Simba mundu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 767
- 1,058
Yeah ni bilion moja kila taa maana Kuna ghrama za visibility study, Kwa kila eneo ambalo ni 78 millions,then Environmental services and study papillitis ambazo ni 450.m then Kuna gharama za wataaalam kwenda kufanya EIA ambazo wakienda wataaalam 46 na kila mmoja gharama ilkua milion kumi jumla ni 460 m. na installation ambazo ni is almost 50k Kwa kila moja .... So tupo pamoja na hakuna anaye lihujum taifa ndugu zangunGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Kwahiyo hizo Bilioni 3 Samia kazitoa kwa ajili ya hicho kiwanda cha ndege.Pole,Samia sio wale wengine
Hamna ndege hapo hio ni glider imewekewa motor kuisukuma..Sio tuu zitatumika kusimikia uwanja Bali Sasa hivi tunatengeneza Hadi ndege zenyewe.
Samia sio sawa na wale watu wenu wengine ππ
View: https://www.instagram.com/p/DEsHa-pP4gz/?igsh=OGR4MHM5ejE2dXRo
Wasipokula kwenye taa watabeba wasanii wakale bata ughaibuni.Great thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Kama ni mwajiriwa wa Arusha airport basi tunahasara ya kuwa na mtumishi jinga kama kichaa namna hivi.Huna ujualo we kunguni,taa za airport siyo taa za kufugia kuku
Umeishiwa hoja ππππHamna ndege hapo hio ni glider imewekewa motor kuisukuma..
Ni za taa Arusha,ndege ni sera nzuri za Samia π πKwahiyo hizo Bilioni 3 Samia kazitoa kwa ajili ya hicho kiwanda cha ndege.
wewe unajua masharti ya uwanja wa ndege? taa ni lazima ziwe zile zenye viwango vya kimataifa zilizoidhinishwa na mashirika ya kimataifa,vinginevyo ndege zao hazitatua hapo sasa unajua bei zake?Great thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Chama cha MajambaziGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Mkuu kuna upigaji mkubwa sana hapo...Siwezi kubisha katika airports taa zina gharama kuanzia bei hadi installation na uendeshaji.
Japo wataiba lakini gharama zitakaribia hio gharama tajwa.
Kwi Kwi KwiGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Kwani tunagombana hapa?Acha ujinga wewe,ulipo hapo hujui chochote kuhusu mfumo wa manunuzi wa Umma ila unapayika tuu.
Nchi Ina Siri zake sio za kununua taa.