Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
Bilionea namba 5 duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes, Warren Buffett baada ya mwanahisa mwenzake ndani ya kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' Bwana Charlie Munger kutangulia mbele ya haki 28/11/2023
Kwenye jarida la Fortune Magazine, linaeleza kuwa kwenye barua iliyochapishwa na kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' liliandika kuhusu uamuzi ambao uliazimiwa na familia hiyo tangu mwaka 2006 kuhusiana na kugawa mali za bilionea huyo kwa masikini.
Uamuzi ambao ulijadiliwa tena November mwaka huu pamoja na watoto wake watatu ambao wanakadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 65 - 70, ni kuhusu kugawa asilimia 99 ya utajiri wa Bilionea huyo kwa familia masikini na watoto wake kuhakikisha hilo linafanyika kwa usimamizi wao.
Hapa kwetu Africa lini tutafikia hii hatua?, Au tuendelee kusindikiza dunia? 🥴🥴
Chanzo: Fortune Magazine.
Kwenye jarida la Fortune Magazine, linaeleza kuwa kwenye barua iliyochapishwa na kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' liliandika kuhusu uamuzi ambao uliazimiwa na familia hiyo tangu mwaka 2006 kuhusiana na kugawa mali za bilionea huyo kwa masikini.
Uamuzi ambao ulijadiliwa tena November mwaka huu pamoja na watoto wake watatu ambao wanakadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 65 - 70, ni kuhusu kugawa asilimia 99 ya utajiri wa Bilionea huyo kwa familia masikini na watoto wake kuhakikisha hilo linafanyika kwa usimamizi wao.
Hapa kwetu Africa lini tutafikia hii hatua?, Au tuendelee kusindikiza dunia? 🥴🥴
Chanzo: Fortune Magazine.