Bilioni 650 za DP World Zamkuna Makala. Zaongeza Ufanisi wa Bandari ya Dar kutoka Makasha 7,000 Hadi Makasha 20,000

Bilioni 650 za DP World Zamkuna Makala. Zaongeza Ufanisi wa Bandari ya Dar kutoka Makasha 7,000 Hadi Makasha 20,000

Akili huna wewe usiyefuatilia habari za maana. Kesi ya kupinga DPW asipewe uendeshaji kule Mbeya, Mwabukusi na wenzake waliangukia pua ndio SSH akaamuru mchakato wa kumkabidhi hayo magati namna 8-11 uanze mara moja.

..DPW wangekuwa toka mwanzo na malengo ya kuendesha gati # 8 - 11 na mchakato ukawa wa wazi hakuna mtu angepiga kelele.

..tatizo lilikuwa ni IGA ambayo ilipitishwa na bunge na inakiuka sheria ya ulinzi wa rasilimali iliyopitishwa mwaka 2017.

..Na mimi nalazimika kuamini kwamba bila mayowe kupigwa DPW were coming for more than just gati # 8 - 11.

..Utakumbuka kwamba TICTS hakuhitaji IGA ili kuendesha gati za makontena bandarini. ADANI naye hakuhitaji IGA ili kukodishwa gati ktk bandari yetu.

..Sasa kama Ticts na Adani hawakuwa na IGA, kwanini mambo ni tofauti kwa DPW?

..Zaidi, waliopinga IGA wako wengi zaidi ya Adv.Mwabukusi. Wako wasomi wakubwa na wanaoaminika kama Prof.Issa Shivji. Maaskofu ktk umoja wao waliounga, na si kweli kwamba alikuwa Fr.Kitima peke yake. Shura ya Maimamu walisema IGA ina matatizo.

..Wakati mwingine nadhani Watanzania hatuna skills za kupambanisha hoja zinazohusu maslahi ya taifa letu. Tunajadili mambo mazito ya kisheria kana kwamba tunajadili Simba na Yanga. Vilevile hakuna uwazi hivyo kila unakuta watu wanabishania jambo la msingi bila kuwa na taarifa za kutosha.
 
Huyo unayemsifu kama angekuwa na akili timamu angefanya yeye hayo mabadiliko ili 100% zote ziingie kwenye account ya serikali. Na si kukodisha au kugawa
 
My Take
Wale wa Samia ameuza Mali zao za Urithi mnaitwa kuja kumwaga povu jingine.

Kwa taarifa yenu sio tuu shehena ya mzigo imeongezeka Bali muda wa kusubiria meli umetoka siku 14 Hadi siku 3.

Hongera sana Rais Samia Kwa Mageuzi haya yenye Tija Kwa Nchi na kuleta ushindani mzuri wa Bandari ya Dar.

Pia soma hapa DP World kuokoa Sh1.6 trilioni hadi Desemba



View: https://youtu.be/o3wT4BwqifA?si=TXvSwhowSbEj_FlY

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema uwekezaji uliofanywa na Kampuni ya DP World katika bandari ya Dar es Salaam katika kipindi cha miezi mitatu umeonesha mafanikioa makubwa kwa shehena ya makasha kuongezeka kutoka 7,151 Aprili 2024 hadi kufikia 20,151 kufikia Julai 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Uwekezaji huo wenye thamani ya takriban dola milioni 250 (Sh bilioni 675) kwa ajili ya uendeshaji wa magati 0-7 bandarini hapo umeleta manufaa makubwa kwa ni ongezeko la shehena ya makasha hayo ni sawa na ongezeko la asilimia 182.

Hayo yamebainishwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa Shughuli na Uratibu wa TPA, Josephat Lukindo wakati akiwasilisha ripoti fupi ya utendaji wa bandari hiyo baada ya uwekezaji huo kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makala aliyefanya ziara yake badarini hapo.

Alisema pesa hizo imetumika kuboresha utendaji wa bandari hiyo katika maeneo matatu baada ya kukabidhiwa na mamlaka ya bandari Aprili 15, 2024.

“Kwa uzoefu tulionao katika uendeshaji wa bandari, tuliamua kuanza na uboreshaji wa maeneo matatu muhimu ili kuongeza ufanisi zaidi,” alisema Lukindo.

Amesema sehemu ya kwanza kabla ya kufanya kitu chochote kampuni ya DP World kupitia kampuni tanzu ya DP World Dar es Salaam iliyoanzishwa kusimamia bandari hiyo ilifanya manunuzi ya mitambo ya kisasa yenye thamani ya takriban bilioni 215.

Alisema pili ilifanya ukarabati wa mitambo mibovu iliyokuwa ikitumika bandarini hapo na kufanya manunuzi ya vifaa vipya yakiwemo matrekta ya kubebea mizigo 20 pamoja na matela 31, jenerela saba zenye ukubwa wa Kv 10,000 kila moja kwa ajili ya kuendeshea mitambo ikitokea umeme umekatika na vifaa vya kubebea mizigo mizito (cranes).

“Tatu, DP World ilifanya usimikaji wa mifumo ya kisasa ya TEHAMA kwa ajili ya uendeshaji wa bandari hiyo. Hapo awali, tulikuta mifumo ambayo imepitwa na wakati na kuamua kuweka mifumo ya kisasa kuendana na maendeleo ya teknolojia,” alisema.

Hivyo, alisema uwekezaji huo umeleta manufaa makubwa ndani ya kipindi cha miezi mitatu iliyochangia ongezeko la shehena ya makasha ikiwa sawa na ongezeko la asilimia 182.

Mwanahalisi

Uongo mtupu eti ongezeko kutoka containers 7151 hadi 20151 kwa miezi mitatu? kwanza ni mapemakuona ufanisi kwa kipindi kifupi hivyo vinginevyo kama kuna ufanisi inaonesha tu hata bila uwekezaji huo bandia kungekua na ongezeko. Tatizo ni usimamizi wetu ambao umejaa upigaji na serikali haina nia kuondoa upigaji. Kuwapa wageni kuendesha bandari ni sehemu tu ya upigaji. Bandari wenyewe tumeshawekeza sana hela za umma . Hapo wageni wanakuja kula uwekezaji wa umma kwa kushirikiana na vigogo fisadi wabinafsi wasiokua na uchungu na nchi yao.
 
Urais wa TLS ni wa mwaka mmoja na unaruhusiwa kugombea na kuwa kiongozi kwa vipindi viwili mfululizo tu.

Ukishinda mara mbili mfululizo unakaa pembeni.
Nyie hata sijui mnaishi dunia gani?! Hiyo sheria ilishabadilishwa sasa hivi Rais wa TLS anahudumu kwa miaka mitatu mfululizo.
 
Zakuambiwa changanya na zako.
Aliye kuambia kwamba meli zinakaa outer Anchorage siku tatu Ni Nani wakati sisi kwa macho yetu tunaziona?
Wewe uko usweken huko unasifia kwa kuambiawa kitu usicho kiona?
Mbona ilitumika nguvu kubwa Sana kuhalalisha uwepo wa DP World mpaka kina Slaa wakawekwa ndani? Mpaka mbunge wenu mtarajiwa hapo mbeya bw Mwakubusi akaja kwenye limelight?
 
My Take
Wale wa Samia ameuza Mali zao za Urithi mnaitwa kuja kumwaga povu jingine.

Kwa taarifa yenu sio tuu shehena ya mzigo imeongezeka Bali muda wa kusubiria meli umetoka siku 14 Hadi siku 3.

Hongera sana Rais Samia Kwa Mageuzi haya yenye Tija Kwa Nchi na kuleta ushindani mzuri wa Bandari ya Dar.
---

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema uwekezaji uliofanywa na Kampuni ya DP World katika bandari ya Dar es Salaam katika kipindi cha miezi mitatu umeonesha mafanikioa makubwa kwa shehena ya makasha kuongezeka kutoka 7,151 Aprili 2024 hadi kufikia 20,151 kufikia Julai 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Uwekezaji huo wenye thamani ya takriban dola milioni 250 (Sh bilioni 675) kwa ajili ya uendeshaji wa magati 0-7 bandarini hapo umeleta manufaa makubwa kwa ni ongezeko la shehena ya makasha hayo ni sawa na ongezeko la asilimia 182.

Hayo yamebainishwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa Shughuli na Uratibu wa TPA, Josephat Lukindo wakati akiwasilisha ripoti fupi ya utendaji wa bandari hiyo baada ya uwekezaji huo kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makala aliyefanya ziara yake badarini hapo.

Alisema pesa hizo imetumika kuboresha utendaji wa bandari hiyo katika maeneo matatu baada ya kukabidhiwa na mamlaka ya bandari Aprili 15, 2024.

“Kwa uzoefu tulionao katika uendeshaji wa bandari, tuliamua kuanza na uboreshaji wa maeneo matatu muhimu ili kuongeza ufanisi zaidi,” alisema Lukindo.

Amesema sehemu ya kwanza kabla ya kufanya kitu chochote kampuni ya DP World kupitia kampuni tanzu ya DP World Dar es Salaam iliyoanzishwa kusimamia bandari hiyo ilifanya manunuzi ya mitambo ya kisasa yenye thamani ya takriban bilioni 215.

Alisema pili ilifanya ukarabati wa mitambo mibovu iliyokuwa ikitumika bandarini hapo na kufanya manunuzi ya vifaa vipya yakiwemo matrekta ya kubebea mizigo 20 pamoja na matela 31, jenerela saba zenye ukubwa wa Kv 10,000 kila moja kwa ajili ya kuendeshea mitambo ikitokea umeme umekatika na vifaa vya kubebea mizigo mizito (cranes).

“Tatu, DP World ilifanya usimikaji wa mifumo ya kisasa ya TEHAMA kwa ajili ya uendeshaji wa bandari hiyo. Hapo awali, tulikuta mifumo ambayo imepitwa na wakati na kuamua kuweka mifumo ya kisasa kuendana na maendeleo ya teknolojia,” alisema.

Hivyo, alisema uwekezaji huo umeleta manufaa makubwa ndani ya kipindi cha miezi mitatu iliyochangia ongezeko la shehena ya makasha ikiwa sawa na ongezeko la asilimia 182.

Mwanahalisi
Zimemkuna wapi, makalioni?au, kichwani?
 
..DPW wangekuwa toka mwanzo na malengo ya kuendesha gati # 8 - 11 na mchakato ukawa wa wazi hakuna mtu angepiga kelele.

..tatizo lilikuwa ni IGA ambayo ilipitishwa na bunge na inakiuka sheria ya ulinzi wa rasilimali iliyopitishwa mwaka 2017.

..Na mimi nalazimika kuamini kwamba bila mayowe kupigwa DPW were coming for more than just gati # 8 - 11.

..Utakumbuka kwamba TICTS hakuhitaji IGA ili kuendesha gati za makontena bandarini. ADANI naye hakuhitaji IGA ili kukodishwa gati ktk bandari yetu.

..Sasa kama Ticts na Adani hawakuwa na IGA, kwanini mambo ni tofauti kwa DPW?

..Zaidi, waliopinga IGA wako wengi zaidi ya Adv.Mwabukusi. Wako wasomi wakubwa na wanaoaminika kama Prof.Issa Shivji. Maaskofu ktk umoja wao waliounga, na si kweli kwamba alikuwa Fr.Kitima peke yake. Shura ya Maimamu walisema IGA ina matatizo.

..Wakati mwingine nadhani Watanzania hatuna skills za kupambanisha hoja zinazohusu maslahi ya taifa letu. Tunajadili mambo mazito ya kisheria kana kwamba tunajadili Simba na Yanga. Vilevile hakuna uwazi hivyo kila unakuta watu wanabishania jambo la msingi bila kuwa na taarifa za kutosha.
Kusema kwamba IGA ipo kinyume na sheria ya rasilimali ya 2017 ni kulishwa matango pori kwani bandari sio sehemu ya rasilimali, ni uvumi ulianza kipindi kile kile wakati DPW wanataka kupewa tender ya kuendesha bandari.

Huwezi kulinganisha TPA na mbuga za wanyama, huwezi kulinganisha TPA na mlima Kilimanjaro au hifadhi ya Ngorongoro, bandari ni chombo cha kiuchumi tofauti kabisa na hizo rasilimali zinavyoendeshwa. Bandarini kuna meli na makontena yanayotoka nje ya nchi, kuna magari yanayoshushwa kutoka kwenye hayo makontena unaweza vipi kuviiita hivyo vitu rasilimali za Taifa?.

IGA haiathiri ufanisi wowote wa mwekezaji wowote pale bandarini, mimi na wewe tunaweza kuanzisha kampuni ya masuala ya shipping na tukawa na vigezo vya kupewa tender ya kusimamia bandari yoyote ya TZ na hiyo IGA haitakuwa na nguvu ya kisheria ya kutuzuia kufanya lolote, hili ndilo kina Mwabukusi na hao wanasheria wengine waliloshindwa kulitolea ufafanuzi.

Kwamba mkataba mzima una vifungu 21, wao wanaongelea IGA peke yake, vipi kuhusu vifungu vingine vya mkataba mbona hawaviongelei?. Mbina hawaongelei juu ya DPW kuwapa elimu wataalam wa bandari yetu ikiwa ni sehemu ya kifungu kimojawapo kati ya vingi vilivyomo kwenye huo mkataba?.

Hakuna suala la michakato ya tender za bandarini kuwekwa wazi, ni kwa sababu za unyeti wa mikataba na taratibu zake.

Adani kapewa mkataba wa kuendesha magati namba 8-11 umewahi kuona mahali popote pale karatasi yoyote yenye kifungu chochote cha mkataba kati yake na Serikali?. Huwezi kuona kwa sababu mikataba ya kimataifa ni siri ya serikali na mwekezaji ukiiweka wazi huyo mwekezaji ana haki ya kukushtaki.

IGA haina nguvu kwani hakuna la maana kiuchumi linalowekwa ndani yake na ndio maana DPW hakushtaki mahali popote, ule mkataba uliosainiwa mbele ya Samia kule Ikulu Dodoma ukija kuwekwa hadharani na kujadiliwa serikali yetu itashtakiwa na DPW.
 
danganyen wapumbavu nchii hii chn ya ccm hakuna ubnafsishaji na uuzwaji wa raslimali zetu umewahi kuleta faida hakuna kelele hz za machawa kama wewe na majiz jiz ya ccm hupgwa sn kwny uwekezaji at last zero tu tuambie hp ni uwekezaji gn umewahi kunufaisha taifa hli shrika la ndege lilikufa na ndge majiz wakazgawana haijulikan zliendaga wapi, madini zero, rail zero, gas ya mtwara zero, maji zero, umeme zero, mwendokasi zero, viwanda zero so hata hiyo bandari hakuna ktaleta manufaa zaid labda kwa maccm na maviongoz majiz jizi tu bt si kwa watz na taifa kwa ujumla.
Zaidi ya malalamiko yenye msingi wa miaka ya nyuma, hakuna cha maana ulichokiandika.
 
My Take
Wale wa Samia ameuza Mali zao za Urithi mnaitwa kuja kumwaga povu jingine.

Kwa taarifa yenu sio tuu shehena ya mzigo imeongezeka Bali muda wa kusubiria meli umetoka siku 14 Hadi siku 3.

Hongera sana Rais Samia Kwa Mageuzi haya yenye Tija Kwa Nchi na kuleta ushindani mzuri wa Bandari ya Dar.

Pia soma hapa DP World kuokoa Sh1.6 trilioni hadi Desemba



View: https://youtu.be/o3wT4BwqifA?si=TXvSwhowSbEj_FlY

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema uwekezaji uliofanywa na Kampuni ya DP World katika bandari ya Dar es Salaam katika kipindi cha miezi mitatu umeonesha mafanikioa makubwa kwa shehena ya makasha kuongezeka kutoka 7,151 Aprili 2024 hadi kufikia 20,151 kufikia Julai 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Uwekezaji huo wenye thamani ya takriban dola milioni 250 (Sh bilioni 675) kwa ajili ya uendeshaji wa magati 0-7 bandarini hapo umeleta manufaa makubwa kwa ni ongezeko la shehena ya makasha hayo ni sawa na ongezeko la asilimia 182.

Hayo yamebainishwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa Shughuli na Uratibu wa TPA, Josephat Lukindo wakati akiwasilisha ripoti fupi ya utendaji wa bandari hiyo baada ya uwekezaji huo kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makala aliyefanya ziara yake badarini hapo.

Alisema pesa hizo imetumika kuboresha utendaji wa bandari hiyo katika maeneo matatu baada ya kukabidhiwa na mamlaka ya bandari Aprili 15, 2024.

“Kwa uzoefu tulionao katika uendeshaji wa bandari, tuliamua kuanza na uboreshaji wa maeneo matatu muhimu ili kuongeza ufanisi zaidi,” alisema Lukindo.

Amesema sehemu ya kwanza kabla ya kufanya kitu chochote kampuni ya DP World kupitia kampuni tanzu ya DP World Dar es Salaam iliyoanzishwa kusimamia bandari hiyo ilifanya manunuzi ya mitambo ya kisasa yenye thamani ya takriban bilioni 215.

Alisema pili ilifanya ukarabati wa mitambo mibovu iliyokuwa ikitumika bandarini hapo na kufanya manunuzi ya vifaa vipya yakiwemo matrekta ya kubebea mizigo 20 pamoja na matela 31, jenerela saba zenye ukubwa wa Kv 10,000 kila moja kwa ajili ya kuendeshea mitambo ikitokea umeme umekatika na vifaa vya kubebea mizigo mizito (cranes).

“Tatu, DP World ilifanya usimikaji wa mifumo ya kisasa ya TEHAMA kwa ajili ya uendeshaji wa bandari hiyo. Hapo awali, tulikuta mifumo ambayo imepitwa na wakati na kuamua kuweka mifumo ya kisasa kuendana na maendeleo ya teknolojia,” alisema.

Hivyo, alisema uwekezaji huo umeleta manufaa makubwa ndani ya kipindi cha miezi mitatu iliyochangia ongezeko la shehena ya makasha ikiwa sawa na ongezeko la asilimia 182.

Mwanahalisi

Inatia shaka malawi na zambia wasingekimbilia msumbiji!
 
Kodi,kwani ulitaka ipate nini? Tuna capitalize kwenye mafanikio ya DP World.

Wale wengine Adani Ports sijasikia chochote kuhusu wao Toka wamepewa gati za Bandari pia.
Ukitaka kujua tuna jamii ya kijinga Adani ndiye mwenye kumiliki magati yenye faida kuliko DPW lakini sisi akili zetu kwenye IGA ya DPW kuliko kuangalia kipi anachokifanya Adani.
 
My Take
Wale wa Samia ameuza Mali zao za Urithi mnaitwa kuja kumwaga povu jingine.

Kwa taarifa yenu sio tuu shehena ya mzigo imeongezeka Bali muda wa kusubiria meli umetoka siku 14 Hadi siku 3.

Hongera sana Rais Samia Kwa Mageuzi haya yenye Tija Kwa Nchi na kuleta ushindani mzuri wa Bandari ya Dar.

Pia soma hapa DP World kuokoa Sh1.6 trilioni hadi Desemba



View: https://youtu.be/o3wT4BwqifA?si=TXvSwhowSbEj_FlY

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema uwekezaji uliofanywa na Kampuni ya DP World katika bandari ya Dar es Salaam katika kipindi cha miezi mitatu umeonesha mafanikioa makubwa kwa shehena ya makasha kuongezeka kutoka 7,151 Aprili 2024 hadi kufikia 20,151 kufikia Julai 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Uwekezaji huo wenye thamani ya takriban dola milioni 250 (Sh bilioni 675) kwa ajili ya uendeshaji wa magati 0-7 bandarini hapo umeleta manufaa makubwa kwa ni ongezeko la shehena ya makasha hayo ni sawa na ongezeko la asilimia 182.

Hayo yamebainishwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa Shughuli na Uratibu wa TPA, Josephat Lukindo wakati akiwasilisha ripoti fupi ya utendaji wa bandari hiyo baada ya uwekezaji huo kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makala aliyefanya ziara yake badarini hapo.

Alisema pesa hizo imetumika kuboresha utendaji wa bandari hiyo katika maeneo matatu baada ya kukabidhiwa na mamlaka ya bandari Aprili 15, 2024.

“Kwa uzoefu tulionao katika uendeshaji wa bandari, tuliamua kuanza na uboreshaji wa maeneo matatu muhimu ili kuongeza ufanisi zaidi,” alisema Lukindo.

Amesema sehemu ya kwanza kabla ya kufanya kitu chochote kampuni ya DP World kupitia kampuni tanzu ya DP World Dar es Salaam iliyoanzishwa kusimamia bandari hiyo ilifanya manunuzi ya mitambo ya kisasa yenye thamani ya takriban bilioni 215.

Alisema pili ilifanya ukarabati wa mitambo mibovu iliyokuwa ikitumika bandarini hapo na kufanya manunuzi ya vifaa vipya yakiwemo matrekta ya kubebea mizigo 20 pamoja na matela 31, jenerela saba zenye ukubwa wa Kv 10,000 kila moja kwa ajili ya kuendeshea mitambo ikitokea umeme umekatika na vifaa vya kubebea mizigo mizito (cranes).

“Tatu, DP World ilifanya usimikaji wa mifumo ya kisasa ya TEHAMA kwa ajili ya uendeshaji wa bandari hiyo. Hapo awali, tulikuta mifumo ambayo imepitwa na wakati na kuamua kuweka mifumo ya kisasa kuendana na maendeleo ya teknolojia,” alisema.

Hivyo, alisema uwekezaji huo umeleta manufaa makubwa ndani ya kipindi cha miezi mitatu iliyochangia ongezeko la shehena ya makasha ikiwa sawa na ongezeko la asilimia 182.

Mwanahalisi

Huyu makala ni bogus sema ndio hivo ukishakuwa kwenye mfumo wa CCM
 
My Take
Wale wa Samia ameuza Mali zao za Urithi mnaitwa kuja kumwaga povu jingine.

Kwa taarifa yenu sio tuu shehena ya mzigo imeongezeka Bali muda wa kusubiria meli umetoka siku 14 Hadi siku 3.

Hongera sana Rais Samia Kwa Mageuzi haya yenye Tija Kwa Nchi na kuleta ushindani mzuri wa Bandari ya Dar.

Pia soma hapa DP World kuokoa Sh1.6 trilioni hadi Desemba



View: https://youtu.be/o3wT4BwqifA?si=TXvSwhowSbEj_FlY

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema uwekezaji uliofanywa na Kampuni ya DP World katika bandari ya Dar es Salaam katika kipindi cha miezi mitatu umeonesha mafanikioa makubwa kwa shehena ya makasha kuongezeka kutoka 7,151 Aprili 2024 hadi kufikia 20,151 kufikia Julai 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Uwekezaji huo wenye thamani ya takriban dola milioni 250 (Sh bilioni 675) kwa ajili ya uendeshaji wa magati 0-7 bandarini hapo umeleta manufaa makubwa kwa ni ongezeko la shehena ya makasha hayo ni sawa na ongezeko la asilimia 182.

Hayo yamebainishwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa Shughuli na Uratibu wa TPA, Josephat Lukindo wakati akiwasilisha ripoti fupi ya utendaji wa bandari hiyo baada ya uwekezaji huo kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makala aliyefanya ziara yake badarini hapo.

Alisema pesa hizo imetumika kuboresha utendaji wa bandari hiyo katika maeneo matatu baada ya kukabidhiwa na mamlaka ya bandari Aprili 15, 2024.

“Kwa uzoefu tulionao katika uendeshaji wa bandari, tuliamua kuanza na uboreshaji wa maeneo matatu muhimu ili kuongeza ufanisi zaidi,” alisema Lukindo.

Amesema sehemu ya kwanza kabla ya kufanya kitu chochote kampuni ya DP World kupitia kampuni tanzu ya DP World Dar es Salaam iliyoanzishwa kusimamia bandari hiyo ilifanya manunuzi ya mitambo ya kisasa yenye thamani ya takriban bilioni 215.

Alisema pili ilifanya ukarabati wa mitambo mibovu iliyokuwa ikitumika bandarini hapo na kufanya manunuzi ya vifaa vipya yakiwemo matrekta ya kubebea mizigo 20 pamoja na matela 31, jenerela saba zenye ukubwa wa Kv 10,000 kila moja kwa ajili ya kuendeshea mitambo ikitokea umeme umekatika na vifaa vya kubebea mizigo mizito (cranes).

“Tatu, DP World ilifanya usimikaji wa mifumo ya kisasa ya TEHAMA kwa ajili ya uendeshaji wa bandari hiyo. Hapo awali, tulikuta mifumo ambayo imepitwa na wakati na kuamua kuweka mifumo ya kisasa kuendana na maendeleo ya teknolojia,” alisema.

Hivyo, alisema uwekezaji huo umeleta manufaa makubwa ndani ya kipindi cha miezi mitatu iliyochangia ongezeko la shehena ya makasha ikiwa sawa na ongezeko la asilimia 182.

Mwanahalisi

Mimi nasubiri taarifa ya CAG kuhusu uwekezaji huo.
 
Kwani Bandari ipo Tanzania pekee? Mkiwa na Huduma zinazokaribiana Kwa ufanisi wateja wakakimbilia kwenye shorter distance na kwako inakuwa second option
Kama wanajua kuwa bandari ni biashara ya mteja kuchagua apeleke wapi mzigo wake wasingekuja na akili za kuipinga DPW kiasi cha Maaskofu kuandika waraka wa kitu wasichokuwa na ufahamu nacho wa kutosha.
 
Back
Top Bottom