Bill Gates adai mke aliyetalakiana naye aanza kuwatumia marafiki wa karibu kuomba msamaha

Bill Gates adai mke aliyetalakiana naye aanza kuwatumia marafiki wa karibu kuomba msamaha

Hao walikuwa mume na mke halafu wazungu sio wamatumbi huwa hawali matapishi. Kila mmoja kasha move on. Huyo Melinda siyo kina matonya alikuwa vizuri kabla ya ku meet Bill, Bill alikubali ku take responsibility ya ndoa yao kuvunjika. Hizi nyingine ni tetesi tuu.
 
Nimemjibu mtoa mada kwa hilo la Mungu hayo mengine yajibuni nyie🙏
Kwani unamsemea?mimi najua hajawahi kusema hamjui Mungu.

Na kwanini kila unapokutana na neno ”Mungu“ unaonekana kukosa amani?yaani utatumia kila nyenzo uliyo nayo kuonyesha anayetumia neno hilo amekosea kwanini hali hii bro?hujiamini au kitu gani?
 
Kwani unamsemea?mimi najua hajawahi kusema hamjui Mungu.

Na kwanini kila unapokutana na neno ”Mungu“ unaonekana kukosa amani?yaani utatumia kila nyenzo uliyo nayo kuonyesha anayetumia neno hilo amekosea kwanini hali hii bro?hujiamini au kitu gani?
Tafuta kitabu chake cha embodiment of digital era.

Swali la chini halina mashiko kwangu sina haja ya kulijibu🙏
 
Tafuta kitabu chake cha embodiment of digital era.
Ikiwa yupo hai na kilichoandikwa Wikipedia kumuhusu ndiyo sahihi ikiwa hajaona umuhimu wa kutaka ibadilishwe,
IMG_20241109_175304.jpg
kitabu kinaweza kuwa chake lakini kama humo alimkataa Mungu usually binadamu alivyo alichokiwaza jana (wakati anaandika hicho kitabu) na anachowaza leo ni tofauti coz kila siku tunajifunza na kupata mawazo mapya.
Swali la chini halina mashiko kwangu sina haja ya kulijibu🙏
Halina mashiko kwa sababu huo ndiyo ukweli wenyewe,yaani haujisikii amani ukiona mtu anaamini tofauti na unavyotaka wewe kitu kinachokupa depression kiasi unajitahidi usikilizwe kila wakati na ni kitu hakiwezi kutokea.
 
Ikiwa yupo hai na kilichoandikwa Wikipedia kumuhusu ndiyo sahihi ikiwa hajaona umuhimu wa kutaka ibadilishwe,
View attachment 3147943kitabu kinaweza kuwa chake lakini kama humo alimkataa Mungu usually binadamu alivyo alichokiwaza jana (wakati anaandika hicho kitabu) na anachowaza leo ni tofauti coz kila siku tunajifunza na kupata mawazo mapya.

Halina mashiko kwa sababu huo ndiyo ukweli wenyewe,yaani haujisikii amani ukiona mtu anaamini tofauti na unavyotaka wewe kitu kinachokupa depression kiasi unajitahidi usikilizwe kila wakati.
Wapi ulishaona nataka kusikilizwa? Wapi uliona nimefungua uzi kuhusu uwepo wa Mungu? Ukimtaja wewe unapaswa uthibitishe, humu sio kanisani kila mtu anafuata mambo kama kondoo tu🤔.


hakuna mahali bill kasema hakuna Mungu wala Mungu yupo , yeye hana uhakika na mara nyingi anatambulika kama agnostic .
 
Nani?

Mbona yeye ndo aliniblock.

Wakati ananiblock nilikuwa nishamsahau

Nikashangaa amekumbuka kuniblock

Nilimhurumia.

Mie huwa nawasahau maex ndani ya sekunde 17 coz zikifika sekunde 19 tayari nina mwingine mwenye pesa kupita the former
Nipe nafasi na mimi nipige
 
Wapi ulishaona nataka kusikilizwa? Wapi uliona nimefungua uzi kuhusu uwepo wa Mungu? Ukimtaja wewe unapaswa uthibitishe, humu sio kanisani kila mtu anafuata mambo kama kondoo tu🤔.


hakuna mahali bill kasema hakuna Mungu wala Mungu yupo , yeye hana uhakika na mara nyingi anatambulika kama agnostic .
The way unavyom-crush mtu aliyeandika neno Mungu kwenye post na haujwa tagged moja kwa moja kunakufanya kuonekana unataka battle ili upandikize kile unachoamini wewe,kwanini nikuthibitishie?mfano pale juu,aliyeandika neno Mungu alikuita uje kusema “Bill haamini uwepo wa Mungu”?)

Mkuu ni haki yako kutaka nikuthibitishie ikiwa tu mimi nimetaka wewe unisikilize mimi lakini kama nimejiandikia tu then ni haki yangu wewe usinisumbue,kwa hiyo anaamini Mungu yupo au haamini?nikinukuu Wikipedia,kwa kusema maneno haya “Nafikiri inaleta maana kuamini katika Mungu” unadhani haamini uwepo wa Mungu au anaamini?
 
The way unavyom-crush mtu aliyeandika neno Mungu kwenye post na haujwa tagged moja kwa moja kunakufanya kuonekana unataka battle ili upandikize kile unachoamini wewe,kwanini nikuthibitishie?

Mkuu ni haki yako kutaka nikuthibitishie ikiwa tu mimi nimetaka wewe unisikilize mimi lakini kama nimejiandikia tu then ni haki yangu wewe usinisumbue,kwa hiyo anaamini Mungu yupo au haamini?nikinukuu Wikipedia,kwa kusema maneno haya “Nafikiri inaleta maana kuamini katika Mungu” unadhani haamini uwepo wa Mungu au anaamini?
Mimi pia naomba mtu athibitishe wala sijamshikia mtu bunduki anaweza jibu ama kupotezea tu , hili ni jukwaa huru mkuu, humu sio kanisani ambapo kila mtu lazima awe kondoo .

Mungu hajawahi kuwepo hata kwa dalili tu kama una uthibitisho ,thibitisha hapa kama hauwezi ,kausha tu.
 
Mimi pia naomba mtu athibitishe wala sijamshikia mtu bunduki anaweza jibu ama kupotezea tu , hili ni jukwaa huru mkuu, humu sio kanisani ambapo kila mtu lazima awe kondoo .

Mungu hajawahi kuwepo hata kwa dalili tu kama una uthibitisho ,thibitisha hapa kama hauwezi ,kausha tu.
Sawa vyema hayo ni mawazo yako ni haki yako una uhuru wa kuamini unavyotaka.

So narudi kwako kukuuliza,Bill gates anaamini uwepo wa Mungu au haamini?nimependa hapa umeongelea nafsi yako hujamsemea tena jamaa.mimi nadhani ibaki kama ilivyo,una unachokiamini nina ninachokiamini yule vile vile haileti maana sana ikiwa tutataka yale tunayoyafanya sisi na wenzetu wayafanye.
 
Back
Top Bottom