Bili yako ya maji mwezi Februari inaendana na uhalisia wa matumizi yako?

Bili yako ya maji mwezi Februari inaendana na uhalisia wa matumizi yako?

Meter inasomaje?.
Ilipoishia na ilipo sasa!?.
Namba zinakuja hivyo... lakini ukiangalia matumizi na jinsi maji yanavyokatika haimake sense kupata namba hiyo.

Kuna sehemu nilikaa wakati fulani, aisee bili ilikuja units 25... niko mwenye, sikuwepo nyumbani kwa wiki mbili, muda ambao nilikuwepo sishindi mchana - ni weekend pekee, lakini bili ilikuja hivyo! Alikuja mhudumu wa DAWASA baada ya kuwatafuta sana sikupewa maelezo ya kwanini bili imesoma vile, walibaki kusema tu itakuwa ni matumizi yako!

RoadLofa
 
Wabongo wengi ni wavivu kazi kulalamika tu hapo utakuta ata kusoma mita hafahamu na atambui kwenye mita ata upepo ukipita inasoma kama ameacha cock wazi ,wajifunze kusoma mita ili awe anachukua usomaji wa sasa na kutoa usomaji uliopita ili kujua units alizotumia ili kutobambikiwa bills na endapo atakuwa na malalamiko akienda kupeleka idara ya maji anakuwa na vithibitisho.
Labda wewe ndio mvivu usitujumuishe wengine, kama hizo mashine zingekuwa nzima zisingekuwa zinasoma upepo, na ndio wanavyojitapa kuwa zina njia ya ku isolate upepo na kuhesabu maji pekee
 
Ndugu mteja A/C , KUMBUKUMBU , Bill yako ya Februari/2025 umetumia uniti 4, kutoka 326 mpaka 330 sawa na Tshs. 6718.52. Salio/Ziada ni Tshs. -3998.11, jumla unadaiwa Tshs. 2720.41. Tafadhali Lipia sasa, BILI HII NI NOTISI. (Piga 0800110064 bure)
 
Ndugu mteja A/C , KUMBUKUMBU , Bill yako ya Februari/2025 umetumia uniti 4, kutoka 326 mpaka 330 sawa na Tshs. 6718.52. Salio/Ziada ni Tshs. -3998.11, jumla unadaiwa Tshs. 2720.41. Tafadhali Lipia sasa, BILI HII NI NOTISI. (Piga 0800110064 bure)
Hongera Mkuu.... kupata bili ya hivi ilikuwa mwaka juzi sijui.... nikaanza unit 2, mara zikapanda 4, ikaenda 10.... ikashoot 15... ikaja ya 20+ matumizi hayajabadilika lakini bili ina evolve😢
 
Wakuu salam,

Bili za mwezi Februari zimetoka, jamani huku kwetu Mbezi Beach kila mtu anashangaa ubambikaji wa bili hizi. Yaani kwa kila mtu bili imeshoot kuliko kawaida wakati matumizi ni ya kawaida, sio kwamba ni shule au labda unafanya biashara ya kuuza maji.

Tena cha kushangaza zaidi ni kuwa maji yamekuwa ni ya kusuasua zana, mnakaa siku tatu nne hakuna maji, maji yakitoka presha ni ndogo sana yaani hata hayapandi kwenye matenki. DAWASA walitoa ushauri watu tuweke pump za maji lakini kutokana na presha ilivyo ndogo hata kuwa na pump ni kituko, maana zinakosa cha kubust, halafu eti bili inakuja umetumia unit 40, 50! Kivipi? Kwa maji yapi ya kufikia unit hizo?

Imagine kwenye nyumba mko watano, watatu hamshindi nyumbani, kuna safari za kufanya msiwepo nyumbani kwa wiki au hata zaidi, maji yanasua sua unaweza kusema kwa mwezi mmepata maji siku nzima bila kukata labda siku 3 halafu bili inakuja unit 40+, inaingia akilini kweli? Wizara ya Maji

Kama ndio mita zinahesabu upepo hii ya sasa imetia fora, itakuwa pump zinapigwa na kimbuka huko chini mpaka kupata units zote hizo.

Kwa upande wenu hali ikoje Wakuu? Bili zimekuja na uhalisia?

Wizara ya Maji
Yaani wanapandisha kila mwezi 🥺
 
Meter inasomaje?.
Ilipoishia na ilipo sasa!?.
Mimi nimegundua kwangu tatizo ni mita yao inazunguka kwa spidi zaidi ya uhalisia wa lita zinazotoka kwenye bomba. Nilishafanya majaribio kujaza tank ya lita 3,000 huku nikiredi unit nilitegemea nipate unit 3 ila cha ajabu ilizidi zaidi ya mara 4 yake, nimewaeleza kwa vielelezo lakini hakuna kilichofanyika sasa na mimi nimekataa kuwa mnyonge ninalipa kile ninachotumia tu.
 
Hapo dawa ni kusoma pamoja na msomaji mita ya sasa na iliyipita ukitoa unapata Unit zako ulizotumia na unahakikisha anaandika na kabla bill haijaja kuna msg inakuja ya unit ulizotumia ukiona ni tofauti unaenda kulalamika ofisin kwao ukikaa kimya mpk bill inakuja unakua umekubaliana nao
utajua hata muda wanaopita? sometimes usiku wa manane sijui jamaa wanga
 
Wakuu salam,

Bili za mwezi Februari zimetoka, jamani huku kwetu Mbezi Beach kila mtu anashangaa ubambikaji wa bili hizi. Yaani kwa kila mtu bili imeshoot kuliko kawaida wakati matumizi ni ya kawaida, sio kwamba ni shule au labda unafanya biashara ya kuuza maji.

Tena cha kushangaza zaidi ni kuwa maji yamekuwa ni ya kusuasua zana, mnakaa siku tatu nne hakuna maji, maji yakitoka presha ni ndogo sana yaani hata hayapandi kwenye matenki. DAWASA walitoa ushauri watu tuweke pump za maji lakini kutokana na presha ilivyo ndogo hata kuwa na pump ni kituko, maana zinakosa cha kubust, halafu eti bili inakuja umetumia unit 40, 50! Kivipi? Kwa maji yapi ya kufikia unit hizo?

Imagine kwenye nyumba mko watano, watatu hamshindi nyumbani, kuna safari za kufanya msiwepo nyumbani kwa wiki au hata zaidi, maji yanasua sua unaweza kusema kwa mwezi mmepata maji siku nzima bila kukata labda siku 3 halafu bili inakuja unit 40+, inaingia akilini kweli? Wizara ya Maji

Kama ndio mita zinahesabu upepo hii ya sasa imetia fora, itakuwa pump zinapigwa na kimbuka huko chini mpaka kupata units zote hizo.

Kwa upande wenu hali ikoje Wakuu? Bili zimekuja na uhalisia?

Wizara ya Maji
NIMETOKA KUWAKA OFISIN KWAOO MKUU MBEZI BEACH N WAHUNI KUNA MCHAGA MMOJA ANACHEXA NA JAMAA WENYE BILL KUBWA MNAMCHANGIA KUWALIPIA WANAKULA CHA JUU
 
Namba zinakuja hivyo... lakini ukiangalia matumizi na jinsi maji yanavyokatika haimake sense kupata namba hiyo.

Kuna sehemu nilikaa wakati fulani, aisee bili ilikuja units 25... niko mwenye, sikuwepo nyumbani kwa wiki mbili, muda ambao nilikuwepo sishindi mchana - ni weekend pekee, lakini bili ilikuja hivyo! Alikuja mhudumu wa DAWASA baada ya kuwatafuta sana sikupewa maelezo ya kwanini bili imesoma vile, walibaki kusema tu itakuwa ni matumizi yako!

RoadLofa
Wana ujinga huo sana. Kuna kipindi nilikuwa ninakaa kwenye nyumba fulani ina apartments 4 yaani kila family na apartment yake. Family iliyokuwa na watu wengi ni 1 yenye watu watatu na moja ina watu wawili na 2 zilizobaki mtu mmoja mmoja. Bill ilikuwa ikija tunagawa flat rate tunalipa. Average tulikuwa tunalipa around 6,000/= hadi 8,000/= kwa kila family kwa mwezi. Kuna kipindi families 2 zilihama tukabaki 2. Bill iliyokuja mwezi uliofuata ilikuwa units 365!!! Sawa na shilingi laki 5 na kitu!!! Kwenda kusoma mita inasoma kama ilivyokuwa ilivyoandikwa. Tukaenda kuuliza how imekuwa hivyo walitujibu hivyo hivyo eti tumetumia hayo maji. Maji yenyewe yalikuwa yanatoka twice a week. Tukagoma kulipa wakakata maji nikahamia sehemu nyingine. Baadaye niliwahi kuambiwa kuwa sometimes wanacheza na hizo mita sasa sijui kama ni kweli.
 
Wakuu salam,

Bili za mwezi Februari zimetoka, jamani huku kwetu Mbezi Beach kila mtu anashangaa ubambikaji wa bili hizi. Yaani kwa kila mtu bili imeshoot kuliko kawaida wakati matumizi ni ya kawaida, sio kwamba ni shule au labda unafanya biashara ya kuuza maji.

Tena cha kushangaza zaidi ni kuwa maji yamekuwa ni ya kusuasua zana, mnakaa siku tatu nne hakuna maji, maji yakitoka presha ni ndogo sana yaani hata hayapandi kwenye matenki. DAWASA walitoa ushauri watu tuweke pump za maji lakini kutokana na presha ilivyo ndogo hata kuwa na pump ni kituko, maana zinakosa cha kubust, halafu eti bili inakuja umetumia unit 40, 50! Kivipi? Kwa maji yapi ya kufikia unit hizo?

Imagine kwenye nyumba mko watano, watatu hamshindi nyumbani, kuna safari za kufanya msiwepo nyumbani kwa wiki au hata zaidi, maji yanasua sua unaweza kusema kwa mwezi mmepata maji siku nzima bila kukata labda siku 3 halafu bili inakuja unit 40+, inaingia akilini kweli? Wizara ya Maji

Kama ndio mita zinahesabu upepo hii ya sasa imetia fora, itakuwa pump zinapigwa na kimbuka huko chini mpaka kupata units zote hizo.

Kwa upande wenu hali ikoje Wakuu? Bili zimekuja na uhalisia?

Wizara ya Maji
Saa hivi hizi mita mpya za dawasa xinaibasana mi juzi nimechota ndoo 30 za lita 20 imeenda unit moja wakati kiuhalisia inatakiwa ndoo 50
 
Wana ujinga huo sana. Kuna kipindi nilikuwa ninakaa kwenye nyumba fulani ina apartments 4 yaani kila family na apartment yake. Family iliyokuwa na watu wengi ni 1 yenye watu watatu na moja ina watu wawili na 2 zilizobaki mtu mmoja mmoja. Bill ilikuwa ikija tunagawa flat rate tunalipa. Average tulikuwa tunalipa around 6,000/= hadi 8,000/= kwa kila family kwa mwezi. Kuna kipindi families 2 zilihama tukabaki 2. Bill iliyokuja mwezi uliofuata ilikuwa units 365!!! Sawa na shilingi laki 5 na kitu!!! Kwenda kusoma mita inasoma kama ilivyokuwa ilivyoandikwa. Tukaenda kuuliza how imekuwa hivyo walitujibu hivyo hivyo eti tumetumia hayo maji. Maji yenyewe yalikuwa yanatoka twice a week. Tukagoma kulipa wakakata maji nikahamia sehemu nyingine. Baadaye niliwahi kuambiwa kuwa sometimes wanacheza na hizo mita sasa sijui kama ni kweli.
kuna suala la maji kuvuja na pia jambo ambalo wengi hawalijui ni suala la hewa kupita kwenye mita na inazungusha mita kama ilivyo maji. Unapaswa kuondoa hewa kwenye maji kabla maji hayajapita kwenye mita la sivyo utalipia hewa kila mwezi.
 
DAWASA mnazingua sana
Screenshot_20250218-213701~2.png


Unit 1 ni Lita 1000 ni sawa na ndoo kubwa 50 mjue.
 
Back
Top Bottom