Bile acid reflux inanisumbua

Bile acid reflux inanisumbua

weteam

Member
Joined
Jun 10, 2024
Posts
22
Reaction score
120
Habari naomba kusaidiwa dawa ya kupona bile acid reflux, nilienda hospital baada ya kuwa nasumbuliwa sana na tumbo kuwaka moto kama naungua tumboni baada ya kipimo cha endoscopy shida ilionekana mlango wa chini wa tumbo upo wazi nyakati zote( sphincter pyloric) kwahiyo unaruhusu alkaline kutoka utumbo mdogo kuingia katika tumbo, tumbon ni acid na utumbo una alkaline sasa vikiwa mixed ndo inatokea hicho kitu kama moto tumboni pia nikaonekana nina michubuko tumboni, nilipewa dawa protonex 40mg na gel lakini shida ndo kama vile inazidi mtu yoyote aliyepona tatizo kama langu naomba msaada nateseka siwezi kula maisha yangu yamekuwa ya huzuni
 
Habari naomba kusaidiwa dawa ya kupona bile acid reflux, nilienda hospital baada ya kuwa nasumbuliwa sana na tumbo kuwaka moto kama naungua tumboni baada ya kipimo cha endoscopy shida ilionekana mlango wa chini wa tumbo upo wazi nyakati zote( sphincter pyloric) kwahiyo unaruhusu alkaline kutoka utumbo mdogo kuingia katika tumbo, tumbon ni acid na utumbo una alkaline sasa vikiwa mixed ndo inatokea hicho kitu kama moto tumboni pia nikaonekana nina michubuko tumboni, nilipewa dawa protonex 40mg na gel lakini shida ndo kama vile inazidi mtu yoyote aliyepona tatizo kama langu naomba msaada nateseka siwezi kula maisha yangu yamekuwa ya huzuni
Pole sana
 
Jaribu
Kumeza punje 2 au 1 ya kitunguu saumu (garlic) asubuhi kabla ya kula chochote. Ikate vipande vidogo imeze na maji kama vidonge(tablets).
Wakati wa kifungua kinywa (chai) weka Tangawizi (ginger) mbichi ndiyo bora, pamoja na pilipili mtama/manga (black seed) kidogo.
Tangawizi unaweza tafuna kidogo na kunywa maji endapo hakuna breakfast.
Kunywa maji mara nyingi kutwa nzima.
Fanya hivyo angalau siku 5 mfululizo utapata nafuu au kupona kabisa.
Usitumie pilipili, ndimu au limao kwa siku hizo zote.
Ukipata maziwa fresh na hiyo tiba utakuwa vizuri haraka.
Mchana au usiku rudia hiyo dozi.
Ukikosa pilipili mtama siyo tatizo Sana utapata nafuu tu.

Ombi: Ukipata nafuu au kupona na hii tiba lete majibu hapa tusaidie wengine.
 
Usipende kula ndizi mbivu, nanasi pia. Ikikulazimu kula kidogo baada ya chakula cha asubuhi au mchana.

Usile papai kabla ya kula chakula kingine au kabla ya kifungua kinywa(breakfast).
 
Anza hiyo tiba jioni ya leo kabla ya chakula cha usiku.
Chemsha chai tumia hivyo vitu.
 
Upo dsm?
Nilishawahi kuwa na hilo tatizo,kuna dawa nilipewa tatizo likaisha..naomba uni dm kuanzia next week.
Hopefuly utapona.
 
Habari naomba kusaidiwa dawa ya kupona bile acid reflux, nilienda hospital baada ya kuwa nasumbuliwa sana na tumbo kuwaka moto kama naungua tumboni baada ya kipimo cha endoscopy shida ilionekana mlango wa chini wa tumbo upo wazi nyakati zote( sphincter pyloric) kwahiyo unaruhusu alkaline kutoka utumbo mdogo kuingia katika tumbo, tumbon ni acid na utumbo una alkaline sasa vikiwa mixed ndo inatokea hicho kitu kama moto tumboni pia nikaonekana nina michubuko tumboni, nilipewa dawa protonex 40mg na gel lakini shida ndo kama vile inazidi mtu yoyote aliyepona tatizo kama langu naomba msaada nateseka siwezi kula maisha yangu yamekuwa ya huzuni
Ndugu unahitaji tiba ya kweli na tiba hiyo inaanza na wewe ulaji wa vyakula achana na ulaji wa wali, maharagwe, na vyakula vya asidi. Unaweza angalia vyakula hivi Organic foods you must know Alafu tumia viungo vingi kwa wiki mbili kwenye chai Yako usitumie sukari badala yake tumia asali au tende tende pia huwezakutumika kuteneneza sukari google utaona. Kwa ushauri zaidi ni Dm
 
Ndugu unahitaji tiba ya kweli na tiba hiyo inaanza na wewe ulaji wa vyakula achana na ulaji wa wali, maharagwe, na vyakula vya asidi. Unaweza angalia vyakula hivi Organic foods you must know Alafu tumia viungo vingi kwa wiki mbili kwenye chai Yako usitumie sukari badala yake tumia asali au tende tende pia huwezakutumika kuteneneza sukari google utapona. Kwa ushauri zaidi ni Dm
Kweli.
Tena wali bila mboga ni mbaya Sana kwa mtu mwenye shida ya acid reflux.
Akitumia huo awekechuzi wa kutosha na mboga za majani. Mfano mchicha, Chinese, Swiss chard, spinach, n.k.
 
Back
Top Bottom