Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah ndugu niliona mm tu huku kino kumbe hadi mbez jambo tofauti ni kua kwetu hayakatwi ila bill imeshoot sijawah onaWakuu salam,
Bili za mwezi Februari zimetoka, jamani huku kwetu Mbezi Beach kila mtu anashangaa ubambikaji wa bili hizi. Yaani kwa kila mtu bili imeshoot kuliko kawaida wakati matumizi ni ya kawaida, sio kwamba ni shule au labda unafanya biashara ya kuuza maji.
Tena cha kushangaza zaidi ni kuwa maji yamekuwa ni ya kusuasua zana, mnakaa siku tatu nne hakuna maji, maji yakitoka presha ni ndogo sana yaani hata hayapandi kwenye matenki. DAWASA walitoa ushauri watu tuweke pump za maji lakini kutokana na presha ilivyo ndogo hata kuwa na pump ni kituko, maana zinakosa cha kubust, halafu eti bili inakuja umetumia unit 40, 50! Kivipi? Kwa maji yapi ya kufikia unit hizo?
Imagine kwenye nyumba mko watano, watatu hamshindi nyumbani, kuna safari za kufanya msiwepo nyumbani kwa wiki au hata zaidi, maji yanasua sua unaweza kusema kwa mwezi mmepata maji siku nzima bila kukata labda siku 3 halafu bili inakuja unit 40+, inaingia akilini kweli? Wizara ya Maji
Kama ndio mita zinahesabu upepo hii ya sasa imetia fora, itakuwa pump zinapigwa na kimbuka huko chini mpaka kupata units zote hizo.
Kwa upande wenu hali ikoje Wakuu? Bili zimekuja na uhalisia?
Wizara ya Maji
Unit 1 ni sawa na Lita 1000Unit 40 ni lita ngapi?
Tumia air valveUnaondoaje hewa kwenye mita? Huku hutakiwi kuigusa na wenyewe wanasema mita zao zina uwezo wa kutenganisha hewa na kuhesabu maji pekee?
Suala la kuvuja ni kizingizio tu... moja ya sehemu nimekaa niliita DAWASA wakahakikisha hakuna sehemu inayovuja lakini bado bili haikuwa na uhalisia, maelezo waliyobaki nayo ni kulazimisha hayo ndio matumizi ya
Mkuu ndoo ni lita 20, inakuaje maji yanakuwa zaidi ya 20?🤔🤔 hata ingekuwa imezidi kama usenavyo ndio iwe ndoo 20?🤣🤣 the math aint mathing hapa