Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usitegemee utetezi wote ni walewale njaaaaa tupuWALE TULIOWATEGEMEA WAWE WATETEZI WETU NDO WANAGEUKA KUWA WABAYA ZAIDI?!!!
Pesa haijakwapuliwa?!Wanajaribu kututoa kwenye reli. Hatutoki ng'o
Upo sahihi mkuu.kama ni kweli , hiyo bil 1.9 iliyopotea CHADEMA wangekuwa wana dola ingepotea tril 1.9
Sasa kama Ndugai hawakati si unaona kabisba yuko nyuma ya huu mchezo?
Yeye kinamhusu nini kuibiwa au kukwapuliwa hela ndani ya chadema?
Kwanini asiendelee na utaratibu wake Wa kukata kama ilivyokua awali? Au kuna wabunge Wa Chadema waliomlalamikia kuhusu suala hilo?
Kua usitukate hela maana hatuoni au haturidhishwi na matumizi yake? Yaani ni kama unavyotoa sadaka na kuondoka, kuibiwa haikuhusu
Ndugai aache kusambaza na kuvumisha usanii wake Wa kutaka wenzao Chadema washindwe hata kujiendesha, hivyo kuipa ccm kushinda uchaguzi bila kupingwa na kutuletea maboya!
mlikuja na drama ya matumizi mabaya ya CDM kununua gari moja tu milioni mia na ushehe.. likapita wakati nyie MEKO kasepa na 2.4 trioni mpaka leo hakuna kitu mmenuulia mwapinzani zote zimekwisha ndo mmeibuka na hii ya 1.9 b ya kuchonga kutoka lumumba.. shubbameeeett shwain 😛Mmawia MWALLA Salary Slip Return Of Undertaker Chakaza chuma cha mjerumani
n.k.
Eti imekuwaje? Unajua hiki ni chama kinachosimamia yale mengi munapenda nyie wadau wa humu..
Hoja yako ndio dhaifu sana kuliko hata yangu, huoni ndugai ndio chanzo cha kutopelekwa hio michango? Kwa hio anawaelekeza wapeleke michango kwa cash? Kwani huo ndio utaratibu? Acheni kuhadaiwa!Mbona hoja yako dhaifu Sana hi.Kama ndugai hawakati Hakuna tatizo si ina maana pesa wanabaki nazo wenyewe SI wazipeleke wenyewe.mfano mimi unatakiwa unikate laki moja kwenye mshahara wangu ili ziende chadema hujanikata Mimi SI nizipeleke.Mleta mada Yuko sahihi wamegoma kuchangia wangekuwa haeajagoma hizo pesa wangezipeleka wrnyewe kwa cash au kuagiza benki zao wa transfer hiyo michango toka kwenye akaunti zao ziende akaunti ya chadema.Wamegoma
Mkuu huo ni mfano tu na sijaamanisha hivyoKwahiyo michango unaifananisha na sadaka sio?
Ni upuuz kumshutumu Mbowe ambaye Chama alikabidhiwa na Babamkwe wake kama sehemu ya Mradi wa familia.Kama mnaona anafaidi nanyinyi anzisheni chama chenu.NILISHASEMA HII NCHI YA WAJINGA NA MAZUZU
Kwahiyo na hili tufungwe midomo, tutawaambia nini wananchi..?
Vipi kale ka Tri.1.5?kama ni kweli , hiyo bil 1.9 iliyopotea CHADEMA wangekuwa wana dola ingepotea tril 1.9