sana wa kimawazo wa Uislamu?

Muislamu si mtu huru. Ni mtumwa siku zote.

Jina tu "Islam" maana yake ni kukubali kuwa mtumwa. You submit yourself to another.
Al Watan nimekuosoma.
Ahsante.
 
Mazungumzo yale na Mzee Waikela ndiyo yaliyotengeneza sehemu ya tatu katika
kitabu cha Abdul Sykes na sehemu hiyo nikaipa jina, ''Njama Dhidi ya Uislam (1961 -
1970).''
mleta hoja unachobisha ni nini watu tunakuambia hapa unatuletea udini unabisha .kama hoja yako ilikuwa ni kutujulisha wanaharakati waliopigania sisi kupata Uhuru,basi hoja yako ungejikita kutuelezea wasifu wao na namna alivyochangia katika harakati.
Ajabu unatuletea habari za mpigania Uhuru huku hoja yako imebezi kwenye uislamu.tena unadiriki kuandika kabisa akaniambia andika uwambie waislamu.nawe ukaandika kitabu njama dhidi ya uislamu.
Alafu unatuambia nilikuwa huzungumzii udini je ulipoandika "njama dhidi ya uislamu " ulikuwa unamanisha nini.kama sio kupandikiza chuki za udini kwa waislamu kwamba mmedhurumiwa sana tangu kudai Uhuru.
Umechemka sana usiwe unatuletea porojo porojo zako hapa za udini ukidai ni harakati za uhuru.unadhani hatuijui fasihi[/QUOTE]
Tunene,
Hakika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika imejaa Waislam kila kona.
Ukijaribu kuwaondoa utakuwa umetoa sehemu kubwa ya historia ya kweli.

uxvmfJcbhafl3nrElFwMuEdo9uQvJtRdm1R3gPtel34FvWiE3zxmUvUl61drgiadEm6TiXzWlrTE2YoUu2JGZ3W4DLsdFcCgmWy5cUkq_003aLc3MfPlzee9bgxy9Wa4uXb_WX8dzOQjq38DbcwYl4L0MyiXEaA71apSzRESRde9KImmWOmX6SfrWvJHx-dTJ6cGdauXEf_9wNEQZxxS11qHTmGWokx3RhPUZVqWAlIohlvDQ8sqWu1EjDMSrHchaAFas94hkmzcLKFWsHaOkY3UYVcA7DFwLxPR41JFNOOvd7K_n0TAuI-jrXh6zLFiWTgn7FNNVm5d4u4OyEyAcWA4nLxrj7eHZw0Q1NXWwQZjZTopXUbqVfRNKBcRDpz-JP1k2tTkWO8RgnBGpHTV550ZxVx-aWY5E5zqODKfIIgKjdnFPrxOVc0G3tvMZROd0ldRhXDBz3VAREKlGorH3yGjGYsy0o3X4hz0P7WylT-12ozXI-TeSlREoAY7o6nLf46Qy2SmTVsVnsl8q39uc2VPE426ngbSoh6sUFJVU5efwCfwQKX9vicz3wZSHoVKx8ylh6co9xlO6K4zHLoZ_AkiWgcYe20pbFHx8s-ZgBtBW3x2FrfHXQ=w880-h545-no


Kitabu cha Abdul Sykes kilipochapwa London mwaka wa 1998 kilipofika Dar
es Salaam kishindo kilikuwa kikubwa.

Walipigwa na butwaa wale waliokuwa wanaijua historia ya uhuru kupitia
historia rasmi iliyoandikwa na Chuo Cha Kivukoni mwaka wa 1981.

Ndani ya kitabu cha Kivukoni historia ya TANU ilikuwa imefuta majina mengi
ambayo ndiyo haya sasa mnayasoma hapa ya akina Sheikh Hassan bin Amir,
Bilai Rehani Waikela na kubwa matatizo yaliyotokea baada ya uhuru moja
ikiwa ni hili la kufuta historia ya kweli na kuweka nyingine.

Kuwa mimi nimeandika historia ya Waislam wala sikatai.
Hiyo ndiyo ilikuwa nia yangu khasa.

Kuwa palikuwa na njama dhidi ya Uislam baada ya uhuru ni historia ya uhuru
wa Tanganyika atakae anaweza akasoma akajua kilitokea nini na nani walikuwa
wahusika wakuu.

Ikiwa kuna mtu anakerwa na kuandikwa kwa historia hii hiyo ni bahati mbaya
kwake.

Ikiwa utaona hizi ni ''porojo,'' una uhuru wa mawazo yako siwezi kukuingilia.

Unaweza hata ukakataa kuamini kama kulikuwa na Abdul Sykes na nduguye
Ally wakaunda TANU kutoka African Association aliyoasisi baba yao mwaka wa
1929 wakiwa na Nyerere na vijana wengine waliokuwa Dar es Salaam ya 1950s.

Uhuru ni wako.
Nakuona umeghadhibika.

Hili ni katika jambo moja ambalo mimi sikulitegemea wakati naandika historia
hii.

Sikutegemea hata siku moja kuwa historia hii ya wazee wangu itawaumiza
baadhi ya watu.
 
Mbona sasa hutaji Waislamu?

Utapigania vipi uhuru wa Tanganyika na kukumbatia dini inayokutia utumwa kwa kukuambia ukisali lazima uisujudie Maka?

Ukikubali masharti ya hiyo dini wewe Muafrika utakuwa huru kimawazo kweli?

Uislamu ni utumwa. Neno "Islam" linakutaka uwe mtumwa wa Allah.

Allah hayupo. Ni Mungu katungwa tu na waarabu.

Kwa maana nyingine ukikubali kuwa Muislamu, unakubali kuwa mtumwa wa utamaduni wa Waarabu.

Ndiyo maana watu wanasomeshwa Quran Kiarabu hata hawaelewi wanasoma nini.

Ndiyo maana Waislamu wanasali wakielekea Maka.

Sasa utasemaje watu wamepigania uhuru wa Tanganyika ili tu kuubadilisha na uhuru huu na utumwa mbaya sana wa kimawazo wa Uislamu?

Muislamu si mtu huru. Ni mtumwa siku zote.

Jina tu "Islam" maana yake ni kukubali kuwa mtumwa. You submit yourself to another.
Ni wapi ulikoyatoa haya yote? nitajie kitabu na kurasa nami nipite humo
Laa ikiwa huna basi acha tabia ya kusikiliza maneno ya watu kisha weye ukayafanya reference katika mazungumzo yako. Huwezi kuichalenge dini yeyote sikwambii Uislamu bila kwanza kukaa darasani hata ukajua kuwa kabla ya Waislamu kuelekea Makka walikua wanaelekea wapi na kwanini sasa wanaelekea huko wanakoelekea
 
Ni wapi ulikoyatoa haya yote? nitajie kitabu na kurasa nami nipite humo
Laa ikiwa huna basi acha tabia ya kusikiliza maneno ya watu kisha weye ukayafanya reference katika mazungumzo yako. Huwezi kuichalenge dini yeyote sikwambii Uislamu bila kwanza kukaa darasani hata ukajua kuwa kabla ya Waislamu kuelekea Makka walikua wanaelekea wapi na kwanini sasa wanaelekea huko wanakoelekea
Kabla ya kuelekea Maka walikuwa waelekea Jerusalem. Ujinga huohuo.

Kasome "The Philosophy of Religion: An Anthology".

Kasome Part 3

PART III: THE PROBLEM OF EVIL AND OTHER ATHEOLOGICAL ARGUMENTS. David Hume: "The Argument from Evil." Leibniz: "Theodicy." John Hick: "Evil, Theodicy, and Soul-Making." EdwardMadden and Peter Hare: "A Critique of Hick's Soul-Making Theodicy." John Mackie: "The Problem of Evil Proves Atheism." Alvin Plantinga: "The Free Will Defense." William Rowe: "The Inductive Argument from Evil Against the Existence of God." Sigmund Freud: "The Future of an Illusion." Paul Draper: "Evolution and the Problem of Evil." Bibliography.

Kasomekwa nini mUngu huyu wa Wakristo na Waislamu, mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote, ni wa uongo tu,hawezi kuwepo,kwa sababu dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe.

Kisha uje tuendelee kujibizana baada ya wewe kumaliza kusoma hayo.

Kamakweli unataka kujua habari za vitabu.
 
Ni wapi ulikoyatoa haya yote? nitajie kitabu na kurasa nami nipite humo
Laa ikiwa huna basi acha tabia ya kusikiliza maneno ya watu kisha weye ukayafanya reference katika mazungumzo yako. Huwezi kuichalenge dini yeyote sikwambii Uislamu bila kwanza kukaa darasani hata ukajua kuwa kabla ya Waislamu kuelekea Makka walikua wanaelekea wapi na kwanini sasa wanaelekea huko wanakoelekea
Boywise,
Nakusihi usimame hapo hapo ulipofika panatosha hapana tija katika mjadala huu.
Muislam unatakiwa ujiweke mbali na yeyote anaeleta yasiyofaa katika dini ya Allah.

Huu ulikuwa mjadala wa historia ya Bilal Rehani Waikela ghafla umebadilishwa na
kuwa kitu kingine.

Nakusihi usimjibu.
Haya nikuambiayo ni katika mafunzo mema na akida njema za waja wema waliotangulia.
 
Tena dini zenyewe bora hata zingekuwa zetu kweli.

Zote za kuletewa na meli.


Zote zina mambo tofauti sana na tamaduni zetu.

Na tumezibugia kama mtu mwenye njaa kwenye dhifa.
mchango huu hautofautiani na aliyeulizwa cheti akajibu madawa ya kulevya!!! kumbe u alwatan uko namna nyingi!!😀😀😀
 
Kabla ya kuelekea Maka walikuwa waelekea Jerusalem. Ujinga huohuo.

Kasome "The Philosophy of Religion: An Anthology".

Kasome Part 3

PART III: THE PROBLEM OF EVIL AND OTHER ATHEOLOGICAL ARGUMENTS. David Hume: "The Argument from Evil." Leibniz: "Theodicy." John Hick: "Evil, Theodicy, and Soul-Making." EdwardMadden and Peter Hare: "A Critique of Hick's Soul-Making Theodicy." John Mackie: "The Problem of Evil Proves Atheism." Alvin Plantinga: "The Free Will Defense." William Rowe: "The Inductive Argument from Evil Against the Existence of God." Sigmund Freud: "The Future of an Illusion." Paul Draper: "Evolution and the Problem of Evil." Bibliography.

Kasomekwa nini mUngu huyu wa Wakristo na Waislamu, mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote, ni wa uongo tu,hawezi kuwepo,kwa sababu dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe.

Kisha uje tuendelee kujibizana baada ya wewe kumaliza kusoma hayo.

Kamakweli unataka kujua habari za vitabu.
😀😀😀 unakataa yaliyokuja na meli unaleta yaliyokuja na meli!! kama si mahaba yaliyokithiri basi kuna jambo kubwa nyuma limejificha
 
mchango huu hautofautiani na aliyeulizwa cheti akajibu madawa ya kulevya!!! kumbe u alwatan uko namna nyingi!!😀😀😀
Unakataa kwamba hizi dini ni za uongo?

Unakataa kwamba hazijaletwa kwetu na meli?

Unafikiri huyo msomi wenu Mohamed Said alivyokubali yaishe alikuwa mjinga ?
 
Unakataa kwamba hizi dini ni za uongo?

Unakataa kwamba hazijaletwa kwetu na meli?

Unafikiri huyo msomi wenu Mohamed Said alivyokubali yaishe alikuwa mjinga ?
Nimekuuliza swali jibu kwanza kabla yakuanza kurukaruka kama bisi kwenye kikaango! Nilijua unakuja na quote ya kwako nimeshangaa umekuja na yaliyokuja na meli!!! Ukiwa muongo usiwe msahaulifu mkuu!
 
Boywise,
Nakusihi usimame hapo hapo ulipofika panatosha hapana tija katika mjadala huu.
Muislam unatakiwa ujiweke mbali na yeyote anaeleta yasiyofaa katika dini ya Allah.

Huu ulikuwa mjadala wa historia ya Bilal Rehani Waikela ghafla umebadilishwa na
kuwa kitu kingine.

Nakusihi usimjibu.
Haya nikuambiayo ni katika mafunzo mema na akida njema za waja wema waliotangulia.
Mohamed Said.

Kuna Shehe mmoja wa Unguja, enzi za mihadhara, alikuwa akisema "Muislamu haogopi challenge".

Usiogope challenge, elimisha. Hususan kwa wanaotaka kulumbana nawe kielimu.

Kuna watu tunatafuta ukweli. Usomi. Ujuzi.

Hata kama tukionekana machakaramu kwa juu juu.

Kukuonyesha tu kwamba nipo serious, kila mwaka lazima nisome angalau kitabu kimoja kizuri cha historia ya Uislamu. Bila hata ya kuwa mwanahistoria wala kwenye kada yoyote iliyo karibu na mambo hayo kikazi, utashi tu. Ili nisije kuwa mjinga nisiyejua mambo. Mwaka jana nimesoma "A History of the Arab Peoples" cha marehemu Profesa
Albert Hourani. Unasoma unaona kama uko darasani kwake hapo Oxford.

Sasa hivi nasoma "The Islamic Enlightenment: The Struggle Between Faith and Reason, 1798 to Modern Times" cha Christopher De Bellaigue kimetoka mwaka huu tu. Kinanipeleka Cairo, Tehran, Istanbul na Baghdad. Mpaka Medina na Mecca. Utamaduni tajiri na ulio tata. Muandishi amekataa kwamba Uislamu hauna enlightenment, amesema ni makosa kwa watu wa magharibi kusema kwamba Uislamu hauna enlightenment, akajenga hoja zake, namsoma bado.

Vitabu vizuri sana.

Vinanipa maarifa mapana ya kukataa dhana potofu na fupi kwamba Uislamu ni ushenzi tu.

Lakini bado havijaweza kunibadili mawazo kwamba Uislamu (na Ukristo pia) ni dini za kutungwa na watu tu. Na hivyo, zina mabaya na amzuri mengi, kwa sababu zimetaka ku cover mengi kuanzia zamani sana.

Humo kumejadiliwa mpaka historia ya mijadala katika Uislamu, na upinzani kati ya waliosema mijadala ni mizuri na wale waliosema mijadala haitakiwi. Waliosema Quran inatosha hatuhitaji kitabu kingine na waliosema hata vitabu vitakatifu vyenyewe vimesema itafuteni elimu hata China.

Kwa hivyo, uzuri tuwekeane heshima tu.

Mimi nakujua wewe maalim, kama utapata muda, na kama hiki kitabu kipya hujakipata bado, niko tayari kukutumia maana unaweza kuongezea mawili matatu ukipata muda.

Lakini mimi nachuklulia uislamu kama utamaduni wa watu tu. Si dini ay Mungu.

Kwa sababu Mungu anayesemwa katika Uislamu na Ukristo hayupo.

Kwa sababu sijajibiwa kuhusu contradiction ya Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote ambaye kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea.

518bRypDT0L._SX336_BO1,204,203,200_.jpg


61GepBYfFnL._SX327_BO1,204,203,200_.jpg
 
Nimekuuliza swali jibu kwanza kabla yakuanza kurukaruka kama bisi kwenye kikaango! Nilijua unakuja na quote ya kwako nimeshangaa umekuja na yaliyokuja na meli!!! Ukiwa muongo usiwe msahaulifu mkuu!
Wewe hata swali hulijui ni nini utajua kama umeniuliza swali au umejiharishia tu?

Swali uliloniuliza liko wapi?
 
Wewe hata swali hulijui ni nini utajua kama umeniuliza swali au umejiharishia tu?

Swali uliloniuliza liko wapi?
Unafikiri akili ikishakuwa mgando unaweza kuona swali au maswali? Inatosha nimetambua uwezo wako wa kufikiri!!! Huwezi kujibu usichokaririshwa acha kuhemka!! 😀😀😀

zingatia hapo bold na midhali bado unasoma hakuna namna elimu. elimu, elimu itakusaidia lakini si kuamini kibubusa!!
 
Unafikiri akili ikishakuwa mgando unaweza kuona swali au maswali? Inatosha nimetambua uwezo wako wa kufikiri!!! Huwezi kujibu usichokaririshwa acha kuhemka!! 😀😀😀

zingatia hapo bold
Hapo ulichofanya ni kugundua kwamba huwezi kunionyesha hilo swali, kwa sababu halipo.

Sasa unasepa kiaina.

Ungekuwa mtu mwenye kuweza kutambua uwezo wangu wa kufikiri usingekuwa mtu wa kufyata mkia kirahisi hivi na kukimbia kitu rahisi kama kuipa kauli yako nguvu kwa kutoa ushahidi.

Umesema umeniuliza swali.

Nimekuuliza swali liko wapi? Umeshindwa hata kulionyesha hilo swali.

Wewe ni muongo. Unasema umeuliza swali wakati hujauliza. Wakati huwezi kututhibitishia kwamba umeuliza.

Kwa nini ukisema lolote mtu yeyote akuamini?
 
Hafanyiwi istihizai Allah nawe ukaa katika kundi hilo. Ondoka mahali hapo hadi wamerejea katika mazungumzo mengine.
 
Hapo ulichofanya ni kugundua kwamba huwezi kunionyesha hilo swali, kwa sababu halipo.

Sasa unasepa kiaina.

Ungekuwa mtu mwenye kuweza kutambua uwezo wangu wa kufikiri usingekuwa mtu wa kufyata mkia kirahisi hivi na kukimbia kitu rahisi kama kuipa kauli yako nguvu kwa kutoa ushahidi.

Umesema umeniuliza swali.

Nimekuuliza swali liko wapi? Umeshindwa hata kulionyesha hilo swali.

Wewe ni muongo. Unasema umeuliza swali wakati hujauliza. Wakati huwezi kututhibitishia kwamba umeuliza.

Kwa nini ukisema lolote mtu yeyote akuamini?
Jifurahishe kibashitebashite!😀😀😀

Hoja iliyo mezani Bilali Waikela ni nani?
 
Jifurahishe kibashitebashite!😀😀😀

Hoja iliyo mezani Bilali Waikela ni nani?
Umesema umeuliza swali ambalo hata huwezi kulionyesha liko wapi.

Huwezi hata kutuambia hoja iliyo mezani ni ipi ukaaminika.
 
Boywise,
Nakusihi usimame hapo hapo ulipofika panatosha hapana tija katika mjadala huu.
Muislam unatakiwa ujiweke mbali na yeyote anaeleta yasiyofaa katika dini ya Allah.

Huu ulikuwa mjadala wa historia ya Bilal Rehani Waikela ghafla umebadilishwa na
kuwa kitu kingine.

Nakusihi usimjibu.
Haya nikuambiayo ni katika mafunzo mema na akida njema za waja wema waliotangulia.
Shukran.
 
Back
Top Bottom