TANZIA Bilionea Ginimbi wa Zimbabwe afariki Dunia

TANZIA Bilionea Ginimbi wa Zimbabwe afariki Dunia

Dah Ginimbi kanyoosha hii habari imenipitaje? Kitu amechokilia hapo kwa nyuma ni Lamborghini aventador tena right hand drive ambayo ni limited Bei yake ni 500K-800k US $View attachment 1623337
Utaandika tu hizo figa ndio haki yako lakini hiyo gari huwezi kumiliki ww mgalatia.....
hata uoshe vyombo vyote ulaya hahaaa
 
Yale madude yanachukuaga madeni yao kwa kushtukiza......
tena yanasubiri ukiwa katikati ya furaha yanakunyakua.....
pap paap paaaap!
Kabisa, kama wale waliomkwapulia vitu vyake wakati kapata mzinga, watanyukwa mikwaju na majini yake mpaka wakome
 
Kuna tofauti kati ya wambea na waandishi wa habari!!?
mimi nijuavyo moja ni kazi ya malipo moja ni ya kujitolea....
common goal ni kuhabarisha ummat
Wale wa shigongo ni waandishi au wambea,shilawadu je
 
Unaweza kunywa sumu lakini pia usife unakubaliana nami? Ndiyo nasema sasa vifo vina formula kali na ni Mungu tu ajuae hilo
Usimsingizie Mungu mambo ya kijinga.Fanya ujinga wako halafu sema mapenzi ya Mungu hakuna kitu kama hicho .Shetani huwa yuko kazini na maulevi yenu
 
Yale madude yanachukuaga madeni yao kwa kushtukiza......
tena yanasubiri ukiwa katikati ya furaha yanakunyakua.....
pap paap paaaap!

Utajiri wa Ginimbi ni ngumu kwa mtu yeyote kuwa nao pasipo kushirikiana na majini, wafanya biashara wengi wakubwa duniani wanashirikiana na majini katika kuimarisha utajiri wao

Ni kawaida sana kwa dunia ya sasa
 
Watu huwa wanaongea tu pesa za masharti,nao waende wakapate pesa au wao hawataki kua matajiri.
Mtu umepambana mpka kupata pesa wanakuja mabwege na kusema za masharti

Matajiri wengi wanashikiriana na majini katika kupata na ku maintain utajiri wao , wewe ni mtoto mdogo sana bado huelewi kitu hapa duniani
 
Duh.....fursa hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bilionea hachangiwi waombelezaji ni Kuja kunywa na kula mpk kusaza

Ova

Jaman c mnanitumia mwakilishi wake niwapelekee Tanzania , wanazengo na nyie mxieew zenu
 
Mkuu imekuwa chemba court naona....
labda nirahisishe mambo mmbeya ni mwanahabari asiye na darasa hana ethics....
the vice versa is true.....
Kikubwa anaingiza kipato tofauti na warumi mbea wa kujitolea
 
Back
Top Bottom