TANZIA Bilionea Charlie Munger afariki Dunia

TANZIA Bilionea Charlie Munger afariki Dunia

Charlie munger and Warren buffet met in 1959. Through a friend.
images (5).jpeg
 
RIP Charlie Munger mzee hatari sana huyu kwny mambo ya uwekezaji combination yake na Warren it was so Funny,, jamaa walikua na utani mwingi sana hawa wakiwa pamoja huwezi kuchoka kuwasikiliza...[emoji2969]
 
RIP Charlie Munger mzee hatari sana huyu kwny mambo ya uwekezaji combination yake na Warren it was so Funny,, jamaa walikua na utani mwingi sana hawa wakiwa pamoja huwezi kuchoka kuwasikiliza...[emoji2969]
Yeah, nadhani Vision na mission zao zili endana
 
Alazwe mahali pema peponi. Ni muda sasa wa familia kuteua msimamizi wa mirathi. Itakuwa simanzi kuona wanandugu wanaanza kugombea mali za marehemu.
Wenzetu wana succession plan ya kueleweka na Nchi zilizoendelea huziangalia kwa ukaribu kampuni ambazo zina impact kubwa kwenye nchi yao.

Kwa Tanzania mzee Mengi alijitahidi
 
Back
Top Bottom