Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Nenda bandarini uone shughuli zinavyofanyika sio kudai ni maigizo wakati unapewa taarifa na watu walio karibu na kile kinachofanyika huko TPA.Hayo maigzo ndo ulikuwa mchezo kpnd cha jiwe mara magawio mara shrika la ndege linapga faida mabilion sa unategemea ujinga uliofanywa wa kugawa bandari kuna chawa atasema huduma n mbovu thubutuu..
DP World signed a 30-year concession agreement last year with the state-run Tanzania Ports Authority (TPA) to operate and modernize part of the Dar es Salaam port.We jamaa waliwekeza Bilion 500? Mbona Kama hiyo hata serikali ingeweka yenyewe
Faida ya uwepo wako ni ipi?Wewe kiazi uwepo wako ni hasara kwa hili taifa, afadhali ya kuku atachinjwa aliwe nyama au atage mayai, wewe unatumalizia O2 ya bure tu msukule.
Kwa nini haikuwekeza miaka yote kuanzia JK, Mwendazake Hadi Samia?We jamaa waliwekeza Bilion 500? Mbona Kama hiyo hata serikali ingeweka yenyewe
Unavyoandika utadhani hata kupiga kura huwa unajitokeza kupiga!. Umaarufu wetu ndio huu wa kulialia kwenye nyuzi za Jamiiforum siku za uchaguzi hakuna anayejitokeza kwenda kupiga kura.Huna moral-authority ya kumpinga Mwabukusi . Nchi ni ya wananchi ; ni kwamba tuna bahati mbaya kama nchi viongozi hawasikilizi wananchi . Tena wananchi wanampigia kura kiongozi fulani , halafu wanadhulumiwa ( injustice) kwa kupewa kiongozi mwingine ambaye hawajamchagua . Huu ni udhalimu wa hali ya juu .
danganyen wapumbavu nchii hii chn ya ccm hakuna ubnafsishaji na uuzwaji wa raslimali zetu umewahi kuleta faida hakuna kelele hz za machawa kama wewe na majiz jiz ya ccm hupgwa sn kwny uwekezaji at last zero tu tuambie hp ni uwekezaji gn umewahi kunufaisha taifa hli shrika la ndege lilikufa na ndge majiz wakazgawana haijulikan zliendaga wapi, madini zero, rail zero, gas ya mtwara zero, maji zero, umeme zero, mwendokasi zero, viwanda zero so hata hiyo bandari hakuna ktaleta manufaa zaid labda kwa maccm na maviongoz majiz jizi tu bt si kwa watz na taifa kwa ujumla.Nenda bandarini uone shughuli zinavyofanyika sio kudai ni maigizo wakati unapewa taarifa na watu walio karibu na kile kinachofanyika huko TPA.
Hapo kabla makontena 7000 yalikuwa yakihudumiwa hivi sasa makontena yanayohudumiwa ni 20000, unaposema kuwa bandari imeuzwa unajua unaongea kitu gani?.
Kwa nini haikuwekeza miaka yote kuanzia JK, Mwendazake Hadi Samia?
Uwekezaji wa DP World utafikia zaidi ya Trilioni 2.5 kadiri ya ongezeko kubwa la mzigo
Kwani ujenzi wa hizo gati Mpya na kina ulianza na Magufuli?..tulishawekeza.
..hukusikia Magufuli alijenga gati mpya, na kuongeza kina cha bandari yetu?
Hakuna uwekezaji serious umewahi fanyika ambao unahusisha total overhaul ya system za Uendeshaji.danganyen wapumbavu nchii hii chn ya ccm hakuna ubnafsishaji na uuzwaji wa raslimali zetu umewahi kuleta faida hakuna kelele hz za machawa kama wewe na majiz jiz ya ccm hupgwa sn kwny uwekezaji at last zero tu tuambie hp ni uwekezaji gn umewahi kunufaisha taifa hli shrika la ndege lilikufa na ndge majiz wakazgawana haijulikan zliendaga wapi, madini zero, rail zero, gas ya mtwara zero, maji zero, umeme zero, mwendokasi zero, viwanda zero so hata hiyo bandari hakuna ktaleta manufaa zaid labda kwa maccm na maviongoz majiz jizi tu bt si kwa watz na taifa kwa ujumla.
Hayo mapato yamekusaidia nini? Tozo zinazidi kuongezeka, umeme sasa ni anasa.My Take
Wale wa Samia ameuza Mali zao za Urithi mnaitwa kuja kumwaga povu jingine.
Kwa taarifa yenu sio tuu shehena ya mzigo imeongezeka Bali muda wa kusubiria meli umetoka siku 14 Hadi siku 3.
Hongera sana Rais Samia Kwa Mageuzi haya yenye Tija Kwa Nchi na kuleta ushindani mzuri wa Bandari ya Dar.
---
View: https://youtu.be/o3wT4BwqifA?si=TXvSwhowSbEj_FlY
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema uwekezaji uliofanywa na Kampuni ya DP World katika bandari ya Dar es Salaam katika kipindi cha miezi mitatu umeonesha mafanikioa makubwa kwa shehena ya makasha kuongezeka kutoka 7,151 Aprili 2024 hadi kufikia 20,151 kufikia Julai 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).
Uwekezaji huo wenye thamani ya takriban dola milioni 250 (Sh bilioni 675) kwa ajili ya uendeshaji wa magati 0-7 bandarini hapo umeleta manufaa makubwa kwa ni ongezeko la shehena ya makasha hayo ni sawa na ongezeko la asilimia 182.
Hayo yamebainishwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa Shughuli na Uratibu wa TPA, Josephat Lukindo wakati akiwasilisha ripoti fupi ya utendaji wa bandari hiyo baada ya uwekezaji huo kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makala aliyefanya ziara yake badarini hapo.
Alisema pesa hizo imetumika kuboresha utendaji wa bandari hiyo katika maeneo matatu baada ya kukabidhiwa na mamlaka ya bandari Aprili 15, 2024.
“Kwa uzoefu tulionao katika uendeshaji wa bandari, tuliamua kuanza na uboreshaji wa maeneo matatu muhimu ili kuongeza ufanisi zaidi,” alisema Lukindo.
Amesema sehemu ya kwanza kabla ya kufanya kitu chochote kampuni ya DP World kupitia kampuni tanzu ya DP World Dar es Salaam iliyoanzishwa kusimamia bandari hiyo ilifanya manunuzi ya mitambo ya kisasa yenye thamani ya takriban bilioni 215.
Alisema pili ilifanya ukarabati wa mitambo mibovu iliyokuwa ikitumika bandarini hapo na kufanya manunuzi ya vifaa vipya yakiwemo matrekta ya kubebea mizigo 20 pamoja na matela 31, jenerela saba zenye ukubwa wa Kv 10,000 kila moja kwa ajili ya kuendeshea mitambo ikitokea umeme umekatika na vifaa vya kubebea mizigo mizito (cranes).
“Tatu, DP World ilifanya usimikaji wa mifumo ya kisasa ya TEHAMA kwa ajili ya uendeshaji wa bandari hiyo. Hapo awali, tulikuta mifumo ambayo imepitwa na wakati na kuamua kuweka mifumo ya kisasa kuendana na maendeleo ya teknolojia,” alisema.
Hivyo, alisema uwekezaji huo umeleta manufaa makubwa ndani ya kipindi cha miezi mitatu iliyochangia ongezeko la shehena ya makasha ikiwa sawa na ongezeko la asilimia 182.
Mwanahalisi
Serikali Huwa inagawa hela? Kama hujui ilichosaidia wewe sio mzima kichwani 👇👇Hayo mapato yamekusaidia nini? Tozo zinazidi kuongezeka, umeme sasa ni anasa.
Lini utakuwa na akili za kichwa badala ya akili ya hii?. Mamakuyoma.
Kwani ujenzi wa hizo gati Mpya na kina ulianza na Magufuli?
Baada ya kuwekeza miaka yote hiyo mizigo iliongezeka Kwa asilimia 130% kama Kwa DP World?
My Take
Wale wa Samia ameuza Mali zao za Urithi mnaitwa kuja kumwaga povu jingine.
Kwa taarifa yenu sio tuu shehena ya mzigo imeongezeka Bali muda wa kusubiria meli umetoka siku 14 Hadi siku 3.
Hongera sana Rais Samia Kwa Mageuzi haya yenye Tija Kwa Nchi na kuleta ushindani mzuri wa Bandari ya Dar.
Pia soma hapa DP World kuokoa Sh1.6 trilioni hadi Desemba
View: https://youtu.be/o3wT4BwqifA?si=TXvSwhowSbEj_FlY
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema uwekezaji uliofanywa na Kampuni ya DP World katika bandari ya Dar es Salaam katika kipindi cha miezi mitatu umeonesha mafanikioa makubwa kwa shehena ya makasha kuongezeka kutoka 7,151 Aprili 2024 hadi kufikia 20,151 kufikia Julai 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).
Uwekezaji huo wenye thamani ya takriban dola milioni 250 (Sh bilioni 675) kwa ajili ya uendeshaji wa magati 0-7 bandarini hapo umeleta manufaa makubwa kwa ni ongezeko la shehena ya makasha hayo ni sawa na ongezeko la asilimia 182.
Hayo yamebainishwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa Shughuli na Uratibu wa TPA, Josephat Lukindo wakati akiwasilisha ripoti fupi ya utendaji wa bandari hiyo baada ya uwekezaji huo kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makala aliyefanya ziara yake badarini hapo.
Alisema pesa hizo imetumika kuboresha utendaji wa bandari hiyo katika maeneo matatu baada ya kukabidhiwa na mamlaka ya bandari Aprili 15, 2024.
“Kwa uzoefu tulionao katika uendeshaji wa bandari, tuliamua kuanza na uboreshaji wa maeneo matatu muhimu ili kuongeza ufanisi zaidi,” alisema Lukindo.
Amesema sehemu ya kwanza kabla ya kufanya kitu chochote kampuni ya DP World kupitia kampuni tanzu ya DP World Dar es Salaam iliyoanzishwa kusimamia bandari hiyo ilifanya manunuzi ya mitambo ya kisasa yenye thamani ya takriban bilioni 215.
Alisema pili ilifanya ukarabati wa mitambo mibovu iliyokuwa ikitumika bandarini hapo na kufanya manunuzi ya vifaa vipya yakiwemo matrekta ya kubebea mizigo 20 pamoja na matela 31, jenerela saba zenye ukubwa wa Kv 10,000 kila moja kwa ajili ya kuendeshea mitambo ikitokea umeme umekatika na vifaa vya kubebea mizigo mizito (cranes).
“Tatu, DP World ilifanya usimikaji wa mifumo ya kisasa ya TEHAMA kwa ajili ya uendeshaji wa bandari hiyo. Hapo awali, tulikuta mifumo ambayo imepitwa na wakati na kuamua kuweka mifumo ya kisasa kuendana na maendeleo ya teknolojia,” alisema.
Hivyo, alisema uwekezaji huo umeleta manufaa makubwa ndani ya kipindi cha miezi mitatu iliyochangia ongezeko la shehena ya makasha ikiwa sawa na ongezeko la asilimia 182.
Mwanahalisi
Paka rangi mwishowe mapaka yatakuwa Kila mahali.Father Kitima na wengine kwenye ngazi ya kanisa letu Katoliki walidhani wanamkomoa Samia kumbe wanapoteza muda na wameishia kujipatia aibu ya mwaka baada ya Adani kupewa aendeshe magati namba 8 mpaka 11.
Yale yale ya Mwabukusi anayelaumu IGA bila ya kuwa na uelewa wowote wa sheria za kimataifa. IGA ipo na makampuni mengine yanaruhusiwa kufanya biashara ya uendeshaji wa bandari zetu.
Kodi,kwani ulitaka ipate nini? Tuna capitalize kwenye mafanikio ya DP World.Katika mafanikio yote hayo, serikali inapata nini kutoka japo.
Kodi,kwani ulitaka ipate nini? Tuna capitalize kwenye mafanikio ya DP World.
Wale wengine Adani Ports sijasikia chochote kuhusu wao Toka wamepewa gati za Bandari pia.
Kodi ya siku zoteKodi ipi unayoizungumzia!?