Bilionea Wilfred Tarimo Apewa tuzo ya mlipa Kodi mkubwa

Bilionea Wilfred Tarimo Apewa tuzo ya mlipa Kodi mkubwa



Wilfred Tarimo siyo jina geni kwa watu wa kaskazini hasa kutokana na baba yao mzazi mzee Lucas Tarimo kuwa na utajiri kumkaribia Reginald Mengi.

Mtoto wake aitwaye Wilfred ambaye sasa ni mmiliki wa Snow Crest lakini pia kampuni ya Dereck Inc Co limited na wanawe na mkewe kwa pamoja yaani WILFRED LUCAS TA R IM O ,DEDRICK WILFRED TARIMO,
DOREEN WILFRED TA R IM O , MRS. IRENE WILFRED TA R IM O leo amepewa tuzo ya mlipakodi mkubwa moani kilimananjaro, ikumbukwe mwanaye aitwaye doreen kwenye send off alipewa gari mbili zote zero kilometre, land cruiser milioni 450 na rav 4 ya milioni 150 pamoja na ghorofa shanty town ya dhamani ya 1.9 bilion.


View attachment 2833232
Cc Ritz Accumen Mo darcity
 


Wilfred Tarimo siyo jina geni kwa watu wa kaskazini hasa kutokana na baba yao mzazi mzee Lucas Tarimo kuwa na utajiri kumkaribia Reginald Mengi.

Mtoto wake aitwaye Wilfred ambaye sasa ni mmiliki wa Snow Crest lakini pia kampuni ya Dereck Inc Co limited na wanawe na mkewe kwa pamoja yaani WILFRED LUCAS TA R IM O ,DEDRICK WILFRED TARIMO,
DOREEN WILFRED TA R IM O , MRS. IRENE WILFRED TA R IM O leo amepewa tuzo ya mlipakodi mkubwa moani kilimananjaro, ikumbukwe mwanaye aitwaye doreen kwenye send off alipewa gari mbili zote zero kilometre, land cruiser milioni 450 na rav 4 ya milioni 150 pamoja na ghorofa shanty town ya dhamani ya 1.9 bilion.


View attachment 2833232
Hapa Mkoa wa Mjini Magharibi tunazisubiri hizo Kodi zenu tuzitafune taratiibu.
 
Kwakweli.
Hatupendi ukweli ila ndio hivyo.
Sijawahi kuona mchaga omba-omba hapa Dar es salaam kwenye makutano ya barabara.
Sijaona mchaga anakaa buza na ni housegirl kwenye nyumba za ma-don huko Masaki .
Kuna mambo yao flani, na hatupaswi kufanana.
Ukitaka housegirl unaagiza Iringa, Mwanza au Tabora.
kila mkoa na kazi zake.
Cc Accumen Mo MoseKing darcity
 
Sema kaskazini siku hz imepwaya sana aiseee kuna era ya kina Mengi, Msuya, Ndesamburo(ndesamapesa)na wengn wengi ambao majina yao hayakua makubwa Sana

Kwenye siasa alikuepo Mrema, Mbowe, Lema, Lowasa na wengn
 


Wilfred Tarimo siyo jina geni kwa watu wa kaskazini hasa kutokana na baba yao mzazi mzee Lucas Tarimo kuwa na utajiri kumkaribia Reginald Mengi.

Mtoto wake aitwaye Wilfred ambaye sasa ni mmiliki wa Snow Crest lakini pia kampuni ya Dereck Inc Co limited na wanawe na mkewe kwa pamoja yaani WILFRED LUCAS TA R IM O ,DEDRICK WILFRED TARIMO,
DOREEN WILFRED TA R IM O , MRS. IRENE WILFRED TA R IM O leo amepewa tuzo ya mlipakodi mkubwa moani kilimananjaro, ikumbukwe mwanaye aitwaye doreen kwenye send off alipewa gari mbili zote zero kilometre, land cruiser milioni 450 na rav 4 ya milioni 150 pamoja na ghorofa shanty town ya dhamani ya 1.9 bilion.


View attachment 2833232
Sasa huyu ndo tajiri sasa.

Akina Azam, Mo na wengine ni majizi tu. Wana utajiri mkubwa sana lakini hawalipi kodi
 
Sema kaskazini siku hz imepwaya sana aiseee kuna era ya kina Mengi, Msuya, Ndesamburo(ndesamapesa)na wengn wengi ambao majina yao hayakua makubwa Sana

Kwenye siasa alikuepo Mrema, Mbowe, Lema, Lowasa na wengn
Mbona wapo wengi tu bruh ndio kama hawa wakiendelea kupambana watafika level za akina mengi
 
Kwakweli.
Hatupendi ukweli ila ndio hivyo.
Sijawahi kuona mchaga omba-omba hapa Dar es salaam kwenye makutano ya barabara.
Sijaona mchaga anakaa buza na ni housegirl kwenye nyumba za ma-don huko Masaki .
Kuna mambo yao flani, na hatupaswi kufanana.
Ukitaka housegirl unaagiza Iringa, Mwanza au Tabora.
kila mkoa na kazi zake.
Hivi wewe huwa unauliza hao ombaomba kabila zao?
 
Back
Top Bottom