Bili yako ya maji mwezi Februari inaendana na uhalisia wa matumizi yako?

Bili yako ya maji mwezi Februari inaendana na uhalisia wa matumizi yako?

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu salam,

Bili za mwezi Februari zimetoka, jamani huku kwetu Mbezi Beach kila mtu anashangaa ubambikaji wa bili hizi. Yaani kwa kila mtu bili imeshoot kuliko kawaida wakati matumizi ni ya kawaida, sio kwamba ni shule au labda unafanya biashara ya kuuza maji.

Tena cha kushangaza zaidi ni kuwa maji yamekuwa ni ya kusuasua zana, mnakaa siku tatu nne hakuna maji, maji yakitoka presha ni ndogo sana yaani hata hayapandi kwenye matenki. DAWASA walitoa ushauri watu tuweke pump za maji lakini kutokana na presha ilivyo ndogo hata kuwa na pump ni kituko, maana zinakosa cha kubust, halafu eti bili inakuja umetumia unit 40, 50! Kivipi? Kwa maji yapi ya kufikia unit hizo?

Imagine kwenye nyumba mko watano, watatu hamshindi nyumbani, kuna safari za kufanya msiwepo nyumbani kwa wiki au hata zaidi, maji yanasua sua unaweza kusema kwa mwezi mmepata maji siku nzima bila kukata labda siku 3 halafu bili inakuja unit 40+, inaingia akilini kweli? Wizara ya Maji

Kama ndio mita zinahesabu upepo hii ya sasa imetia fora, itakuwa pump zinapigwa na kimbuka huko chini mpaka kupata units zote hizo.

Kwa upande wenu hali ikoje Wakuu? Bili zimekuja na uhalisia?

Wizara ya Maji
 
Wanatafuta za uchaguzi hao umbwa kuna jamaaa zangu wa huko kibamba wanalalamika maji hakuna mwezi wa pili ila ngoma imekuja wanadaiwa mara tano ya bili halali ilhali maji hayakuwepo, poleni sana wadanganyika wenzangu ikumbukwe kuwa mama anaupiga mwingi.
 
Wakuu salam,

Bili za mwezi Februari zimetoka, jamani huku kwetu Mbezi Beach kila mtu anashangaa ubambikaji wa bili hizi. Yaani kwa kila mtu bili imeshoot kuliko kawaida wakati matumizi ni ya kawaida, sio kwamba ni shule au labda unafanya biashara ya kuuza maji.

Tena cha kushangaza zaidi ni kuwa maji yamekuwa ni ya kusuasua zana, mnakaa siku tatu nne hakuna maji, maji yakitoka presha ni ndogo sana yaani hata hayapandi kwenye matenki. DAWASA walitoa ushauri watu tuweke pump za maji lakini kutokana na presha ilivyo ndogo hata kuwa na pump ni kituko, maana zinakosa cha kubust, halafu eti bili inakuja umetumia unit 40, 50! Kivipi? Kwa maji yapi ya kufikia unit hizo?

Imagine kwenye nyumba mko watano, watatu hamshindi nyumbani, kuna safari za kufanya msiwepo nyumbani kwa wiki au hata zaidi, maji yanasua sua unaweza kusema kwa mwezi mmepata maji siku nzima bila kukata labda siku 3 halafu bili inakuja unit 40+, inaingia akilini kweli? Wizara ya Maji

Kama ndio mita zinahesabu upepo hii ya sasa imetia fora, itakuwa pump zinapigwa na kimbuka huko chini mpaka kupata units zote hizo.

Kwa upande wenu hali ikoje Wakuu? Bili zimekuja na uhalisia?

Wizara ya Maji
Tunahitaji prepaid systems
 
Wakuu salam,

Bili za mwezi Februari zimetoka, jamani huku kwetu Mbezi Beach kila mtu anashangaa ubambikaji wa bili hizi. Yaani kwa kila mtu bili imeshoot kuliko kawaida wakati matumizi ni ya kawaida, sio kwamba ni shule au labda unafanya biashara ya kuuza maji.

Tena cha kushangaza zaidi ni kuwa maji yamekuwa ni ya kusuasua zana, mnakaa siku tatu nne hakuna maji, maji yakitoka presha ni ndogo sana yaani hata hayapandi kwenye matenki. DAWASA walitoa ushauri watu tuweke pump za maji lakini kutokana na presha ilivyo ndogo hata kuwa na pump ni kituko, maana zinakosa cha kubust, halafu eti bili inakuja umetumia unit 40, 50! Kivipi? Kwa maji yapi ya kufikia unit hizo?

Imagine kwenye nyumba mko watano, watatu hamshindi nyumbani, kuna safari za kufanya msiwepo nyumbani kwa wiki au hata zaidi, maji yanasua sua unaweza kusema kwa mwezi mmepata maji siku nzima bila kukata labda siku 3 halafu bili inakuja unit 40+, inaingia akilini kweli? Wizara ya Maji

Kama ndio mita zinahesabu upepo hii ya sasa imetia fora, itakuwa pump zinapigwa na kimbuka huko chini mpaka kupata units zote hizo.

Kwa upande wenu hali ikoje Wakuu? Bili zimekuja na uhalisia?

Wizara ya Maji
Basi inawezekana ni nchi nzima. Mi huku Newala nimepigwa 58,000/= imekuwa kama nafyetua matofali.
 
Wakuu salam,

Bili za mwezi Februari zimetoka, jamani huku kwetu Mbezi Beach kila mtu anashangaa ubambikaji wa bili hizi. Yaani kwa kila mtu bili imeshoot kuliko kawaida wakati matumizi ni ya kawaida, sio kwamba ni shule au labda unafanya biashara ya kuuza maji.

Tena cha kushangaza zaidi ni kuwa maji yamekuwa ni ya kusuasua zana, mnakaa siku tatu nne hakuna maji, maji yakitoka presha ni ndogo sana yaani hata hayapandi kwenye matenki. DAWASA walitoa ushauri watu tuweke pump za maji lakini kutokana na presha ilivyo ndogo hata kuwa na pump ni kituko, maana zinakosa cha kubust, halafu eti bili inakuja umetumia unit 40, 50! Kivipi? Kwa maji yapi ya kufikia unit hizo?

Imagine kwenye nyumba mko watano, watatu hamshindi nyumbani, kuna safari za kufanya msiwepo nyumbani kwa wiki au hata zaidi, maji yanasua sua unaweza kusema kwa mwezi mmepata maji siku nzima bila kukata labda siku 3 halafu bili inakuja unit 40+, inaingia akilini kweli? Wizara ya Maji

Kama ndio mita zinahesabu upepo hii ya sasa imetia fora, itakuwa pump zinapigwa na kimbuka huko chini mpaka kupata units zote hizo.

Kwa upande wenu hali ikoje Wakuu? Bili zimekuja na uhalisia?

Wizara ya Maji
KUONDOA UTATA JIFUNZE KUSOMA MITA YA MAJI NI SIMPLE TU AKIJA MSOMA MITA MNASOMA WOTE
 
Meter inasomaje?.
Ilipoishia na ilipo sasa!?.
Wabongo wengi ni wavivu kazi kulalamika tu hapo utakuta ata kusoma mita hafahamu na atambui kwenye mita ata upepo ukipita inasoma kama ameacha cock wazi ,wajifunze kusoma mita ili awe anachukua usomaji wa sasa na kutoa usomaji uliopita ili kujua units alizotumia ili kutobambikiwa bills na endapo atakuwa na malalamiko akienda kupeleka idara ya maji anakuwa na vithibitisho.
 
Hapo dawa ni kusoma pamoja na msomaji mita ya sasa na iliyipita ukitoa unapata Unit zako ulizotumia na unahakikisha anaandika na kabla bill haijaja kuna msg inakuja ya unit ulizotumia ukiona ni tofauti unaenda kulalamika ofisin kwao ukikaa kimya mpk bill inakuja unakua umekubaliana nao
 
Back
Top Bottom