Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
magati namba 0 mpaka namba 2 mmiliki ni TPA mwenye bandari yakeMkuu hii maghati 3-7 umetoa wapi?
Unaujua mkataba wa ghati 1-3 ulihusu nini?
Na mkataba 4-7 ulikua unahusu nini?
3-7 Kapewa DP World wabongo kwa uelewa wetu mdogo tukadhani kapewa bandari nzima,
magati 8-11 kapewa Adani,
Japo DPW kimkataba anasaidia pia baadhi ya shughuli za magati 0-2 yanayoendeshwa na TPA.