Tetesi: Bilioni 1.9 zaibwa CHADEMA, Wingu zito latanda. Wabunge wagoma kuchangia chama

Tetesi: Bilioni 1.9 zaibwa CHADEMA, Wingu zito latanda. Wabunge wagoma kuchangia chama

Status
Not open for further replies.
Katika hili kila team itavutia upande wake ili ionekane kuna kuchafuliwa jina kwasababu ya uchaguzi wa serikali za mitaa lakini ukweli ni kwamba kila mwanasiasa anaangalia maslahiya tumbo lake kwanza kisha mengine ndio yanayofuata.
 
Tangu jana ushahidi wa hilo umeombwa mpaka sasa haupo. Mnatuchanganya tusioamini katika vyama vyenu.
 
Kwahiyo michango unaifananisha na sadaka sio?
Sasa kama Ndugai hawakati si unaona kabisba yuko nyuma ya huu mchezo?

Yeye kinamhusu nini kuibiwa au kukwapuliwa hela ndani ya chadema?

Kwanini asiendelee na utaratibu wake Wa kukata kama ilivyokua awali? Au kuna wabunge Wa Chadema waliomlalamikia kuhusu suala hilo?

Kua usitukate hela maana hatuoni au haturidhishwi na matumizi yake? Yaani ni kama unavyotoa sadaka na kuondoka, kuibiwa haikuhusu

Ndugai aache kusambaza na kuvumisha usanii wake Wa kutaka wenzao Chadema washindwe hata kujiendesha, hivyo kuipa ccm kushinda uchaguzi bila kupingwa na kutuletea maboya!
 
Mbona hoja yako dhaifu Sana hi.Kama ndugai hawakati Hakuna tatizo si ina maana pesa wanabaki nazo wenyewe SI wazipeleke wenyewe.mfano mimi unatakiwa unikate laki moja kwenye mshahara wangu ili ziende chadema hujanikata Mimi SI nizipeleke.Mleta mada Yuko sahihi wamegoma kuchangia wangekuwa haeajagoma hizo pesa wangezipeleka wrnyewe kwa cash au kuagiza benki zao wa transfer hiyo michango toka kwenye akaunti zao ziende akaunti ya chadema.Wamegoma
Hoja yako ndio dhaifu sana kuliko hata yangu, huoni ndugai ndio chanzo cha kutopelekwa hio michango? Kwa hio anawaelekeza wapeleke michango kwa cash? Kwani huo ndio utaratibu? Acheni kuhadaiwa!
 
Wananchi tukimbilie wapi? CCM kuna ng'e na majoka, CHADEMA kuna giza nene na utelezi. Twende wapi?

Tunamhitaji Thomasi Sankara nchi hii.
 
Duh aiseee kama Mungu anakujaalia akili nyingi kama za mbowe aiseee raha sana
 
NILISHASEMA HII NCHI YA WAJINGA NA MAZUZU
Ni upuuz kumshutumu Mbowe ambaye Chama alikabidhiwa na Babamkwe wake kama sehemu ya Mradi wa familia.Kama mnaona anafaidi nanyinyi anzisheni chama chenu.
 
Bavicha hawataki kabisa habi kama hizi,wanapita kimya kimya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom