ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #101
Ilizitumia kwenye areas gani? Kujenga miundombinu tuu bila kuwekeza kwenye Huduma za Kisasa na vifaa vya Kisasa vya kufanya kazi Haina tofauti na kujenga Hospital bila dawa na vifaa tiba au wataalamu.Yaani billion 600 na point zimeongeza ufanishi mara tatu zaidi wakati serikali yetu kabla ilishatumia zaidi ya trilion 2 kurekebisha hapo bandari na utendaji haukuongezeka kiivyoo..
Watanzania tumerogwaa *****..