Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndo napopiga salute kwa Sir GodSawa kabisa na utajiri wake ndio huo aliokula ndinga alizoendesha......
mademu wakali alio-honga na kugonga....
pombe alizokunywa.....
na misosi aliyokula....
ndio utajiri wake alivyoacha nyuma ni ziada
Hilo ni mtumba...mileage zimesoma kiana kiasi kwamba kila kitu kimelegeaNimeshangaa sana kuona gari ya bei mbaya imeungua kama ubua.Najuaga labda hizo gari zina mekanism ya kujizima hata ajali za moto zinapotokea kumbe hamna kitu !!????
Angezalisha kama kumbi kumbiEx wife nasikia alimdanganya ana mtoto wake kuja kupima DNA ikajulikana mtoto si wake wakaachana, Naona aligawa kizazi , with all money sio kazi kwake kupata mtoto
View attachment 1624214
Sidhan kama kuna mtu kwenye ukoo wenu atakuja kuzikwa na jeneza kama hili , the guy was rich na kaacha alama kubwa duniani , jiulize leo ukifa nani atakukumbuka? We all gonna die remember
Naskia lile jeneza lake la versace alilinunua mwenyewe wiki moja tu kabla ya kifo chake na kulihifadhi [emoji448] Kifo alishakiona!!
Limbukeni ni ww....hohehahe...Hivi Mo Dewji au Barhesa utajiri wao wakiamua kujiachia watashindwa kununua na kula raha kama huyu tajiri Limbukeni.Waafrika tuna matatizo vichwani mwetu.
Duh hivi unajua kweli hata mechanism ya Gari? Bwahahahaha eti la mtumba kila kitu kimelegea hahahahahahaha utakua fukara wa kufa mtu aisee hadi nafsi yako itaririka hasidi tupu!! Vipi chiu unayouza haijakulipa?Hilo ni mtumba...mileage zimesoma kiana kiasi kwamba kila kitu kimelegea
Utakufa maskini fukara muuza cheuuHapo ndo napopiga salute kwa Sir God
Hivi Mo Dewji au Barhesa utajiri wao wakiamua kujiachia watashindwa kununua na kula raha kama huyu tajiri Limbukeni.Waafrika tuna matatizo vichwani mwetu.
Watu wasio wamaana ni akina nani..!?Watu wa maana wanawahi mno kufa, life is not fair.
Labda Mali zilikuwa za freemason
Hii breakfast ya mayai 5, viazi na hizo soseji kama alimaliza yote peke yake lazima alihitaji choo cha Dolce & Gabbana!!Billioneer Ginimbi Yani kama kivuli vile, kapita dah life is too short. View attachment 1624238View attachment 1624240
Ulisha wahi kuona nyumba ya mtoto wa bahkresa?He was a self made millionaire, nimeona lile mansion lake alilokuwa anamiliki Zimbabwe ni Shida hakuna funza yeyote hapa tz anaweza miliki