Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena toka Shenzhen.🤣Yaani msanii ambaye anaongelea kuibiwa kufia ya boston celtics tumlinganishe na mfanyabiashara kama huyu😂
Cc Ritz Accumen Mo darcity
Wilfred Tarimo siyo jina geni kwa watu wa kaskazini hasa kutokana na baba yao mzazi mzee Lucas Tarimo kuwa na utajiri kumkaribia Reginald Mengi.
Mtoto wake aitwaye Wilfred ambaye sasa ni mmiliki wa Snow Crest lakini pia kampuni ya Dereck Inc Co limited na wanawe na mkewe kwa pamoja yaani WILFRED LUCAS TA R IM O ,DEDRICK WILFRED TARIMO,
DOREEN WILFRED TA R IM O , MRS. IRENE WILFRED TA R IM O leo amepewa tuzo ya mlipakodi mkubwa moani kilimananjaro, ikumbukwe mwanaye aitwaye doreen kwenye send off alipewa gari mbili zote zero kilometre, land cruiser milioni 450 na rav 4 ya milioni 150 pamoja na ghorofa shanty town ya dhamani ya 1.9 bilion.
View attachment 2833232
Hapa Mkoa wa Mjini Magharibi tunazisubiri hizo Kodi zenu tuzitafune taratiibu.
Wilfred Tarimo siyo jina geni kwa watu wa kaskazini hasa kutokana na baba yao mzazi mzee Lucas Tarimo kuwa na utajiri kumkaribia Reginald Mengi.
Mtoto wake aitwaye Wilfred ambaye sasa ni mmiliki wa Snow Crest lakini pia kampuni ya Dereck Inc Co limited na wanawe na mkewe kwa pamoja yaani WILFRED LUCAS TA R IM O ,DEDRICK WILFRED TARIMO,
DOREEN WILFRED TA R IM O , MRS. IRENE WILFRED TA R IM O leo amepewa tuzo ya mlipakodi mkubwa moani kilimananjaro, ikumbukwe mwanaye aitwaye doreen kwenye send off alipewa gari mbili zote zero kilometre, land cruiser milioni 450 na rav 4 ya milioni 150 pamoja na ghorofa shanty town ya dhamani ya 1.9 bilion.
View attachment 2833232
Cc Ritz Accumen Mo incharge Malaria 2 Adiosamigo inamankusweke kahtaan FaizaFoxy adriz Dalmine MlolongoWachache ukilinganisha wa watu wanaoangamia kwa kukosa nguvu za kiume kwa kula kuku wa kisasa[sitaji kampuni], kwa kula ice crea,[sitaji kampuni], viriba tumbo kwa kula tambi za yule tajiri namba moja tanganyika,.
Uchawa ndo mpango. Ona Mwenezi anafyonza taratiibu bila jasho. land cruiser LC 300 Hana stress.. BTW Anaingia lini KateshDah...ila ndio hivyo ishakua...huo mfereji wa utajiri ni mpk utawafikia vitukuuu..tufanye kazi bandugu...
Cc Accumen Mo MoseKing darcityKwakweli.
Hatupendi ukweli ila ndio hivyo.
Sijawahi kuona mchaga omba-omba hapa Dar es salaam kwenye makutano ya barabara.
Sijaona mchaga anakaa buza na ni housegirl kwenye nyumba za ma-don huko Masaki .
Kuna mambo yao flani, na hatupaswi kufanana.
Ukitaka housegirl unaagiza Iringa, Mwanza au Tabora.
kila mkoa na kazi zake.
Mdebwedo, hilo pasi na shaka twajua upande wa pili tunawalipia kila kitu yahe.Hapa Mkoa wa Mjini Magharibi tunazisubiri hizo Kodi zenu tuzitafune taratiibu.
Leodega Tenga mnamkumbuka?Mkurugenzi wa michezo yanga ni mchaga Wala hawako mbali na mpira kasoma nadhani Mwika kama sikosei ila jina ndio limenitoka
Sijui naona wenzie wapo huko kutoa msaada ila wao ndo wanasaidiwa na polisi kuvuka matope...Uchawa ndo mpango. Ona Mwenezi anafyonza taratiibu bila jasho. land cruiser LC 300 Hana stress.. BTW Anaingia lini Katesh
Katibu Wilaya aandae vijana wa bodaboda na punda wa kutoshaSijui naona wenzie wapo huko kutoa msaada ila wao ndo wanasaidiwa na polisi kuvuka matope...
Sasa huyu ndo tajiri sasa.
Wilfred Tarimo siyo jina geni kwa watu wa kaskazini hasa kutokana na baba yao mzazi mzee Lucas Tarimo kuwa na utajiri kumkaribia Reginald Mengi.
Mtoto wake aitwaye Wilfred ambaye sasa ni mmiliki wa Snow Crest lakini pia kampuni ya Dereck Inc Co limited na wanawe na mkewe kwa pamoja yaani WILFRED LUCAS TA R IM O ,DEDRICK WILFRED TARIMO,
DOREEN WILFRED TA R IM O , MRS. IRENE WILFRED TA R IM O leo amepewa tuzo ya mlipakodi mkubwa moani kilimananjaro, ikumbukwe mwanaye aitwaye doreen kwenye send off alipewa gari mbili zote zero kilometre, land cruiser milioni 450 na rav 4 ya milioni 150 pamoja na ghorofa shanty town ya dhamani ya 1.9 bilion.
View attachment 2833232
Mbona wapo wengi tu bruh ndio kama hawa wakiendelea kupambana watafika level za akina mengiSema kaskazini siku hz imepwaya sana aiseee kuna era ya kina Mengi, Msuya, Ndesamburo(ndesamapesa)na wengn wengi ambao majina yao hayakua makubwa Sana
Kwenye siasa alikuepo Mrema, Mbowe, Lema, Lowasa na wengn
Hivi wewe huwa unauliza hao ombaomba kabila zao?Kwakweli.
Hatupendi ukweli ila ndio hivyo.
Sijawahi kuona mchaga omba-omba hapa Dar es salaam kwenye makutano ya barabara.
Sijaona mchaga anakaa buza na ni housegirl kwenye nyumba za ma-don huko Masaki .
Kuna mambo yao flani, na hatupaswi kufanana.
Ukitaka housegirl unaagiza Iringa, Mwanza au Tabora.
kila mkoa na kazi zake.
Mzee wetu alianguka padogo Sana. DaahMbona wapo wengi tu bruh ndio kama hawa wakiendelea kupambana watafika level za akina mengi