Bill Gates aonya na kutabiri coronavirus kuua watu milioni 10 barani Afrika

Bill Gates aonya na kutabiri coronavirus kuua watu milioni 10 barani Afrika

Wenyewe ndo washiriki wakubwa wa hiyo mipango ya siri, hivyo hakuna jipya...
 
Inatakiwa mchina asisaidiwe aachwe kwanza vimpekecheeee ndo akome maana km kweli alivitengeneza yeye ni sahihi aonje joto la jiwe
Wakati Mchina anatengeneza hao Virus, USA na Europe walishafahamu in and out Wakaanza kufanya utafiti wa Chanzo na Dawa za kutibu, Ndo maana majuzi tu Wagonjwa wote waliogunduliwa UK waliponywa ki urahisi tu vile Dawa tayari wanazo....

Mmarekani anasema Dawa anazo Watu wanashangaa kumbe alitengeneza Dawa toka miaka hiyo akisubiri siku Kama za Sasa ambapo Virus hao Wameshindwa kudhibitiwa na Mchina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa mabeberu kuna muda wanajikuta wana akili saaana.

Yaan hapo billie katoa warning ili watuletee chanjo feki zenye chips watudunge kisha watufanye tubehave watakavyo.

Kwa akili ya kawaida tu em fatilia generation ya wale watoto waliopewa chanjo ya matone miaka ya nyuma kdg. Wengi wao ukifatilia tabia zao kiundani utashangaa kabisa.
Hili sikuwahi kulijua! Wakoje kwani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini isizuie jumla wachina kuingia nchini.?
Yote yanawezekana cha msingi nikuangalia njia nzuri ambayo bado haiwezi athiri mausiano yetu na China kwa iyo kinachotakiwa ni kutumia njia isiyokua na ukakasi
 
Recent discussions:

1. China's most advanced virus research laboratory is the Wuhan Institute of Virology and last year the US Department of State reported suspicions of biological warfare work at that lab. Was the Chinese coronavirus from its covert bio-weapons program? - Quora

Difference in Receptor Usage between Severe Acute Respiratory Syndrome (SARS) Coronavirus and SARS-Like Coronavirus of Bat Origin: Difference in Receptor Usage between Severe Acute Respiratory Syndrome (SARS) Coronavirus and SARS-Like Coronavirus of Bat Origin

ABSTRACT
Severe acute respiratory syndrome (SARS) is caused by the SARS-associated coronavirus (SARS-CoV), which uses angiotensin-converting enzyme 2 (ACE2) as its receptor for cell entry. A group of SARS-like CoVs (SL-CoVs) has been identified in horseshoe bats. SL-CoVs and SARS-CoVs share identical genome organizations and high sequence identities, with the main exception of the N terminus of the spike protein (S), known to be responsible for receptor binding in CoVs. In this study, we investigated the receptor usage of the SL-CoV S by combining a human immunodeficiency virus-based pseudovirus system with cell lines expressing the ACE2 molecules of human, civet, or horseshoe bat. In addition to full-length S of SL-CoV and SARS-CoV, a series of S chimeras was constructed by inserting different sequences of the SARS-CoV S into the SL-CoV S backbone. Several important observations were made from this study. First, the SL-CoV S was unable to use any of the three ACE2 molecules as its receptor. Second, the SARS-CoV S failed to enter cells expressing the bat ACE2. Third, the chimeric S covering the previously defined receptor-binding domain gained its ability to enter cells via human ACE2, albeit with different efficiencies for different constructs. Fourth, a minimal insert region (amino acids 310 to 518) was found to be sufficient to convert the SL-CoV S from non-ACE2 binding to human ACE2 binding, indicating that the SL-CoV S is largely compatible with SARS-CoV S protein both in structure and in function. The significance of these findings in relation to virus origin, virus recombination, and host switching is discussed.

FOOTNOTES
  • Received 20 May 2007.
  • Accepted 15 November 2007.

2. How did the Wuhan coronavirus appear?

How did the Wuhan coronavirus appear? - Quora
 
Adui wa binadamu ni binadamu wenyewe . kwa hali dunia ilipofikia kwa sasa binadamu wana windana wenyewe kama simba atafutapo mawindo yake.

Asili mia 90 ya magonjwa duniani ni yakutengeneza ili wakubwa watengeneze Pesa kwa njia ya kuuza dawa.

Na asilimia kubwa magonjwa haya yamezalishwa kwenye vyakula tunavyokula kila siku. Kwa kuondoa ile uasili wa mimea na kiindiza mbolea ambazo zinazalisha maradhi kwa watumiaji wa vyakula.

Wakati.mwingine nawaza mbona zamani watu walikua hawaugui hovyo hovyo kama sasa? Leo hii kama unataka kutajirika kwa haraka fungua hospital nakwambia utapiga hela sana kwanini miili ya watu imekua biashara.

Na hawa mabwana wa kubwa ndio wananufaika sana na biashara za kuuza madawa. Wanatengeneza tatizo ili wanufaike kwa kipata fedha na mlengwa mkubwa ni Africa. Ndio maana wa Africa tu nahitaji tuwe wamoja.

Tukumbuke kwamba Africa ndio Bara lenye rathilimali nyingi sana na hawa mabwana wakubwa licha ya kutupa Uhuru watu wamegundua walifanya makosa hivyo ili kurudi tena ni lazima wajifiche kwenye koti LA Maradhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom