Bilionea Wilfred Tarimo Apewa tuzo ya mlipa Kodi mkubwa

Bilionea Wilfred Tarimo Apewa tuzo ya mlipa Kodi mkubwa

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
WhatsApp Image 2023-12-04 at 20.07.32.jpeg


111111.jpeg

Wilfred Lucas Tarimo siyo jina geni kwa watu wa kaskazini hasa mkoa wa Kilimanjaro na Arusha kutokana na baba yao mzazi mzee Lucas Tarimo[Marehemu] kuwa na utajiri kumkaribia Reginald Mengi.

Mtoto wa Mzee Lukas Tarimo aitwaye a Wilfred Lucas Tarimo ambaye sasa ni mmiliki wa Snow Crest lakini pia kampuni ya Dereck Inc Co limited na wanawe na mkewe kwa pamoja yaani WILFRED LUCAS TARIMO, DERICK WILFRED TARIMO, DOREEN WILFRED TARIMO , MRS. IRENE WILFRED TARIMO leo amepewa tuzo ya mlipakodi mkubwa moani kilimananjaro, ikumbukwe mwanaye aitwaye Doreen kwenye send off alipewa gari mbili zote zero kilometre, land cruiser milioni 450 na rav 4 ya milioni 150 pamoja na ghorofa shanty town ya thamani ya Tsh. 1.9 Bilioni.



WhatsApp Image 2023-12-04 at 19.57.59.jpeg
 
L

Vijana wangapi wanaangamia kwa hizo pombe?
Vijana wachache sana wana-angamia ukilinganisha wa watu wanaoangamia kwa kukosa nguvu za kiume kwa kula kuku wa kisasa[sitaji kampuni], kwa kula ice cream[sitaji kampuni], viriba tumbo kwa kula tambi za yule tajiri namba moja Tanganyika,.kwa kukosa hamu ya tendo kutokana na wanawake wacheza muziki kukaa uchi hivyo libido za kiume kushuka , etc.

Vijana wangapi wanaangamia kwa ukimwi kwa kumuiga Dayi-monde kupiga kila demu anayekata kiuno kwenye shoo zake? umewahi kukemea hilo ama Diamond ni roli mode wa dada zako?

Kupanga ni kuchagua, dont drink and drive na bado kuna parking baa , hizo parking ni za magari ya wanywa juisi?
 
Wachache ukilinganisha wa watu wanaoangamia kwa kukosa nguvu za kiume kwa kula kuku wa kisasa[sitaji kampuni], kwa kula ice crea,[sitaji kampuni], viriba tumbo kwa kula tambi za yule tajiri namba moja tanganyika,.
Vijana wangapi wanaangamia kwa ukimwi kwa kumuiga diamond kupiga kila demu anayekata kiuno kwenye shoo zake? umewahi kukemea hilo ama Diamond ni rol mode wa dada zako?
Kupanga ni kuchagua, dont drink and drive na bado kuna parking baa , hizo parking ni za magari ya wanywa juisi?
Kwa hapo dimomd umemuonea kwa hiyo list yako.
 
Kila kundi linasifika kwa uwezo flani, huwezi kuwa na vyote
Kwakweli.
  • Hatupendi ukweli ila ndio hivyo ilivyo.
  • Sijawahi kuona mchagga omba-omba hapa Dar es salaam kwenye makutano ya barabara zote.
  • Sijaona mchaga anakaa Buza na ni house-girl kwenye nyumba za ma-don huko Masaki .
  • Kuna mambo yao flani, na hatupaswi kufanana.
  • Ukitaka housegirl unaagiza Iringa, Mwanza au Tabora.
kila mkoa na kazi zake.
 
Kwamba Diyamundi hajapiga Wema, Zuchu, Jo-ho-joo kreti, Zari, Tanasha, Kaja-a-laa na Mwanae, na wengine wote wanaopita kwake na anakutana nao club?

#Hao wote si anapiga kavu na ndio maana wanamzalia?
Sasa hiyo hiyo ya daimondi kupiga hao madem inaathiri vipi afya yako? Akipiga huko wewe unapata mimba au ukimwi.

Si kapiga yeye, kwani wewe wazazi wako walitumia kinga??
 
Back
Top Bottom