Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahah another day another way ya kuchakaza rasilimali za taifa. NYERERE huko uliko naomba tuma mzimu wako uje kuangamiza washenzi wote watakaoshiriki kuvunja hili gereza kwa tamaa zao za kufilisi urithi wa Taifa letu uliotuachia watoto wako.