Bili yako ya maji mwezi Februari inaendana na uhalisia wa matumizi yako?

Huenda wamepandisha bei ya hizo unit zao, mim mwez huu nimeletewa bili ya 5000 na ni unit 3 ndzo nilizotumia.
 
Dah ndugu niliona mm tu huku kino kumbe hadi mbez jambo tofauti ni kua kwetu hayakatwi ila bill imeshoot sijawah ona
 
Hii nchi tunaibiwa sana na watawala.mpaka tutakapopata akili ndo tutakombolewa
 
Tumia air valve
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…