Billionea wa Danube ajuta kuwekeza Tanzania

Hahahaa kuna hawa wanajiita malkia huko insta aisee wachovu balaa,kuna mmoja aliumbuka picha zake halisi daah ndo maana hawashtakiwi maana watajaza magereza tu dhamana hawana
Kuna dada mmoja huko aliandika hatununui na hivo vitu vya Danube, kumcheki picha zake kwenye profile dah hadi unajisikia huruma
 
Mmmmh embu tulia ulete uzi wako vizuri... kama umekurupuka vile,,,,, by ze way i miss u!!
 
Kuna habari zingine ni za miemko tuu na umbea umbea na uchonganishi. Hakuna siku wanawaza positive. Wanawake na waschana wengi wa Tanzania ni empty brain wanafikiria matakoni.

Mtoa post acha wivu na umbea husiokuwa na maana..think beyond.....!!!!
 
Kuwa makini na unachoandika, heading kubwa ndani utumbo tu
 
Hahahaa kuna hawa wanajiita malkia huko insta aisee wachovu balaa,kuna mmoja aliumbuka picha zake halisi daah ndo maana hawashtakiwi maana watajaza magereza tu dhamana hawana
Namkumbuka malkia wa insta na zile nywele za twende kilioni dah
 
Wewe tunakujua una beef na Zari, fanya mazoezi upunguze mwili haya ya Zari hutayaweza kamwe. Wewe unapuga kelele hapa Jf mwenzio alishavuta mpunga
 

Hao mashabiki wa INSTA n MOBETO wote hawana uwezo w kununua chochote kwenye maduka ya DANUBE.
 
Mange Kimambi ndiyo kinara wa kumtukana Zari hadi kafungua account fake anaiita east africahotseat huko ndo anawashawish watu wapost account ya danube kuwa hawamtaki Zari kuwa balozi wa Danube.
 
Acheni upumbavu,wenye uwezo wa kuingia shoping DANUBE hawako insta ,unasusa wakati huna uwezo!Ni sawa na uswahilini kususia bucha
sasa mbona huyo bilionea mwenye DANUBE yuko Insta........au na yeye hana uwezo wa kuingia DANUBE
 
Sisi tutanunua tu hizo bidhaa, mwenye wivu n.a. chuki binafsi naZari the boss lady jinyonge tu badamu bamwagike
 
Hao watu wa instagram...wanawwza kununua fanicha za milioni kumi?

Bahati mbaya ukiacha washNgaaji wateja hAlisi hawajui insta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…