TANZIA Bilionea Ginimbi wa Zimbabwe afariki Dunia

TANZIA Bilionea Ginimbi wa Zimbabwe afariki Dunia

Watu wanajua mpaka sugamamy wake ni nani, mkewe ni nani, wanae ni akina nani, wanae wa kufikia ni akina nani, n.k.

Si ajabu wanajua hata saizi ya viatu alivyokuwa anavaa..
kama ww unajua chemistry au biology au hesabu ni sawa.....
kuna wenzio fani zao ni kujua ya wenzao....
na ndio hapo utajua maana halisi ya jamii
mchanganyiko wa character tofauti.....
 
Waafrika wengi huwa tukifanikiwa kidogo tu huwa tunakuwa na show off/life style za kishamba sana kwangu Mimi hii huwa natafsiri Kama muhusika ana roho ya kimaskini tu japo amefanikiwa kwenye maisha
Watu Kama hao akina late hapo, Mayweather, hushypupi na waafrika wengine wengi waliofanikiwa sana ni sign ya akili ndogo ya mwafrika
Mtindo wa maisha ya hawa watu ndiyo chanzo kikubwa cha utajiri wao kutodumu au maisha yao kuwa mafupi
Watakuelewa wachache sana
 
Babu sio ushamba sema tu ndo washakukera,,Akina CR7, ni wazungu, D Beckham,akina zlatan na wenzake,Roman abromovic ulishaga mfuatilia,...ukishapata pesa matumiz yake lazima maskini tukereke tu,Akina drake wanalaliza mattress ya zaidi ya mil.900,hujawaona hao..
Ni ushamba
Pia sikerwi na mafanikio ya watu
Mtu mwenye pesa kumiliki aset au vitu ambavyo ni expensive sana siyo tatizo na nikawaida tu
Hao uliowatolea mfano hizo habari zao zimejulikana kupitia udaku tu ila sio hao wenyewe
Sidhani kama Beckham au cr7 amewahi kupiga picha au kupost video akiwa na mabando ya pesa au kutuonyesha kuwa ana magari expensive sana zaidi ya 20 kayapaki tu uwani kwake
Ni roho ya kimaskini tu na ushamba huwa unawasumbua hao watu hamna kingine
 
Tunasema #DIAMOND PLATNUMZ ni Socialite millionaire alaf magari anayotumia yote yakijapan MATOYOTA,, wakina Ginimbi ndio wanaume sasa,, gari yake aliyopiga nayo chin ndio thamani ya nyumba ya chibu
 
Tunasema #DIAMOND PLATNUMZ ni Socialite millionaire alaf magari anayotumia yote yakijapan MATOYOTA,, wakina Ginimbi ndio wanaume sasa,, gari yake aliyopiga nayo chin ndio thamani ya nyumba ya chibu
Ila si kafa ..na kawekwa kweny kajeneza ka chuma tena nyuma ya tela ya toyota
 
Hilo nalo neno , kabla sijawa zilipendwa[emoji16][emoji16]

Ila uzuri umbea kila siku ni Mpya na watu wanapenda umbea so ni vigumu kuchuja, I know what my people want , huu mwaka wa 7 sasa humu JF na sijawah kuchuja na nimekua ON and OFF mda mrefu ila nikirud kiti changu bado hakuna wa kukikalia
Ukiwa off naumiaga Sana warumi, we ni mtu wa MUHIMU sana kwenye hili jukwaa

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
tunasemaga zimbwabwe maisha ni mabovu baada ya vikwazo,halafu tunafarijika na umasikini wetu mmoja mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

kumbe kuna nyandume wanakula bata mumo humo.
rip kibopa wa zimbabwe.
Ukisikiliza sana bbc unaweza usitafute maisha
 
You ain't drunk, nigga, you ain't drunk, nigga
Til' that sizzurp and Henny is in your cup, nigga

What you been sippin on? What you been hittin' on?
It be them chicks in bikinis we bought em Cris's on?

Call me Diddy, let's ride that out, stop that talk outside your mouth
I'll put guys outside your house, we the hottest in the South

Bad Boy, Dipset, baby girl, get ya lips wet
Maybach like that chauffeur, money ain't too far from Oprah's

You should've seen what I paid my chauffeur
It's enough to buy you a roster.
 
kama wanaonanaga uko basi kesha kutana na rafiki yake kipenzi ivan the don maisha haya mafupi sana uwe masikini uwe tajiri, ulale ulipo jichagulia genius a.k.a ginimbi, pole zodwa mkandla kwa kumpoteza mume na baba watoto wako, pole zari kumpoteza shemeji na rafiki mkubwa wa marehemu ivan. rest in eternal peace G.
Wewe ndio umefafanua vema kumbe alikuwa rafiki wa Ivan kila nikiona Ginimbi wala nilikuwa sielewi. Nae ni mganda?
 
Waliachana na mkewe,hawakubahatika kupata mtoto,Moana ndiye alikuwa Mchumba wake mpya ila wamekufa pamoja.

Ex wife nasikia alimdanganya ana mtoto wake kuja kupima DNA ikajulikana mtoto si wake wakaachana, Naona aligawa kizazi , with all money sio kazi kwake kupata mtoto
 
Ila si kafa ..na kawekwa kweny kajeneza ka chuma tena nyuma ya tela ya toyota

IMG_8518.jpg

Sidhan kama kuna mtu kwenye ukoo wenu atakuja kuzikwa na jeneza kama hili , the guy was rich na kaacha alama kubwa duniani , jiulize leo ukifa nani atakukumbuka? We all gonna die remember
 
Ni ushamba
Pia sikerwi na mafanikio ya watu
Mtu mwenye pesa kumiliki aset au vitu ambavyo ni expensive sana siyo tatizo na nikawaida tu
Hao uliowatolea mfano hizo habari zao zimejulikana kupitia udaku tu ila sio hao wenyewe
Sidhani kama Beckham au cr7 amewahi kupiga picha au kupost video akiwa na mabando ya pesa au kutuonyesha kuwa ana magari expensive sana zaidi ya 20 kayapaki tu uwani kwake
Ni roho ya kimaskini tu na ushamba huwa unawasumbua hao watu hamna kingine
Mkuu ndio mambo ya usosholaiti hayo kila kitu lazima u customize.
Accident car: RollsRoyce.
Real cause: Moet champagne overdrinking.
Burial casket: Versace.
Burial dress code: All white.
Burial drink: Moet.
Burial powerer by: ........n.k
 
Back
Top Bottom