Kaka Pekee
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 336
- 564
- Thread starter
-
- #101
Kwa nyongeza ni kuwa ana Investments Lukuki kabisa huko nje, na si kuwa Utajiri wa Benki pekee.Real Estates, Companies etcFedha yake haipo Tanzania ; ipo offshore [ Jersey] Matajiri karibuni wote pengine JAH PEOPLE peke yake fedha yao imefichwa nje ya nchi!!! Mo ameficha huko DUBAI na ndio maana family yake imehamia huko; hapa kawabakizia SIMBA SPORTS club!!!
Kwa hiyo Wanachama wa Simba 51% na Mo Dewji 49% nani ni mmiliki wa Simba?Ukiwa na share nyingi kuliko wengine ndio unakuwa mmiliki maana maamuzi mengi unafanya wewe....
YAP, MFANO KWENYE FAMILIA YULE MTOTO MWENYE HELA NYINGI KULIKO WENGINE NDIO ANASIKILIZWA.Ukiwa na share nyingi kuliko wengine ndio unakuwa mmiliki maana maamuzi mengi unafanya wewe....
Swali zuli sana, nafarijika sana kuona mijadara kama hiii ndugu zanguni.Wataalanu wa hisa tusaidieni hisa za Rostam zimeuzika vipi hisa za wengine mbona haziuziki?
Samahani kwa swali hili? Kwa kampuni kama Facebook shares zake ni public or privateExactly kama jumla ya hisa zilizo orodheshwa na kampuni usika let's say ni laki tano ambazo zinakuwa mikononi mwa watu mbali mbali ambao ni ordinary na preferred ukiweze kuwashawishi ukazinunu a zote basi kampuni itakuwa yako. Lkn mara nyingi sheria hairuhusu shares zote kumilikiwa na mutu mmoja maana ikitokea hvyo hyo Haitakuwa tena public company bali italudi kuwa private maana itakuwa inamilikiwa na mutu mmoja.
CCM is one of the complicated creature in the world. Ndio maana nikiona maneno mepesi ya kuing'oa madarakani natabasamu alafu nakaza mwendo kutafuta ugali wa watoto [emoji41][emoji41][emoji41]Channel 10&Magic fm-Ilikua Mali ya Rostam kwa sasa inamilikiwa na CCM,jiulize ilikuaje ikarudi CCM?
Vodacom Tz-Ililetwa na CCM nchini wkt Jamaa akiwa mweka hazina wa CCM,akaipiga juu kwa juu.
Leo ukiwauliza mlipateja pesa nyingi hivi?zina anza story ooh babu yetu alikua anafanya biashara za ngozi kutoka huko Igunga&Bukene kupeleka nchi za nje,hajah kalaghabaho.
Wengine tulinunua baada ya kuona waziri mkuuu kanunua Hisakuna wale tulionunua bila mipango yoyote swala lilikuwa umenunua hisa tu
waziri amecheza na akili zetu mkuuWengine tulinunua baada ya kuona waziri mkuuu kanunua Hisa
Sijaelewa.Ni hivi kwani mnunuzi wa hisa ukienda kununua hisa unaenda kusema unataka hisa za Juma au hamisi au Rostam?.Si unaomba tu kununua hisa zilizoko sokoni .Kwani Kuna mahali pa kujaza kuonyesha unazitaka za Magdalena au za Asha Ngedere?
waziri amecheza na akili zetu mkuu
The opposite is trueUkiwa na share nyingi kuliko wengine ndio unakuwa mmiliki maana maamuzi mengi unafanya wewe....