Bilionea Rostam Aziz amemalizana na Vodacom Tanzania (Auza hisa zote kwa Vodacom SA)

Bilionea Rostam Aziz amemalizana na Vodacom Tanzania (Auza hisa zote kwa Vodacom SA)

Fedha yake haipo Tanzania ; ipo offshore [ Jersey] Matajiri karibuni wote pengine JAH PEOPLE peke yake fedha yao imefichwa nje ya nchi!!! Mo ameficha huko DUBAI na ndio maana family yake imehamia huko; hapa kawabakizia SIMBA SPORTS club!!!
Kwa nyongeza ni kuwa ana Investments Lukuki kabisa huko nje, na si kuwa Utajiri wa Benki pekee.Real Estates, Companies etc
 
Ukiwa na share nyingi kuliko wengine ndio unakuwa mmiliki maana maamuzi mengi unafanya wewe....
Kwa hiyo Wanachama wa Simba 51% na Mo Dewji 49% nani ni mmiliki wa Simba?
 
Ukiwa na share nyingi kuliko wengine ndio unakuwa mmiliki maana maamuzi mengi unafanya wewe....
YAP, MFANO KWENYE FAMILIA YULE MTOTO MWENYE HELA NYINGI KULIKO WENGINE NDIO ANASIKILIZWA.
 
Exactly kama jumla ya hisa zilizo orodheshwa na kampuni usika let's say ni laki tano ambazo zinakuwa mikononi mwa watu mbali mbali ambao ni ordinary na preferred ukiweze kuwashawishi ukazinunu a zote basi kampuni itakuwa yako. Lkn mara nyingi sheria hairuhusu shares zote kumilikiwa na mutu mmoja maana ikitokea hvyo hyo Haitakuwa tena public company bali italudi kuwa private maana itakuwa inamilikiwa na mutu mmoja.
Samahani kwa swali hili? Kwa kampuni kama Facebook shares zake ni public or private
 
Channel 10&Magic fm-Ilikua Mali ya Rostam kwa sasa inamilikiwa na CCM,jiulize ilikuaje ikarudi CCM?

Vodacom Tz-Ililetwa na CCM nchini wkt Jamaa akiwa mweka hazina wa CCM,akaipiga juu kwa juu.

Leo ukiwauliza mlipateja pesa nyingi hivi?zina anza story ooh babu yetu alikua anafanya biashara za ngozi kutoka huko Igunga&Bukene kupeleka nchi za nje,hajah kalaghabaho.
CCM is one of the complicated creature in the world. Ndio maana nikiona maneno mepesi ya kuing'oa madarakani natabasamu alafu nakaza mwendo kutafuta ugali wa watoto [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Voda alikiwa na keherehere wakati soko lishakuwa saturated. Kuongezeka kwa faida ni ngumu maana hakuna wateja wapya. Na sheria ngumu zinaendelea tungwa ndio maana mjanja kauza vyake
 
Sijaelewa.Ni hivi kwani mnunuzi wa hisa ukienda kununua hisa unaenda kusema unataka hisa za Juma au hamisi au Rostam?.Si unaomba tu kununua hisa zilizoko sokoni .Kwani Kuna mahali pa kujaza kuonyesha unazitaka za Magdalena au za Asha Ngedere?


YEHODAYA pitia hata dar stock exchange upate updates...
 
Back
Top Bottom