Billnass adai kushuhudia mkewe akijifungua, asema ni nusu ya kifo

Billnass adai kushuhudia mkewe akijifungua, asema ni nusu ya kifo

Bilnas amesema “Mimi wakati mke wangu anajifungua nilikuwepo hospitali na nilimuona process zote ni kitu ambacho kilinitesa sana niliona ni nusu ya kifo, nililia sana kuna muda mwingine unaona hujui kama atakuwa salama, nimezidisha mapenzi niliyokuwa nayo kwa mwanamke wangu.

Katia chumvi...

Kipi sasa cha kumliza mwanaume pale 🤔
 
Members mnaomcheka bilnas mnanishangaza sana hivi mnadhani kushuhudia uzazi ni mchezo mchezo kuna aliyewahi kati yenu 🤷🏼‍♀️

Hakuna kitu cha kumliza mwanaume kwenye process yote...

Sasa mwanaume ukilia, nani atayempa nguvu mwanamke ya ku-push?

Hata wanaozalisha huwa wanategemea uwepo wa mwanaume labor room/delivery room ni kwa ajili ya kumsaidia mama atoe mtoto huku akipewa faraja...
 
Kila mtu ana jinsi anavyohuzunika au kumaliza machungu kwani wewe mkuu hukuwahi kulia kwa umri huo na kama ulilia niambie ni sababu gani zilikuliza🤷🏼‍♀️

Nakuelewa kwamba tunatofautiana tunavyoshighulika na mambo yanayogusa hisia zetu. Lakini hata kama akilia ndio kitu atoke nacho kujivunia Kwa mitandao? Lakini nimekumbuka ni msanii nikaona alichofanya ni sawa.

Kuna vitu vikitokea mwanaume unaumia ndani Kwa ndani ili akili iwe na utulivu wa kutuliza upepo na kufanya maamuzi.

Suala la kujifungua linajulikana sio Lele Mama, Kila mtu anajua hivyo, Kuna uwezekano wakupoteza mmoja au wote wakati wa huo mchakato, lakini haikupelekei mwanaume kulia.

Pamoja na yote, pongezi Kwa wamama wote!
 
Hakuna kitu cha kumliza mwanaume kwenye process yote...

Sasa mwanaume ukilia, nani atayempa nguvu mwanamke ya ku-push?

Hata wanaozalisha huwa wanategemea uwepo wa mwanaume labor room/delivery room ni kwa ajili ya kumsaidia mama atoe mtoto huku akipewa faraja...
Shida yenu ndio hii yaani kwamba mimi Mwanaume siwezi kulia kumbe unaacha sumu mwilini mpendwa panapo hitaji kulia usijizuie liaaa tena ikiwezekana kwa sauti😬😁😁
 
Kwahyo bill na ass analia nn sasa au ndo yele yale ya nandera kusema bill na ass ana IQ kubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
HV s huyu kijana kipindi fln nae alirecodi video akimpiga nandy vidole makalioni ama siyo huyu baadae baada tukio Hilo binti akaonekana akiwa analilia ktk msiba wa rugee kumbe walikuwa wapenzi duh wanawake jmn

Nn maana ake Kama ruge angekuepo hai na kumuoa nandy mnk Ni kwamba Bado nandy Angedelea kugegedwa na billnas tu kiwiziwizi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hawa bana wanataka wabongo muda wote wawe wanawafatilia
Haya sasa lini wataandaa tamasha ili watu wakawaone na mtoto wao huyo

Ova
 
Back
Top Bottom