- Thread starter
- #181
Unaweza kukuta unawaita wahanga wasio na ndoa hapo mtagombana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kukuta unawaita wahanga wasio na ndoa hapo mtagombana
Punguza utoto
Wanawake hawaeleweki na hawajielewi ambaye hajasoma na aliyesoma inapofikia level ya kua mwanamke wao akili zao hufananaJaman mbona watu wanakuwa njia panda sana
Wanawake na vituko vyaoMara zote iko hivyo.
Anayeharibu uhusiano wa mwenzake huwa hana uwezo wa kumudu huyo anayempokonya mwenzake.
Mara nyingi wanaishia kuachana tu.
Wanawake hawaeleweki na wala hawajielewiKwamba tajiri no 1 duniani amekimbiwa na mkewe!!
Mungu aalikwe ktk NDOA awe kiongozi Ili NDOA idumu.
Wanawake akili hawana linapokuja suala la mapenzi wote akili ni moja yaani hawajielewiHuyu kama akitaka asamehewe inatakiwa apimwe mimba na yutiyai asije akasema mimba yako hii ........ili irithi utajiri
TobaaaPunguza utoto
makubazPunguza utoto
makugegambaPunguza utoto
makudoPunguza utoto
pumbuniPunguza utoto
PumbunyoPunguza utoto
PumbunyoPunguza utoto
pumzihaiuzwiPunguza utoto
Mbochong'aPunguza utoto