Simba mundu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 767
- 1,058
Yeah ni bilion moja kila taa maana Kuna ghrama za visibility study, Kwa kila eneo ambalo ni 78 millions,then Environmental services and study papillitis ambazo ni 450.m then Kuna gharama za wataaalam kwenda kufanya EIA ambazo wakienda wataaalam 46 na kila mmoja gharama ilkua milion kumi jumla ni 460 m. na installation ambazo ni is almost 50k Kwa kila moja .... So tupo pamoja na hakuna anaye lihujum taifa ndugu zangunGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?