Bili yako ya maji mwezi Februari inaendana na uhalisia wa matumizi yako?

Bil za nyuma zilikuwa zinacheza 30-40K,ila mwezi huu imepanda mpaka 110k.
 
Mimi wameniongezea unit 1 tu
Ila sio kesi.
Kinachoniudhi wanadai kama Mkopo aisee! Kila dakika ndugu mteja bill hii ni notisi! Mara Dawasa tupo mtaani kwako lipa maji kuepuka usumbufu! Hapo unadaiwa mwezi wa2 na bill wametuma juzi ila sms za vitisho zishafika 5 na wanatuma mpaka usiku
 
kuna suala la maji kuvuja na pia jambo ambalo wengi hawalijui ni suala la hewa kupita kwenye mita na inazungusha mita kama ilivyo maji. Unapaswa kuondoa hewa kwenye maji kabla maji hayajapita kwenye mita la sivyo utalipia hewa kila mwezi.
Hakuna mahali popote palipokuwa panavuja. After all maji yalikuwa yanatoka twice a week hata kungekuwa kuna mahali panavuja tungepaona na isingefika units hizo.

Halafu kuhusu hewa yaani hiyo hewa iliamua kuingia mwezi huo tu? Mbona miezi mitatu iliyofuata kabla ya kukata maji bili ilikuwa inakuja kama ambayo tulikuwa tunatumia kabla ya kuleta hiyo Bill ya ajabu?!!! Mimi nina amini kuna kitu kilifanyika si bure.
 
Bill yangu imepanda mara mbili na nusu zaidi shinda ya mwezi wa December. Kwa kweli tunaibiwa hapa.
 
Huwa hawakubali maelezo mengine zaidi ya kusema matumizi yako itakuwa makubwa, wakati ni dhahiri tatizo lipo kwao
 
Yaani hakuna maelezo ya kueleweka kwenye hili
 
Doh... na haya ndio majibu yao, yaani unashangaa mita inasoma hivyo, hakuna panapovuja unaishia kuangushiwa jumba bovu
 
kuna suala la maji kuvuja na pia jambo ambalo wengi hawalijui ni suala la hewa kupita kwenye mita na inazungusha mita kama ilivyo maji. Unapaswa kuondoa hewa kwenye maji kabla maji hayajapita kwenye mita la sivyo utalipia hewa kila mwezi.
Unaondoaje hewa kwenye mita? Huku hutakiwi kuigusa na wenyewe wanasema mita zao zina uwezo wa kutenganisha hewa na kuhesabu maji pekee?

Suala la kuvuja ni kizingizio tu... moja ya sehemu nimekaa niliita DAWASA wakahakikisha hakuna sehemu inayovuja lakini bado bili haikuwa na uhalisia, maelezo waliyobaki nayo ni kulazimisha hayo ndio matumizi yangu
 
kuna suala la maji kuvuja na pia jambo ambalo wengi hawalijui ni suala la hewa kupita kwenye mita na inazungusha mita kama ilivyo maji. Unapaswa kuondoa hewa kwenye maji kabla maji hayajapita kwenye mita la sivyo utalipia hewa kila mwezi.
Unaondoaje hewa kwenye mita? Huku hutakiwi kuigusa na wenyewe wanasema mita zao zina uwezo wa kutenganisha hewa na kuhesabu maji pekee?

Suala la kuvuja ni kizingizio tu... moja ya sehemu nimekaa niliita DAWASA wakahakikisha hakuna sehemu inayovuja lakini bado bili haikuwa na uhalisia, maelezo waliyobaki nayo ni kulazimisha hayo ndio matumizi ya
Kujaza ndoo siyo kipimo sahihi, ile ndoo kubwa ikijaa maji ni zaidi ya lita 20.
Mkuu ndoo ni lita 20, inakuaje maji yanakuwa zaidi ya 20?πŸ€”πŸ€” hata ingekuwa imezidi kama usenavyo ndio iwe ndoo 20?🀣🀣 the math aint mathing hapa
 
Same here, nimeitisha fundi aangalie kama kuna sehemu panavuja anasema hamna πŸ™Œ
Utaishia kuambiwa ni "Matumizi yako tu au uliacha bomba wazi" wakati hakuna kilichoongezeka na hujawahi kuacha bomba wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…