Na kwa wakt wote huo hajawahi kufikiria kupindua mezaImagine mtu ka serve u vice chairman toka 1978, this is pure consistency.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwa wakt wote huo hajawahi kufikiria kupindua mezaImagine mtu ka serve u vice chairman toka 1978, this is pure consistency.
Nadhani Hawa ili kuwa pure friendship, sio pigo za bill gate alicho mfanyia Paul Allen 😁😂🤒Na kwa wakt wote huo hajawahi kufikiria kupindua meza
Yeah, nadhani Vision na mission zao zili endanaRIP Charlie Munger mzee hatari sana huyu kwny mambo ya uwekezaji combination yake na Warren it was so Funny,, jamaa walikua na utani mwingi sana hawa wakiwa pamoja huwezi kuchoka kuwasikiliza...[emoji2969]
Maybe,Hawa madingi juzi hapa walikutana na wakampa baraka Elon Musk aendeleze ubwanyenye wao wa kimarekani maana wanajua siku zao zinahesabika.
Wote wawili Age ili kuwa Ime kata, hata siku zilizo pita Warren Ali zungumzia kuhusu hiloUrafiki wa namna hii soon..Mara nyingi mwezi huwa hauishi anamfata mwenzake
Miaka 99Amefariki akiwa na miaka 90.
Good for him.
Mwenyenzi amrehemu.
Kweli kabisa.Sawa, no hate- ila Hakuna ushujaa katika Umasikini.
Wenzetu wana succession plan ya kueleweka na Nchi zilizoendelea huziangalia kwa ukaribu kampuni ambazo zina impact kubwa kwenye nchi yao.Alazwe mahali pema peponi. Ni muda sasa wa familia kuteua msimamizi wa mirathi. Itakuwa simanzi kuona wanandugu wanaanza kugombea mali za marehemu.
Ni 99, alikuwa anafikisha 100 siku ya mwaka mpyaAmefariki akiwa na miaka 90.
Good for him.
Mwenyenzi amrehemu.
Mwisho wa siku wanaziacha kama hivi.Ahahaha yaaah noma the biggest hand in poker, namfuatiaga sana Dan Bilzerian na kitabu chake cha the setup nimekisoma twice, wenzetu wanauchungu sana na hela aisee acha kabisaa
Mkuu ni vile hiyo ni Kama identical, kwa watu tunao fatilia Mambo ya biashara.Kweli kabisa.
Mungu ni wetu sote.
Tangazo la kifo limeambatana na swagga za ukwasi
Sawa pesa haileti furaha, ufukara una leta nini???Mwisho wa siku wanaziacha kama hivi.
Uko sahihi Ali zaliwa Jan 1 1924Ni 99, alikuwa anafikisha 100 siku ya mwaka mpya