Bilioni 14 kuhamisha Gereza la Kilimo Mbeya kupisha uchimbaji wa madini ya Niobium

Bilioni 14 kuhamisha Gereza la Kilimo Mbeya kupisha uchimbaji wa madini ya Niobium

Tanzania imebarikiwa kila mahali,JPM anazo resources za kutosha kuhakikisha kila anachokusudia kinafanyika.

hii Niobium bei yake ni nzuri sana katika soko la dunia na inapatikana Brazili na Canada tu.
kilo moja ya Niobium (FeNb) inauzwa $40

hizo tani millioni 96.3 tulizopata zina average grade of 0.52% Nb2O5. kwa hiyo ni kama tani million 0.5 za pure Nb2O5 ni sawa na kilo billion 0.5 kwa hiyo thamani ya madini hayo huko Mbeya ni sawa na $20bn!

Utashangaa kwenye mkataba utakaowekwa saini, serikali inapata 3% pamoja na tax holiday juu.
 
Tanzania imebarikiwa kila mahali,JPM anazo resources za kutosha kuhakikisha kila anachokusudia kinafanyika.

hii Niobium bei yake ni nzuri sana katika soko la dunia na inapatikana Brazili na Canada tu.
kilo moja ya Niobium (FeNb) inauzwa $40

hizo tani millioni 96.3 tulizopata zina average grade of 0.52% Nb2O5. kwa hiyo ni kama tani million 0.5 za pure Nb2O5 ni sawa na kilo billion 0.5 kwa hiyo thamani ya madini hayo huko Mbeya ni sawa na $20bn!
Lazima PSA iwe wazi pia sheria ya PSA days zinaanza countdown siku wa kisign ili muwekezaji aanze kazi haraka. Ni kiasi gani total money invested? Cost recovery lazima mwanzo iwe 60% investor 40% goverment, kila pesa yao ikirudi % ya goverment ipande. Wakisha recover cost then window of profit 70% Goverment 30% wao. After 20 yrs 100% Goverment na kama capital sio kubwa kama payback basi miaka ya PSA iwe kidogo. Profit lazima iwe control. Ndio Goverment itafaidika. Lakini navyojuwa PSA kwanza kabla ya kuanza kazi hapa kama makubaliano ready yaani hatujifunzi. PSA isiwe siri ijadiliwe kwa uwazi watu waone kama ina mapungufu na wakitia wino tu siku zinaanza countdown kama 15 or 20 years inategemea.
 
Na wewe unalipwa nini ufipa..!?

Silipwi pesa na mtu na naamini wote wasiopenda madudu ya Serikali hii hawalipwi na mtu yoyote japo mnazani ni wa Ufipa tafuteni kazi za kujiajiri acheni kutumika kama mapulizo ya kiume buku saba fc
 
nmeanza kuamini maneno ya mdau mmoja kuwa nyerere kipindi cha ukoloni sehemu zilizokuwa na madini jamaa aliweka makambi ya majeshi,magereza,ofisi za serikali pana shaka hata pale magogoni kuna vtu wanavyopendaga wadhungu
MAGOGONI alijenga Mjerumani alipohamisha makoa makuu ya koloni kutoka Kilwa.
 
Silipwi pesa na mtu na naamini wote wasiopenda madudu ya Serikali hii hawalipwi na mtu yoyote japo mnazani ni wa Ufipa tafuteni kazi za kujiajiri acheni kutumika kama mapulizo ya kiume buku saba fc
Unaposimania haki, utaitwa mpinzani, mhalifu, mvunja amani na mchochezi.
 
Unaposimania haki, utaitwa mpinzani, mhalifu, mvunja amani nmchochezi.
Buku 7 Fc na huu usajiri wao mpya wameajiri vituko Vijana popote hata pasipostahili wao wanakurupuka na boss wao @ Lizaboni amebaki peke yake anahangaika tu bora abadili jina anatuzalilisha watu wa Songea maana ukuu wa Wilaya kakosa na Das kakosa
 
mkataba mkataba mkataba naona huyo mzungu anasema eti tusaini haraka ili aanze kazi,no haraka ya nini?safari hii nasisi tupewe hata mwezi tuipitie na sisi na ipelekwe bungeni.naiandikwenye magazeti kama bajeti vile.

Kupitia bungeni sio kigezo cha mkataba bora,ni kuongeza urasimu na mianya ya rushwa.Wabunge sio malaika.
 
Utashangaa kwenye mkataba utakaowekwa saini, serikali inapata 3% pamoja na tax holiday juu.
Tax holiday ni wimbo gani,toka lini ukaenda dukani kununua sukari ukaambia chukua bure kwa miaka 10?
 
Lazima PSA iwe wazi pia sheria ya PSA days zinaanza countdown siku wa kisign ili muwekezaji aanze kazi haraka. Ni kiasi gani total money invested? Cost recovery lazima mwanzo iwe 60% investor 40% goverment, kila pesa yao ikirudi % ya goverment ipande. Wakisha recover cost then window of profit 70% Goverment 30% wao. After 20 yrs 100% Goverment na kama capital sio kubwa kama payback basi miaka ya PSA iwe kidogo. Profit lazima iwe control. Ndio Goverment itafaidika. Lakini navyojuwa PSA kwanza kabla ya kuanza kazi hapa kama makubaliano ready yaani hatujifunzi. PSA isiwe siri ijadiliwe kwa uwazi watu waone kama ina mapungufu na wakitia wino tu siku zinaanza countdown kama 15 or 20 years inategemea.

Poor calculation kwanini investor asiwe 70% serikali na 30% huyo mzungu?Huyo mzungu anakopa kwenye mabenki kama mali kauli,tena kwa dhamana ya serikali yetu.A GOOD DEAL NI serikali iuze hisa kwa wananchi wao ndio wamiliki mgodi.
 
Poor calculation kwanini investor asiwe 70% serikali na 30% huyo mzungu?Huyo mzungu anakopa kwenye mabenki kama mali kauli,tena kwa dhamana ya serikali yetu.A GOOD DEAL NI serikali iuze hisa kwa wananchi wao ndio wamiliki mgodi.
Hii ni mwanzo tu ili arudishe cost zake haraka maana hapa sio pesa tu ni technology kila gharama zikirudi haraka share za Goverment zinapanda haraka. Hii ni hali halisi ya kibiashara duniani. Goverment hawatii hata shilling moja ila wanachukuwa share. Ukisema uuze share kwa watu ni watu wachache ndio wana uwezo huo tutarudi kulele hapa sio wazungu au wa Tz ni suala watu wote watanufaika kivipi sio wachache kutajirika. Lazima tujuwe sisi technology bado ndio maana mpk ugunduzi ni wao sijawahi kusikia wataalamu wetu wamegundua. Pia kama sisi kuendesha viwanda si unajuwa tabia zetu cha serikali tutaiba tu na kama Goverment haifanyi biashara huko tumeshapita take share basi. Lakini haya ni majadiliano tu sio kwamba niko sawa ila ni healthy discussion.
 
Mku
Hii ni mwanzo tu ili arudishe cost zake haraka maana hapa sio pesa tu ni technology kila gharama zikirudi haraka share za Goverment zinapanda haraka. Hii ni hali halisi ya kibiashara duniani. Goverment hawatii hata shilling moja ila wanachukuwa share. Ukisema uuze share kwa watu ni watu wachache ndio wana uwezo huo tutarudi kulele hapa sio wazungu au wa Tz ni suala watu wote watanufaika kivipi sio wachache kutajirika. Lazima tujuwe sisi technology bado ndio maana mpk ugunduzi ni wao sijawahi kusikia wataalamu wetu wamegundua. Pia kama sisi kuendesha viwanda si unajuwa tabia zetu cha serikali tutaiba tu na kama Goverment haifanyi biashara huko tumeshapita take share basi. Lakini haya ni majadiliano tu sio kwamba niko sawa ila ni healthy discussion.

Kama hali ndio hiyo basi hakuna faida,zaidi ya kuwachiwa mashimo,na uchafuzi wa mazigira,Ili tunufaike kama Taifa ni kuwa wabia wakubwa na wenye sauti,Sio kweli kwamba huyo mzungu ndio mwenye High Teck.Huyo mzungu nae atakodi kampuni yenye Tekinologia ambayo serikali yetu au wananchi wenye hisa wana weza kukodi.Mkuu Uchimaji wa madini haya SIYO ROCKET SCIENCE
 
Mku


Kama hali ndio hiyo basi hakuna faida,zaidi ya kuwachiwa mashimo,na uchafuzi wa mazigira,Ili tunufaike kama Taifa ni kuwa wabia wakubwa na wenye sauti,Sio kweli kwamba huyo mzungu ndio mwenye High Teck.Huyo mzungu nae atakodi kampuni yenye Tekinologia ambayo serikali yetu au wananchi wenye hisa wana weza kukodi.Mkuu Uchimaji wa madini haya SIYO ROCKET SCIENCE
Sio rocket science lakini ni technology na utaalamu huko lazima tukubali bado. Suala la mazingira linakuwa kwenye PSA sharti nikuwa wanaweka pesa dhamana bank chini ya serikali kuwa hawataaribu mazingira na siku wakiwa wanaondoka lazima waache hali salama au serikali inachukuwa pesa ile kuweka sawa ila ktk process vitu vyote vinajadiliwa. Lazima tujue hii ni long time business ndio maana mwanzo nikasema lazima tujuwe ni miaka mingapi reserve ipo ili ujadili urefu wa PSA. Investor yeye ni ku make profit lakini nchi itabaki mali yake sio unampa PSA mpaka akiondoka ni mashimo tu no sio sawa. Lazima tuwe na watu makini na kuweka maslahi ya pande zote sawa
 
Sio rocket science lakini ni technology na utaalamu huko lazima tukubali bado. Suala la mazingira linakuwa kwenye PSA sharti nikuwa wanaweka pesa dhamana bank chini ya serikali kuwa hawataaribu mazingira na siku wakiwa wanaondoka lazima waache hali salama au serikali inachukuwa pesa ile kuweka sawa ila ktk process vitu vyote vinajadiliwa. Lazima tujue hii ni long time business ndio maana mwanzo nikasema lazima tujuwe ni miaka mingapi reserve ipo ili ujadili urefu wa PSA. Investor yeye ni ku make profit lakini nchi itabaki mali yake sio unampa PSA mpaka akiondoka ni mashimo tu no sio sawa. Lazima tuwe na watu makini na kuweka maslahi ya pande zote sawa

Piga hesabu ya haraka haraka utaona huyo mzungu anainflate gharama za mradi,kuhamisha gereza billioni 400 ni nyingi mno.Usishangae akapiga gharama za mradi sawa sawa na idadi ya madini atakayochuma miaka 30 ambayo ndio lifespan ya mradi.Chunga sana na hivi vikampuni chai rangi ya wazungu.
 
400 billion kuhamisha gereza tena la wilaya ni pesa ndefu sana hasa ukichukulia hao wawekezaji wenyewe ni kina mwakibinga

Mwakibinga wapi??? Hujamwona mzungu pale kimbelembele?
 
Back
Top Bottom