Bilionea Warren Buffett: Nikifariki mali zangu wapewe wenye uhitaji

Bilionea Warren Buffett: Nikifariki mali zangu wapewe wenye uhitaji

Haya maisha ukifanikiwa kujiweka mbali na tamaa ya pesa utaishi kwa amani sana, bahati mbaya maskini wengi hatuwezi kuishi hivyo, kwetu kila siku ni mitihani inayohitaji pesa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mkuu, Unaweza kuishi bila pesa kweli, au una maanisha utajiri??
 
Hela ni zake na maamuzi ni yake.

Wabongo wengi wana komenti kwamba Warren Buffett agawe hela zake sa hivi akiwa hai, utadhani walisaidiana naye kutafuta hizi hela.

Ndio maana yule Chief Godlove anaitaga wabongo, Maskini umbwaa takataka..[emoji1]

Hela si yako inakuwashia nini?

Kama anatakiwa agawe mali akiwa hai, Watu wengine pia si mko hai, Mbona watu hamgawi mali zenu kwa hao maskini?
 
Ni unafiki tu..kwann asiwape sasa hivi
Acha akili za kimaskini, nini maana ya urithi?
wenye haki ya kurithi hizo mali ni familia yake Warren kwanini hawapi kabla hajafa?
babaako anaeza kukuachia nyumba kabla hajafa? jinsi babaako alivyo na uchungu na hiyo nyumba anavyoiona hiyo nyumba ndo utambulisho wake akiwa hai ndio maana hawezi kukurithisha kabla hajafa, labda kwenye makaratasi tu lakini kuimiliki ni mpaka afe.

the same kwa Warren hizo ni mali alizitafuta kwa jasho lake ana uchungu nazo na ndio utambulisho wake mpaka kufa

mtu kaamua nikifa urithi wangu wagaiwe wenye uhitaji mmatumbi mmoja anaita unafki, shwain
 
Kwanini asiwape mwenyewe kabla hajafa?
Acha akili za kimaskini, nini maana ya urithi?
wenye haki ya kurithi hizo mali ni familia yake Warren kwanini hawapi kabla hajafa?
babaako anaeza kukuachia nyumba kabla hajafa? jinsi babaako alivyo na uchungu na hiyo nyumba anavyoiona hiyo nyumba ndo utambulisho wake akiwa hai ndio maana hawezi kukurithisha kabla hajafa, labda kwenye makaratasi tu lakini kuimiliki ni mpaka afe.

the same kwa Warren hizo ni mali alizitafuta kwa jasho lake ana uchungu nazo na ndio utambulisho wake mpaka kufa

mtu kaamua nikifa urithi wangu wagaiwe wenye uhitaji mmatumbi mmoja anaita unafki, shwain
 
Hili nalo neno...

Zina masharti pesa[emoji1787]
Acha akili za kimaskini, nini maana ya urithi?
wenye haki ya kurithi hizo mali ni familia yake Warren kwanini hawapi kabla hajafa?
babaako anaeza kukuachia nyumba kabla hajafa? jinsi babaako alivyo na uchungu na hiyo nyumba anavyoiona hiyo nyumba ndo utambulisho wake akiwa hai ndio maana hawezi kukurithisha kabla hajafa, labda kwenye makaratasi tu lakini kuimiliki ni mpaka afe.

the same kwa Warren hizo ni mali alizitafuta kwa jasho lake ana uchungu nazo na ndio utambulisho wake mpaka kufa

mtu kaamua nikifa urithi wangu wagaiwe wenye uhitaji mmatumbi mmoja anaita unafki, shwain
 
Acha akili za kimaskini, nini maana ya urithi?
wenye haki ya kurithi hizo mali ni familia yake Warren kwanini hawapi kabla hajafa?
babaako anaeza kukuachia nyumba kabla hajafa? jinsi babaako alivyo na uchungu na hiyo nyumba anavyoiona hiyo nyumba ndo utambulisho wake akiwa hai ndio maana hawezi kukurithisha kabla hajafa, labda kwenye makaratasi tu lakini kuimiliki ni mpaka afe.

the same kwa Warren hizo ni mali alizitafuta kwa jasho lake ana uchungu nazo na ndio utambulisho wake mpaka kufa

mtu kaamua nikifa urithi wangu wagaiwe wenye uhitaji mmatumbi mmoja anaita unafki, shwain
Sasa povu la nini, stress tu zinakusumbua...
 
AFRICA Ni wachoyo sana, tupo radhi kuchangia msiba, kuliko akiwa bado yupo hai anaumwa
Kwa sababu ya kauli yako, "...tupo radhi...", nakushauri uachane na hiyo tabia mkuu. Wewe ukiacha, na wengine watafuatia. (Nimekutania kwa sababu naamini huna tabia hiyo).

Ni ubinafsi mkubwa sana. Mtu anaweza akaomba asaidiwe hela ya matibabu asipate, ila mtu huyo huyo akifa, hufanyiwa mazishi ya kifahari.

Watu wenye tabia kama hiyo hawana tofauti na "wachawi!"
 
Wazungu kuwa nao sawa ni mbingu na ardhi
Wao kwanza ni waaminifu na wamejifunza katika maisha haya haya waafrika tunayoishi
Mfumo wa maisha ni tofauti kabisa
Mwafrika anapeleka fungu la mshahara kanisani wakati mzungu anahakikisha wana Charities nyingi sana kutoka taasisi mbali mbali na wanachangia kila mwezi au kila wakati wanapoona tangazo na hela zinaenda kwa walengwa

Kwa mfano Charities za Cancer research mpaka maduka ya mitumba wanayo na wanaopeleka madukani ni wananchi hata mimi nimepeleka sana
Pia wanasaidia kila kitu usione wana kila kitu sio yote wanapata kutoka serikalini hasha
Vingine wanajitolea sana tena sana mpaka Africa misaada inayokuja sio ya serikali tu bali wananchi wanachanga sana
Wakisikia punda wanateswa wa kwanza kuchangia ni wao
Miradi kama WaterAid ni hela wanazochanga hata Red cross inafadhiliwa na watu kwa kutoa

Sasa mwafrika hela za kufa na kuzikana mmepitia, za pensions mmepitia
Shule inapigwa picha imekandikwa na matope juu nyasi na watoto hawana hata madaftari
Hapa nikisema tuchangie na mimi naanza na laki 5 utasikia unaambiwa hiyo sio kazi yetu ni kazi ya serikali
Sasa lini mtajua charity starts at home
Kwanza tujue kujisaidia wenyewe bila kusubiri kila kitu serikali wakati sisi ndio nchi yetu
Maendeleo ya wazungu ni hizo Charities pia maana ina misaada mikubwa sana kwa watu
Leo nikikosa pa kulala naweza kwenda mahali nikapata pa kulala kiasi serikali inanitafutia sehemu tena bure
Majuzi mmoja kasema uchafu umejaa sehemu anayoishi eti wanasubiri waondolewe
 
Wazungu kuwa nao sawa ni mbingu na ardhi
Wao kwanza ni waaminifu na wamejifunza katika maisha haya haya waafrika tunayoishi
Mfumo wa maisha ni tofauti kabisa
Mwafrika anapeleka fungu la mshahara kanisani wakati mzungu anahakikisha wana Charities nyingi sana kutoka taasisi mbali mbali na wanachangia kila mwezi au kila wakati wanapoona tangazo na hela zinaenda kwa walengwa

Kwa mfano Charities za Cancer research mpaka maduka ya mitumba wanayo na wanaopeleka madukani ni wananchi hata mimi nimepeleka sana
Pia wanasaidia kila kitu usione wana kila kitu sio yote wanapata kutoka serikalini hasha
Vingine wanajitolea sana tena sana mpaka Africa misaada inayokuja sio ya serikali tu bali wananchi wanachanga sana
Wakisikia punda wanateswa wa kwanza kuchangia ni wao
Miradi kama WaterAid ni hela wanazochanga hata Red cross inafadhiliwa na watu kwa kutoa

Sasa mwafrika hela za kufa na kuzikana mmepitia, za pensions mmepitia
Shule inapigwa picha imekandikwa na matope juu nyasi na watoto hawana hata madaftari
Hapa nikisema tuchangie na mimi naanza na laki 5 utasikia unaambiwa hiyo sio kazi yetu ni kazi ya serikali
Sasa lini mtajua charity starts at home
Kwanza tujue kujisaidia wenyewe bila kusubiri kila kitu serikali wakati sisi ndio nchi yetu
Maendeleo ya wazungu ni hizo Charities pia maana ina misaada mikubwa sana kwa watu
Leo nikikosa pa kulala naweza kwenda mahali nikapata pa kulala kiasi serikali inanitafutia sehemu tena bure
Majuzi mmoja kasema uchafu umejaa sehemu anayoishi eti wanasubiri waondolewe
👏👏👏✅🙏🙏🙏

Una "kitu" kizuri sana. Naomba usiishie kwenye huu uzi. Fanya kitu, tafadhali🙏
 
Kwa sababu ya kauli yako, "...tupo radhi...", nakushauri uachane na hiyo tabia mkuu. Wewe ukiacha, na wengine watafuatia. (Nimekutania kwa sababu naamini huna tabia hiyo).

Ni ubinafsi mkubwa sana. Mtu anaweza akaomba asaidiwe hela ya matibabu asipate, ila mtu huyo huyo akifa, hufanyiwa mazishi ya kifahari.

Watu wenye tabia kama hiyo hawana tofauti na "wachawi!"
Mkuu suala hili ni Kwa watu weusi, na imekua kama desturi hapa Tanzania, Mwenyezi mungu atuepushe na kikombe hiki.
 
Back
Top Bottom