Bilioni 2 ni nyingi ila ndogo kwa Simba, Next time mfanye 5 kwenda mbele

Bilioni 2 ni nyingi ila ndogo kwa Simba, Next time mfanye 5 kwenda mbele

VB kajua kucheza na akili za mchezo na atapiga faida sana tu

Tatizo liko wapi akipiga faida? Unaweza kufanya biashara isiyo na faida?
Ila mashabiki wa utopolo mna mambo ya ajabu sana, kama huo mkataba na kiasi ambacho simba ingepata kisingewekwa hadharani mngeanzisha blah blah zenu! Sasa kwa kuwa imewekwa hadharani mnaanzisha blah nyingine zisizo na kichwa wala miguu! Yaani sijui ni kitu gani kinawauma...!
Hivi mlivyoingia mkataba na gsm wa kutengeza jezi, walitaja thamani ya huo mkataba? Unajua uto yenu imepata kiasi gani hadi hivi sasa...?

Ila kwa hili lililofanyika najua utopolo mtaiga tu, lakini hakuna atakayefikia hilo dau lililowekwa na VB.
 
Kuna watu hawaoni hilo. Jamaa anafanya biashara yenye risk sana.
simba wanajiona na zile social media bots zao wanaweza kuuza jezi laki 5 kwa mwaka! kweli mbumbumbu fc!
 
Yani jinsi ulivyopiga hayo mahesabu nakufananisha na mkulima wa matikiti kwenye mtandao....

Vunja Bei ataingia gharama za

1. Uzalishaji wa jezi
2. Usambazaji wa jezi
3. Kulipa wasambazaji
4. Kuwalipa simba bilioni 1 kwa mwaka yani 2 kwa miaka miwili...
5. Alipe kodi...

Baada ya hapo ndio anaanza kutafuta faida....

Kumbuka mkataba uliopita simba alikuwa anapata milioni 100 leo imefika bilioni 2 anakuja mtu anasema haitoshi bila hata kusubiri wajaribu hiyo risk....
Asante, umedadavua hoja kitaalamu sana.
Wajue huu ni mwanzo tu wa hii biashara.
 
Hongera sana Simba na Vunja bei kwa makubaliano ya kihistoria mlioingia hii leo, kiukweli Simba imepiga hatua ukilinganisha na ilipokuwepo.


Twende kwenye facts sasa.

Uwekezaji uliofanyika ni wa shilingi za kitanzania Bilioni mbili (2) kwa miaka miwili.

Kimahesabu, Kama Investor ( Vunja bei) atauza pisi moja ya jezi kwa shilingi za kitanzia elfu kumi tu, atahitajika kuuza pisi laki mbili ili arudishe mtaji wake kwa muda wa mwaka mmoja.

Kwa ukubwa wa Simba hii ambayo ina uwezo wa kujaza uwanja wa Ben mkapa (zaidi ya watu elfu 50), ukijumlisha mashabiki wengi sana wa mikoani, na nje ya Tanzania, kimahesabu kama Simba itauza jezi chache kwa mwaka mmoja (1) zitakuwa si chink ya pisi laki tano ambazo kimsingi zitarudisha mtaji na faida ya Investor.

Hapo hujahesabia kuwa Simba imeshakuwa timu ya kimataifa hivyo yeyote anayesambaza jezi zake anapata access na soko la afrika yote ambapo simba inaenda kushiriki mashindano tofauti tofauti.

Nimesikia kwenye press kuwa sio jezi tuu, Investor atauza na vitu vingine, that means amepewa uwanja mpana wa kuingiza faida kwa shilingi bilioni mbili ile ile aliyowekeza kwa miaka miwili.



Nafahamu fika hakuna mtu anayetaka kuweka hela kwenye hasara hivyo nawapongeza Vunja bei kwa kuchagua brand itakayowaletea faida, pia nitakuwa mchoyo wa fadhila nikiacha kuwasifu Vunja bei kwa uwezo wao mkubwa wa kunegotiate.

Next time Simba isijidogeshe kwenye negotiations, bilioni mbili ni hela nyingi sana lakini ni hela ndogo kwa brand kubwa kama Simba bila kusahau kipindi cha uwekezaji ni cha muda mrefu wa miaka miwili

Ni mtizamo tuu.
Tuweke sawa maoni yako yana nia njema lakini breakdown yako haiko sahihi umesema atauza alfu 10 kweli lakini alfu 10 sio yote faida kuna operation cost sasa hatujui faida ngapi na pili VB haku negotiate ilikuwa ni tender na kashinda sasa tender inakuwa na vitu viwili commercial na tech yeye ka bid high na tech uwezo wa kuzifikisha kila mkoa anao. biashara ni faida na kwa kuwa kitu kinajiuza kwa thamani kama VB akiona faida kubwa ata bid juu ila shida ni kuwa hakuna kampuni ya nje itakuwa kuweka dau kubwa labda watokee ushindani wa ndani sababu Simba ni Tanzania tu soko la ndani tu sio kama team za wenzetu ulaya soko lao ni dunia nzima na jezi zenyewe bei ya kawaida laki 2 huku bado tuko alfu 10 jezi hii ndio tofauti.
 
Mkuu, hatupaswi kufungwa na mtizamo wa nyuma ikiwa tunaizungumzia Simba iliyomaliza nafasi ya kwanza kwenye group lenye timu kama Al ahly na As Vita.

Simba imekuwa kubwa sana kuanzia kwenye matokeo hadi nje ya uwanja.

Twende kwenye hoja.

Simba hii ya sahizi inayoingia robo fainali unadhani katika kipindi cha miaka miwili itauza chini ya pisi za jezi milioni moja?

Hapo ni jezi tuu, sijazungumzia vitu kama bendera, Madera, vipeperushi, mipira n.k

Nikukumbushe tuu kila msimu klabu za mpira huja na jezi zenye muundo mpya kwaajili ya biashara, kwa hiyo ndani ya miaka miwili watauza jezi za aina mbili tofauti kwa wateja wale wale.

Suala la kuwa na wataalam w biashara sio hoja, Simba inaweza ikawa ina wataalam wa biashara wenye maslahi binafsi, maana kibiashara ni wazi Simb imepigwa
Kutoka kwenye kulipwa milioni 100 hadi billion 2 ni kupigwa?
 
Kuna watu hawaoni hilo. Jamaa anafanya biashara yenye risk sana.
Hela yake kurudi, ni hakika itarudi na ndio maana akaamua kuweka miaka miwili (Going-concern) ya kueleweka na sio mwaka mmoja kama wengine wanavyotaka.Kuhusu faida atapata hata kama haitakuwa mabillion kama watu wanavyosema,ila faida atapata.

Yani kama angeweka mwaka mmoja, asingeirudisha kabisa [emoji23].
 
Naamini hivyo.

In fact nafikiri hiki kimuhe muhe cha kuiona timu inaperform kimesaidia hii deal kutokea.
Bado tu hamtaki kukubali kuwa matokeo kazuri ya simba ndani na kimataifa, yanatokana na uwekezaji mkubwa wa pesa. Yani mnachokiamini nyinyi ni kimuhe muhe sio[emoji28].
 
Hiyo biashara ina pande mbili aidha imtoe au imfilisi.....kama yy ndio kaweka fedha yake...
labda kama Moo yupo nyuma yake
Kitakachompa wepesi kwenye biashara hii, ni kwamba anauzoefu mkubwa nayo, ana maduka makubwa tu kwenye mikoa mkubwa karibia yote. Yani kiufupi, sioni jamaa akifeli kwenye huu mchongo.
 
Hongera sana Simba na Vunja bei kwa makubaliano ya kihistoria mlioingia hii leo, kiukweli Simba imepiga hatua ukilinganisha na ilipokuwepo.

Twende kwenye facts sasa.

Uwekezaji uliofanyika ni wa shilingi za kitanzania Bilioni mbili (2) kwa miaka miwili.

Kimahesabu, Kama Investor ( Vunja bei) atauza pisi moja ya jezi kwa shilingi za kitanzia elfu kumi tu, atahitajika kuuza pisi laki mbili ili arudishe mtaji wake kwa muda wa mwaka mmoja.

Kwa ukubwa wa Simba hii ambayo ina uwezo wa kujaza uwanja wa Ben mkapa (zaidi ya watu elfu 50), ukijumlisha mashabiki wengi sana wa mikoani, na nje ya Tanzania, kimahesabu kama Simba itauza jezi chache kwa mwaka mmoja (1) zitakuwa si chink ya pisi laki tano ambazo kimsingi zitarudisha mtaji na faida ya Investor.

Hapo hujahesabia kuwa Simba imeshakuwa timu ya kimataifa hivyo yeyote anayesambaza jezi zake anapata access na soko la afrika yote ambapo simba inaenda kushiriki mashindano tofauti tofauti.

Nimesikia kwenye press kuwa sio jezi tuu, Investor atauza na vitu vingine, that means amepewa uwanja mpana wa kuingiza faida kwa shilingi bilioni mbili ile ile aliyowekeza kwa miaka miwili.

Nafahamu fika hakuna mtu anayetaka kuweka hela kwenye hasara hivyo nawapongeza Vunja bei kwa kuchagua brand itakayowaletea faida, pia nitakuwa mchoyo wa fadhila nikiacha kuwasifu Vunja bei kwa uwezo wao mkubwa wa kunegotiate.

Next time Simba isijidogeshe kwenye negotiations, bilioni mbili ni hela nyingi sana lakini ni hela ndogo kwa brand kubwa kama Simba bila kusahau kipindi cha uwekezaji ni cha muda mrefu wa miaka miwili

Ni mtizamo tuu.
Suala la mkataba wa bilioni mbili pia umeangalia Hali ya sasa ya covid-19, business is not good . Hongera Simba na mafanikio yenu NATAMANI HATA sisi Yanga tufike huko
 
Hongera sana Simba na Vunja bei kwa makubaliano ya kihistoria mlioingia hii leo, kiukweli Simba imepiga hatua ukilinganisha na ilipokuwepo.

Twende kwenye facts sasa.

Uwekezaji uliofanyika ni wa shilingi za kitanzania Bilioni mbili (2) kwa miaka miwili.

Kimahesabu, Kama Investor ( Vunja bei) atauza pisi moja ya jezi kwa shilingi za kitanzia elfu kumi tu, atahitajika kuuza pisi laki mbili ili arudishe mtaji wake kwa muda wa mwaka mmoja.

Kwa ukubwa wa Simba hii ambayo ina uwezo wa kujaza uwanja wa Ben mkapa (zaidi ya watu elfu 50), ukijumlisha mashabiki wengi sana wa mikoani, na nje ya Tanzania, kimahesabu kama Simba itauza jezi chache kwa mwaka mmoja (1) zitakuwa si chink ya pisi laki tano ambazo kimsingi zitarudisha mtaji na faida ya Investor.

Hapo hujahesabia kuwa Simba imeshakuwa timu ya kimataifa hivyo yeyote anayesambaza jezi zake anapata access na soko la afrika yote ambapo simba inaenda kushiriki mashindano tofauti tofauti.

Nimesikia kwenye press kuwa sio jezi tuu, Investor atauza na vitu vingine, that means amepewa uwanja mpana wa kuingiza faida kwa shilingi bilioni mbili ile ile aliyowekeza kwa miaka miwili.

Nafahamu fika hakuna mtu anayetaka kuweka hela kwenye hasara hivyo nawapongeza Vunja bei kwa kuchagua brand itakayowaletea faida, pia nitakuwa mchoyo wa fadhila nikiacha kuwasifu Vunja bei kwa uwezo wao mkubwa wa kunegotiate.

Next time Simba isijidogeshe kwenye negotiations, bilioni mbili ni hela nyingi sana lakini ni hela ndogo kwa brand kubwa kama Simba bila kusahau kipindi cha uwekezaji ni cha muda mrefu wa miaka miwili

Ni mtizamo tuu.
Umepiga hesabu zako kama zile za kilimo cha matikiti kilichokuwa kinafanywa fb
Kuuza jezi ni biashara ngumu sana , kuna fake nyingi sana mitaani,

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Hongera sana Simba na Vunja bei kwa makubaliano ya kihistoria mlioingia hii leo, kiukweli Simba imepiga hatua ukilinganisha na ilipokuwepo.

Twende kwenye facts sasa.

Uwekezaji uliofanyika ni wa shilingi za kitanzania Bilioni mbili (2) kwa miaka miwili.

Kimahesabu, Kama Investor ( Vunja bei) atauza pisi moja ya jezi kwa shilingi za kitanzia elfu kumi tu, atahitajika kuuza pisi laki mbili ili arudishe mtaji wake kwa muda wa mwaka mmoja.

Kwa ukubwa wa Simba hii ambayo ina uwezo wa kujaza uwanja wa Ben mkapa (zaidi ya watu elfu 50), ukijumlisha mashabiki wengi sana wa mikoani, na nje ya Tanzania, kimahesabu kama Simba itauza jezi chache kwa mwaka mmoja (1) zitakuwa si chink ya pisi laki tano ambazo kimsingi zitarudisha mtaji na faida ya Investor.

Hapo hujahesabia kuwa Simba imeshakuwa timu ya kimataifa hivyo yeyote anayesambaza jezi zake anapata access na soko la afrika yote ambapo simba inaenda kushiriki mashindano tofauti tofauti.

Nimesikia kwenye press kuwa sio jezi tuu, Investor atauza na vitu vingine, that means amepewa uwanja mpana wa kuingiza faida kwa shilingi bilioni mbili ile ile aliyowekeza kwa miaka miwili.

Nafahamu fika hakuna mtu anayetaka kuweka hela kwenye hasara hivyo nawapongeza Vunja bei kwa kuchagua brand itakayowaletea faida, pia nitakuwa mchoyo wa fadhila nikiacha kuwasifu Vunja bei kwa uwezo wao mkubwa wa kunegotiate.

Next time Simba isijidogeshe kwenye negotiations, bilioni mbili ni hela nyingi sana lakini ni hela ndogo kwa brand kubwa kama Simba bila kusahau kipindi cha uwekezaji ni cha muda mrefu wa miaka miwili

Ni mtizamo tuu.
Hesabu zako ni feki.
TZS 10,000 x Jezi 200,000 kweli utapata TZS 2 Billion, lakini swali ni kwamba hizi 2Billion Zote zitakua ni faida?

Ina maana Jezi atakua ameokota au amepewa bure? Kuna gharama za utengenezaji hapa.

Vipi gharama za usambazaji?

Vipi gharama za pango atakakokua akiuzia hizi Jezi?

Vipi gharama za Muuzaji alieajiriwawa kuuza hizi Jezi?
 
Karibuni Jersey Original Kutoka VB [emoji3][emoji3][emoji3][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20210421-211319.jpg
 
Back
Top Bottom