mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Watu weusi ngoma ngumu
Hilo gonjwa linadunda tu mwilini mwetu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo gonjwa linadunda tu mwilini mwetu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwataki wasubiriee tenaUtalii: Wachina 600 kutua Tanzania wiki ijayo
wakati kuna uzi ukisomeka hivi then unakuja kusoma utabiri wa Bill Gates
Serikali iweke kambi mahalum kwanza kwa chinise wanaokuja tz kukaa apo kwa mda chini ya uangalizi wasituletee balaaTuombe tu usifike bongo,na hivi wanasema wachina wanakuja bongo kama kawaida..MUNGU atunusuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hawa watoto wa matone inabidi kuwastudy nakuandika resesarch na tafiti ziandikwe kitaalamu wenzetu ndo wanapotupita hapa, sababu zitasaidia vizazi vijavyokuwa kutokana na rekodi nzuri na ushahidi hivyo itasaidia kufanya maamuzi nakujiamini na kupinga kwa hoja (hence proven)Hawa mabeberu kuna muda wanajikuta wana akili saaana.
Yaan hapo billie katoa warning ili watuletee chanjo feki zenye chips watudunge kisha watufanye tubehave watakavyo.
Kwa akili ya kawaida tu em fatilia generation ya wale watoto waliopewa chanjo ya matone miaka ya nyuma kdg. Wengi wao ukifatilia tabia zao kiundani utashangaa kabisa.
Mafua makali ni yapi?Daah Nimesikia Tangazo Radio one asubuhi leo.Japo wamesema ugonjwa haupo.
Ila tumeambiwa ukiona mtu ana mafua makali saaana.Saana...basi toa taarifa mapema kituo cha Afya au Hospital iliyo karibu
Tuombe tu usifike bongo,na hivi wanasema wachina wanakuja bongo kama kawaida..MUNGU atunusuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Mitishamba yenu ingewasaidia kupambana na HIV/UKIMWI ningeiona ya maana.Huyu bill gate ndo wauaji wenyewe hao,Ni mbuzi katika ngozi ya kondoo,
Huku huo ugonjwa haufui dafu,tuna mitishamba ya kila Aina,hawatuwezi
Mungu yupo pamoja nasiHii corona ianzie pale chamwino kwa bwana yule!
Akifa yeye na watanganyika wengine kama milioni mbili hivi sio mbaya sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mafua yasiyoisha... 😀 😀 Mkiona mwenzenu anakuwa kama Kuku wa Mdondo kila siku.Mpelekeni Zahanati.Ila mnakumbushwa kuwa hakuna huo Ugonjwa huku Tanzania.Mafua makali ni yapi?
kuna mafua ya allergy
kuna mafua ya vumbi
Aisee.....
bwana gani huyo?Hii corona ianzie pale chamwino kwa bwana yule!
Akifa yeye na watanganyika wengine kama milioni mbili hivi sio mbaya sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisamehewe bure lakini mamlaka zetu hazijawa serious na janga hili. Labda akipatikana mgonjwa wa kwanza hapa ndo tutaanza kukimbizana. Mungu apishe mbali.Tuombe tu usifike bongo,na hivi wanasema wachina wanakuja bongo kama kawaida..MUNGU atunusuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah Nimesikia Tangazo Radio one asubuhi leo.Japo wamesema ugonjwa haupo.
Ila tumeambiwa ukiona mtu ana mafua makali saaana.Saana...basi toa taarifa mapema kituo cha Afya au Hospital iliyo karibu
Utani unaoudhi.....Huyu bill gate ndo wauaji wenyewe hao,Ni mbuzi katika ngozi ya kondoo,
Huku huo ugonjwa haufui dafu,tuna mitishamba ya kila Aina,hawatuwezi
Binafsi labda nimekuta Tangazo katikati ile asubuhi ila.Linasema Ukiona dalili za mafua makali yasiyoisha na Kichwa kuuma.Unaipimaje hiyo SANA.....SAAANA.....?
Nisamehewe bure lakini mamlaka zetu hazijawa serious na janga hili. Labda akipatikana mgonjwa wa kwanza hapa ndo tutaanza kukimbizana. Mungu apishe mbali.
Kwa hii tabia yetu ya kugeuza kila kitu siasa, sijui hatima yetu itakuwaje!!!!!
Jiwe the witch