Bill Gates adai mke aliyetalakiana naye aanza kuwatumia marafiki wa karibu kuomba msamaha

Bill Gates adai mke aliyetalakiana naye aanza kuwatumia marafiki wa karibu kuomba msamaha

Ila wanawake bhana ,kwamba mpaka elite Illuminati members wanaachwa au sio ?
Halafu Gates ni pedophile na Satanist aliyekuwa anafanya ibada za sexual abuse na watoto wadogo , yupo kwenye list ya clients WA Epstein
Ila Kwa vile sheria haina meno kwa watu A lists kama Bill ndio hivyo tena
Duuuh Watu mna nondo hatari juu ya huu ulimwengu.

Ubinadamu ni kazi The humanity is work.
 
Sharti la kurudiana anatakiwa arudi akiwa na ile sehemu ya utajiri aliyopewa kama mgawo
Kwa mfano wakarudiana na hana huo mgawo,je wakiachana tena atadai mgawo mwingine na mahakama hapo sijui itaamuaje
 
Kwa mfano wakarudiana na hana huo mgawo,je wakiachana tena atadai mgawo mwingine na mahakama hapo sijui itaamuaje
Itaugawa tena mpunga wa Billgates, na huenda ndiyo alichokifuata
 
Ndio maana mlielezwa muishi nao kwa akili

Bill Gates aliyekuwa tajiri namba moja duniani na mke wake wa ndoa Melinda Gates walitalikiana miaka miwili uliyopitia. Mke alivuna karibu nusu ya utajiri wa Bill

Kwa sasa akihojiwa na vyombo vya habari amedai mtalaka wake huyo anahangaika kutumia marafiki wa karibu wa Bill ili amsamehe, kwamba hana amani ya moyo

Kisa hicho kimetokea baada ya mwanaume aliyemrubuni Melinda kumwacha kuanzia Mei mwaka huu, hivyo kabaki hana pa kuushika,

Melinda alidai atakuwa na furaha kitu ambacho kimekuwa kugeuka kwani jamaa anaendelea na mambo yake, TMZ wameripoti habari hiyo na kuifuta haraka sana lakini Bill mwenyewe aliongea na watu mbalimbali na kuthibitisha hilo

Tuzidi kujifunza juu ya hawa Wanawake hawajielewi kabisa wanataka nini na hawataki nini
Kwa nini asije kwa mwamba Bello Baltasar hapo EG.
 
Back
Top Bottom