Bilionea mwingine kutoka jamii ya Kimasai aibuka nchini, ni mchimbaji wa Madini ya Rubi

Mkuu acha kukalili hayo madini sio ruby pure yako mixer au ndo walewale note ya mia mbili mmeambiwa inauzwa million mia moja ukiuliza wapi utaambiwa dar nioneshe mteja hamna
Sawa hizo ton tano kwa yeye peke yake ametumia siku ngapi kuzitoa kuna juu jaman mnajua uzito wa ton tano na aziweke kusubir ton 5 hii nahisi kama tunapandishwa minazi ya rufiji sasa
 
Hizo Zina it was ruby zoisite zinapatikana longido,mundarara zinauzwaga kwa kg
Kila mawe upande wa grade inakuwaga n bei yake kwa kg kna kg 1 =25000 mpaka 500000 inategemea na quality
Kwa hyo kwa tani moja Kufika bln ni kawaida

Ova
Hii tani 1 kupata hata 30m ni kazi,2017 enzi mundarara imechanganya tipa ulikua unauziwa 30m ....ukienda kusort inaweza rudisha mtaji na faida kiduchu au kukata mtaji wote.watu wengi mitaji ilikata wengine mpka leo wanayo majabali nyumbani hakuna wateja
 
Mie mvuvi sijui lini nitakuwa bilionea..potelea mbali nashukuru nachokipata.
 
Mkuu acha kukalili hayo madini sio ruby pure yako mixer au ndo walewale note ya mia mbili mmeambiwa inauzwa million mia moja ukiuliza wapi utaambiwa dar nioneshe mteja hamna
NAAMINJ HATA WEWE HUJAELEWA ULICHOANDIKA,MKUU TANI 5 ZA RUBY HIVI UNAELEWA LAKINI AU NA WEWE NI MWANAKWAYA SAUTI YA TATU
 
Mabilionea wa hivyo walikua wengi awamu zilizopita Ila waliuza kimya kimya.
Ndio haya magorofa unayoona mjini yasiyo na maelezo
 
Ndugu mtanzania mwezangu TANI TANO za RUBY walizitoa shimoni na Crane ama
Aisee Kitoabu njoo mara moja utupe muongozo
Katika jambo la kudhalilisha wanataaluma na wajuvi wa mambo ya madini ni hiki kitu kilicholetwa hapa kuhusu 'eti tani 5 za madini' haiingii akilini.

Mtoa mata hajui au ni kilaza, kwenye haya madini ya Ruby kuna aina nyingi, kama
1.Ruby Gem hii huuzwa mpaka 2mil kwa gram na inategemeana na ubora na ukubwa.

2 .Ruby nyingine nadhani ni kama anavyotaka kueleza mtoa mada, ambayo ni mwamba unaweza ukapata kutoka kwenye mwamba na ukapata au kutoa uzani wa 5gram za Ruby Gem.

Sasa hizo 5ton sijui ni kitu gani au tuseme 1ton =1,000kg na hiyo bilioni 1.7=1,700,000,000 gawanya kwa 5,000kg ni sawa na 340,000/= au ameeleweka huyo jamaa, ahahaa😁
 
Nakumbuka kuna mhindi mmoja alikuwa anachimbaga huko wakati huo alikuwa anayazoa
Haswaa

Ova
 
Gharama za kuchimba Tani 5 za madini huenda zikazidi gharama ya Bili 1.7 kama uchimbaji ni wa Open space,!! Kuna walakini hapo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…