Bilionea Wilfred Tarimo Apewa tuzo ya mlipa Kodi mkubwa

Bilionea Wilfred Tarimo Apewa tuzo ya mlipa Kodi mkubwa



Wilfred Tarimo siyo jina geni kwa watu wa kaskazini hasa kutokana na baba yao mzazi mzee Lucas Tarimo kuwa na utajiri kumkaribia Reginald Mengi.

Mtoto wake aitwaye Wilfred ambaye sasa ni mmiliki wa Snow Crest lakini pia kampuni ya Dereck Inc Co limited na wanawe na mkewe kwa pamoja yaani WILFRED LUCAS TA R IM O ,DEDRICK WILFRED TARIMO,
DOREEN WILFRED TA R IM O , MRS. IRENE WILFRED TA R IM O leo amepewa tuzo ya mlipakodi mkubwa moani kilimananjaro, ikumbukwe mwanaye aitwaye doreen kwenye send off alipewa gari mbili zote zero kilometre, land cruiser milioni 450 na rav 4 ya milioni 150 pamoja na ghorofa shanty town ya dhamani ya 1.9 bilion.


View attachment 2833232
Kitu matajiri wengi wa mkoa wa Kilimanjaro wamefanikiwa ni kuendeleza family business.
 
Sema kaskazini siku hz imepwaya sana aiseee kuna era ya kina Mengi, Msuya, Ndesamburo(ndesamapesa)na wengn wengi ambao majina yao hayakua makubwa Sana

Kwenye siasa alikuepo Mrema, Mbowe, Lema, Lowasa na wengn
Kaskazini imepwaya sana kwasababu siku hizi “Hakuna era”?

Unazungumzia “era” kwa muktadha gani hapa?

Au unamaanisha “legacy”?
 
Kwakweli.
Hatupendi ukweli ila ndio hivyo.
Sijawahi kuona mchaga omba-omba hapa Dar es salaam kwenye makutano ya barabara.
Sijaona mchaga anakaa buza na ni housegirl kwenye nyumba za ma-don huko Masaki .
Kuna mambo yao flani, na hatupaswi kufanana.
Ukitaka housegirl unaagiza Iringa, Mwanza au Tabora.
kila mkoa na kazi zake.
Hao ombaomba ni kabila gani, huwa wamevaa beji kuonesha makabila yao. Wachaga kwa kujipiga promo za kipuuzi, sifa za kijinga tu wakati wengi ni maskini tena sana, ni wapiga debe,
 
Nani kukuambia mimi nakula Kuku mimi nakula njiwa na nyama ya ngamia na nyama ya kondoo za New Zeland au Australia ukila nyama inakufata na Tonge sio nyie mnakula mbuzi walio kufa we simchungaji njoo tukupe kazi ya kuchunga kondoo
Mkuu kumbe huko Newzealand? Itakuwa tu unaishi Christchurch kwa maforeigners wengi. Wellington ni ngumu kumkuta mmatumbi.

Kumbe ulikoswaKoswa kupigwa risasi msikitini na yule right wing?
 
Yaani msanii ambaye anaongelea kuibiwa kufia ya boston celtics tumlinganishe na mfanyabiashara kama huyu[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kofia imetaka kumtoa roho daaah... Onesmo usirudi hotelini bila kofia hahahaaaa... Namuona King [emoji146] anavyoenda kuchekea chooni akiona hiyo clip..
 
Wachache ukilinganisha wa watu wanaoangamia kwa kukosa nguvu za kiume kwa kula kuku wa kisasa[sitaji kampuni], kwa kula ice crea,[sitaji kampuni], viriba tumbo kwa kula tambi za yule tajiri namba moja tanganyika,.

Vijana wangapi wanaangamia kwa ukimwi kwa kumuiga diamond kupiga kila demu anayekata kiuno kwenye shoo zake? umewahi kukemea hilo ama Diamond ni rol mode wa dada zako?

Kupanga ni kuchagua, dont drink and drive na bado kuna parking baa , hizo parking ni za magari ya wanywa juisi?​
Hivi Boss kuku zakisasa zinachangia kukosa nguvu zakiume??
 


Kupanga ni kuchagua, dont drink and drive na bado kuna parking baa , hizo parking ni za magari ya wanywa juisi?​
😅😅😅askari usalama barabarani ichukueni hii,gari yoyote ikipark baa hakuna kulitoa mpaka dereva apimwe kilevi.
 

Angalia current status , wachaga walikuwa Mengi na shirima na wameshakufa...Huyo still hana jipya wa kawaida sana 🤣🤣.


Hata taasisi yetu ilishachukua mwajiri mzuri na mtunza mahesabu mazuri ila mishahara tunajua wenyewe.
Screenshot_20231205-061354.png
 
Kwakweli.
Hatupendi ukweli ila ndio hivyo.
Sijawahi kuona mchaga omba-omba hapa Dar es salaam kwenye makutano ya barabara.
Sijaona mchaga anakaa buza na ni housegirl kwenye nyumba za ma-don huko Masaki .
Kuna mambo yao flani, na hatupaswi kufanana.
Ukitaka housegirl unaagiza Iringa, Mwanza au Tabora.
kila mkoa na kazi zake.
Kuna wachaga kibao wapinda uswahilini wanajinywea tu banana na gongo nahisi umejifungia kwenye eneo moja
 
Back
Top Bottom