Bilioni 650 za DP World Zamkuna Makala. Zaongeza Ufanisi wa Bandari ya Dar kutoka Makasha 7,000 Hadi Makasha 20,000

Bilioni 650 za DP World Zamkuna Makala. Zaongeza Ufanisi wa Bandari ya Dar kutoka Makasha 7,000 Hadi Makasha 20,000

Kulingana na mtoa hiyo post ; hoja ni kwamba endelea kudhulumu na kuteka watu .
Sawa tuu
20240829_140953.jpg
 
Huyo Mwabukusi ni layman namba moja, alishindwa kesi kule Mbeya tena mchana kweupe.
Kesi alishindwa vipi ikiwa jaji aliamuru bunge likafanyie marekebisho ile sheria aliyolalamikia Adv. Mwabukusi?!

Kwanini jaji aamuru sheria ifanyiwe marekebisho kama haikuwa na tatizo?

Wewe ni msukule wa Samia hujielewi.
 
Uko sahihi mkuu . Ni kituko layman kumfundisha sheria mwanasheria .
Ni aibu kwa huyo mwanasheria aliyepinga DPW mahakamani kushindwa kesi yake huko Mbeya. Mwabukusi kakuta nchi yetu kwa sasa mamburula ni wengi na anaonekana ni nyota fulani kwa sababu hiyo.
 
Ni aibu kwa huyo mwanasheria aliyepinga DPW mahakamani kushindwa kesi yake huko Mbeya. Mwabukusi kakuta nchi yetu kwa sasa mamburula ni wengi na anaonekana ni nyota fulani kwa sababu hiyo.
Huna moral-authority ya kumpinga Mwabukusi . Nchi ni ya wananchi ; ni kwamba tuna bahati mbaya kama nchi viongozi hawasikilizi wananchi . Tena wananchi wanampigia kura kiongozi fulani , halafu wanadhulumiwa ( injustice) kwa kupewa kiongozi mwingine ambaye hawajamchagua . Huu ni udhalimu wa hali ya juu .
 
Huna moral-authority ya kumpinga Mwabukusi .
Hana kitu huyo Mwabukusi aliwaongopea wajinga wengi hapa bongo mahakama ikaja kumuumbua akashindwa kesi , leo hii hao DPW wanaleta mapinduzi ya uendeshaji hapo TPA na ni aibu kwa wajuaji wote wa sheria wa Tanzania.
 
Eti Adv. Mwabukusi alishindwa kesi Mbeya, hauna akili wewe.
Akili huna wewe usiyefuatilia habari za maana. Kesi ya kupinga DPW asipewe uendeshaji kule Mbeya, Mwabukusi na wenzake waliangukia pua ndio SSH akaamuru mchakato wa kumkabidhi hayo magati namna 8-11 uanze mara moja.
 
Back
Top Bottom