Elections 2015 Bilionea Ali Mafuruki, Atoa ya moyoni

Elections 2015 Bilionea Ali Mafuruki, Atoa ya moyoni

So what ana inpact gani huyo kwa taifa
 
fanya kazi kwa bidii nawe utakua bilionea,usidhani kila mwenye mafanikio hapa nchini ni mwizi,huyu mafuruki ni mpambanaji na kaupata huo ubilionea kwa jasho lake.
wacha kushinda humu jf muda wote,wekeza muda wako kwenye kufanya kazi kwa bidii uone nawe kama hutafanikiwa vinginevyo utabaki kuwasengenya watu tu humu jf kwa kutumia hiyo ID yako fake.

Well said
 
Hajawahi kutajwa kuwa fisadi hapa Jf labda atajwe leo
 
Ni muendelezo wa kutaka kulinda mfumo ulio mtajirisha.

Wote wenye manufaa na mfumo, lazima watatetea kulinda mfumo, tunaelewa na hatuwalaumu, sisi tutavunja mfumo.

Mfumo huo huo ndio ulio mtajirisha Lowassa na Mbowe
 
Kikubwa alichokisema ni kuwa tunataka mabadiliko hizi zingine mbwembwe tu!
 
Huwezi kuutenganisha utajiri wake na CCM. Hana namna zaidi ya kuitetea CCM.
 
huyu jamaa si ndo mmoja wa waandaaji wa debate kwa wagombea? ndo maana nasema ukawa wasijaribu kushrk debate yeyote kwan ccm imenunua mpaka watazamaji wa hyo debate
 
Ali Mafuruki wa Info Tech amepata Ubilionea kupitia serikali Hiyo Hiyo ya ccm iliyompa tenda zote za kuprint ,Huyu Ali ndio walioua Tanzania National Printers.
 
Ni kati ya wachoyo walioko radhi mamilioni ya watanzania waendelee kutaabika lakini tumbo lake na familia yake lishibe
 
Mara nyingi watu kama hao ni watu ambao wanamiliki pesa haramu na lazima kuna mfumo ambao umeweka hapo ambao ni ccm kwahiyo lazima aitete ccm
Lakini watanzania kwaajili ya ujinga wa mtu mmoja hatuwezi kurudi nyuma
 
Kwani Lowasa sio fisadi? Jana nilimsikia akitaja neno rushwa huku akitetema
 
Back
Top Bottom