Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bil za nyuma zilikuwa zinacheza 30-40K,ila mwezi huu imepanda mpaka 110k.Wakuu salam,
Bili za mwezi Februari zimetoka, jamani huku kwetu Mbezi Beach kila mtu anashangaa ubambikaji wa bili hizi. Yaani kwa kila mtu bili imeshoot kuliko kawaida wakati matumizi ni ya kawaida, sio kwamba ni shule au labda unafanya biashara ya kuuza maji.
Tena cha kushangaza zaidi ni kuwa maji yamekuwa ni ya kusuasua zana, mnakaa siku tatu nne hakuna maji, maji yakitoka presha ni ndogo sana yaani hata hayapandi kwenye matenki. DAWASA walitoa ushauri watu tuweke pump za maji lakini kutokana na presha ilivyo ndogo hata kuwa na pump ni kituko, maana zinakosa cha kubust, halafu eti bili inakuja umetumia unit 40, 50! Kivipi? Kwa maji yapi ya kufikia unit hizo?
Imagine kwenye nyumba mko watano, watatu hamshindi nyumbani, kuna safari za kufanya msiwepo nyumbani kwa wiki au hata zaidi, maji yanasua sua unaweza kusema kwa mwezi mmepata maji siku nzima bila kukata labda siku 3 halafu bili inakuja unit 40+, inaingia akilini kweli? Wizara ya Maji
Kama ndio mita zinahesabu upepo hii ya sasa imetia fora, itakuwa pump zinapigwa na kimbuka huko chini mpaka kupata units zote hizo.
Kwa upande wenu hali ikoje Wakuu? Bili zimekuja na uhalisia?
Wizara ya Maji
Ni kwelihata huko pia kunaweza kuwa na shida pia rejea malalamiko ya wengi juu ya kuyeyuka kwa vifurushi vya data za mitandao mbalimbali.
Hakuna mahali popote palipokuwa panavuja. After all maji yalikuwa yanatoka twice a week hata kungekuwa kuna mahali panavuja tungepaona na isingefika units hizo.kuna suala la maji kuvuja na pia jambo ambalo wengi hawalijui ni suala la hewa kupita kwenye mita na inazungusha mita kama ilivyo maji. Unapaswa kuondoa hewa kwenye maji kabla maji hayajapita kwenye mita la sivyo utalipia hewa kila mwezi.
Bill yangu imepanda mara mbili na nusu zaidi shinda ya mwezi wa December. Kwa kweli tunaibiwa hapa.Wakuu salam,
Bili za mwezi Februari zimetoka, jamani huku kwetu Mbezi Beach kila mtu anashangaa ubambikaji wa bili hizi. Yaani kwa kila mtu bili imeshoot kuliko kawaida wakati matumizi ni ya kawaida, sio kwamba ni shule au labda unafanya biashara ya kuuza maji.
Tena cha kushangaza zaidi ni kuwa maji yamekuwa ni ya kusuasua zana, mnakaa siku tatu nne hakuna maji, maji yakitoka presha ni ndogo sana yaani hata hayapandi kwenye matenki. DAWASA walitoa ushauri watu tuweke pump za maji lakini kutokana na presha ilivyo ndogo hata kuwa na pump ni kituko, maana zinakosa cha kubust, halafu eti bili inakuja umetumia unit 40, 50! Kivipi? Kwa maji yapi ya kufikia unit hizo?
Imagine kwenye nyumba mko watano, watatu hamshindi nyumbani, kuna safari za kufanya msiwepo nyumbani kwa wiki au hata zaidi, maji yanasua sua unaweza kusema kwa mwezi mmepata maji siku nzima bila kukata labda siku 3 halafu bili inakuja unit 40+, inaingia akilini kweli? Wizara ya Maji
Kama ndio mita zinahesabu upepo hii ya sasa imetia fora, itakuwa pump zinapigwa na kimbuka huko chini mpaka kupata units zote hizo.
Kwa upande wenu hali ikoje Wakuu? Bili zimekuja na uhalisia?
Wizara ya Maji
Upo sahihiBasi inawezekana ni nchi nzima. Mi huku Newala nimepigwa 58,000/= imekuwa kama nafyetua matofali.
Kujaza ndoo siyo kipimo sahihi, ile ndoo kubwa ikijaa maji ni zaidi ya lita 20.Saa hivi hizi mita mpya za dawasa xinaibasana mi juzi nimechota ndoo 30 za lita 20 imeenda unit moja wakati kiuhalisia inatakiwa ndoo 50
Mnaruhusiwa... mtuambie kipindi hiki kama hamjakumbukwa kwenye ka mradi ka uongo na kweliSisi wa huku kizuramimba tunaotumia maji ya madimbwi tunaruhusiwa kucoment ?
Huwa hawakubali maelezo mengine zaidi ya kusema matumizi yako itakuwa makubwa, wakati ni dhahiri tatizo lipo kwaoMimi nimegundua kwangu tatizo ni mita yao inazunguka kwa spidi zaidi ya uhalisia wa lita zinazotoka kwenye bomba. Nilishafanya majaribio kujaza tank ya lita 3,000 huku nikiredi unit nilitegemea nipate unit 3 ila cha ajabu ilizidi zaidi ya mara 4 yake, nimewaeleza kwa vielelezo lakini hakuna kilichofanyika sasa na mimi nimekataa kuwa mnyonge ninalipa kile ninachotumia tu.
Imeongezeka 4000.... matumizi yameongezeka au imeongezeka bili pekee?Siye tunaishi Kwa kupanga, last month ilikuwa 7000 sasahivi 11,000
Yaani hakuna maelezo ya kueleweka kwenye hiliNadhani wana alternate bill mkoa hadi mkoa kwangu mwezi january ilikuwa 96000 kutoka 50000mwezi desemba.
Na hiyo January watoto wengi walikuwa wamerudi shule.Nyumba haikuwa na watu wengi.Nimejiuliza maswali mengi na jibu sijapata
Naripoti kutokea Mwanza
Doh... na haya ndio majibu yao, yaani unashangaa mita inasoma hivyo, hakuna panapovuja unaishia kuangushiwa jumba bovuWana ujinga huo sana. Kuna kipindi nilikuwa ninakaa kwenye nyumba fulani ina apartments 4 yaani kila family na apartment yake. Family iliyokuwa na watu wengi ni 1 yenye watu watatu na moja ina watu wawili na 2 zilizobaki mtu mmoja mmoja. Bill ilikuwa ikija tunagawa flat rate tunalipa. Average tulikuwa tunalipa around 6,000/= hadi 8,000/= kwa kila family kwa mwezi. Kuna kipindi families 2 zilihama tukabaki 2. Bill iliyokuja mwezi uliofuata ilikuwa units 365!!! Sawa na shilingi laki 5 na kitu!!! Kwenda kusoma mita inasoma kama ilivyokuwa ilivyoandikwa. Tukaenda kuuliza how imekuwa hivyo walitujibu hivyo hivyo eti tumetumia hayo maji. Maji yenyewe yalikuwa yanatoka twice a week. Tukagoma kulipa wakakata maji nikahamia sehemu nyingine. Baadaye niliwahi kuambiwa kuwa sometimes wanacheza na hizo mita sasa sijui kama ni kweli.
Unaondoaje hewa kwenye mita? Huku hutakiwi kuigusa na wenyewe wanasema mita zao zina uwezo wa kutenganisha hewa na kuhesabu maji pekee?kuna suala la maji kuvuja na pia jambo ambalo wengi hawalijui ni suala la hewa kupita kwenye mita na inazungusha mita kama ilivyo maji. Unapaswa kuondoa hewa kwenye maji kabla maji hayajapita kwenye mita la sivyo utalipia hewa kila mwezi.
Unaondoaje hewa kwenye mita? Huku hutakiwi kuigusa na wenyewe wanasema mita zao zina uwezo wa kutenganisha hewa na kuhesabu maji pekee?kuna suala la maji kuvuja na pia jambo ambalo wengi hawalijui ni suala la hewa kupita kwenye mita na inazungusha mita kama ilivyo maji. Unapaswa kuondoa hewa kwenye maji kabla maji hayajapita kwenye mita la sivyo utalipia hewa kila mwezi.
Mkuu ndoo ni lita 20, inakuaje maji yanakuwa zaidi ya 20?🤔🤔 hata ingekuwa imezidi kama usenavyo ndio iwe ndoo 20?🤣🤣 the math aint mathing hapaKujaza ndoo siyo kipimo sahihi, ile ndoo kubwa ikijaa maji ni zaidi ya lita 20.
Same here, nimeitisha fundi aangalie kama kuna sehemu panavuja anasema hamna 🙌Bil za nyuma zilikuwa zinacheza 30-40K,ila mwezi huu imepanda mpaka 110k.
Utaishia kuambiwa ni "Matumizi yako tu au uliacha bomba wazi" wakati hakuna kilichoongezeka na hujawahi kuacha bomba waziSame here, nimeitisha fundi aangalie kama kuna sehemu panavuja anasema hamna 🙌
Kuna michezo wanafanya bado hatujaijuliaBil za nyuma zilikuwa zinacheza 30-40K,ila mwezi huu imepanda mpaka 110k.