Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Great thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Keupe kekundu baba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Great thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Zinaanzia Dola 180 na kuendelea Hadi Dola 1000Taa za airport ni bei gani mkuu?
Sio lazima zitumike taa zote, zingine stoo kwa emergencyKipindi cha kula kwa urefu wa kambaView attachment 3198673
Sio tuu zitatumika kusimikia uwanja Bali Sasa hivi tunatengeneza Hadi ndege zenyewe.B tatu ni pesa nyingi sana zinapigwa.
Kawadanganye huko Kisarawe, ni lini serikali imeanza kutengeza Ndege.Sio tuu zitatumika kusimikia uwanja Bali Sasa hivi tunatengeneza Hadi ndege zenyewe.
Tulia wewe, tulimuondoa mwendazake hili tupate nafasi ya kuitafuna nchi kadri tuwezavyo, halafu wewe unataka kutupigia kelele hapa, wewe umetumwa Nini?Tuoneeni huruma jamani nchi masikini hii mtaimaliza
Sio tuu zitatumika kusimikia uwanja Bali Sasa hivi tunatengeneza Hadi ndege zenyewe.
Samia sio sawa na wale watu wenu wengine 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DEsHa-pP4gz/?igsh=OGR4MHM5ejE2dXRo
Tafuta kwanza ujue Ni Taa ngapi na Zenye Specs Ipi ila Mind you Taa zina Bei sana usidhani ni Bulb izo ulizoweka Apo Geto kwakoGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Kampuni gani?Zinaanzia Dola 180 na kuendelea Hadi Dola 1000
Makampuni mengi tu.mfano flight light inc n.k.Kampuni gani?
kljeng.com
Acheni ujuaji,hapo hujui chochote kuhusu airport na aviation,ila domo refuMakampuni mengi tu.mfano flight light inc n.k.
Ninyi mafisadi mnapenda sana kuongeza sifuri nyingi kwenye vitu vya Hela ndogo.midomo yenu inawaza kupiga tu.Acheni ujuaji,hapo hujui chochote kuhusu airport na aviation,ila domo refu
Huna ujualo we kunguni,taa za airport siyo taa za kufugia kukuNinyi mafisadi mnapenda sana kuongeza sifuri nyingi kwenye vitu vya Hela ndogo.midomo yenu inawaza kupiga tu.
Uliambiwa na nani wakati mwaka Jana ndio mkataba ulisainiwa na ujenzi unaanza mwezi wa 2?Daraja la jangwani tuliambiwa litakamilika mwaka jana
Mwendokas za mbagala tuliambiwa zitaanza kazi mwezi wa kumi na moja mwaka jana
Asante Mama samia
Njaa gani? Hapo kinachokuchekesha kipo wapi?Teh... Teh.. teh, wewe jamaa Huwa unachekesha sana wakati mwingine, kweli njaa mbaya sana
Pole,Samia sio wale wengine 👇👇Kawadanganye huko Kisarawe, ni lini serikali imeanza kutengeza Ndege.