missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,014
- 7,361
Labda hana[emoji23]Maneno yanavyomtoka utazan hana michepuko [emoji23][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hana[emoji23]Maneno yanavyomtoka utazan hana michepuko [emoji23][emoji16]
Na hapo labda kajifungua kwa kisu.. je ingekua njia ya asili.. kijana si angezimiaMembers mnaomcheka bilnas mnanishangaza sana hivi mnadhani kushuhudia uzazi ni mchezo mchezo kuna aliyewahi kati yenu [emoji2372]
Hapana.. ni kwamba jf ina watu wenye roho mbaya sana.. wao kuona kitu katika u positive ni laanaWajuaji wengi sana humu ndani.
Kiherehere chakeMembers mnaomcheka bilnas mnanishangaza sana hivi mnadhani kushuhudia uzazi ni mchezo mchezo kuna aliyewahi kati yenu [emoji2372]
Wapo mkuuNa hapo labda kajifungua kwa kisu.. je ingekua njia ya asili.. kijana si angezimia
Hiv skuhiz kuna mwanamke anazaa kwa njia ya asili kwel?
😂 Wanaume ndo cc bhn sio kwamba simpendi wife ila me binafas siwez mfanyia unafki uwo wife ati nimpambe kwa maneno mazur status huku nikijua fika kuna michepuko yng ina views status zng siweziiiii 😁Labda hana[emoji23]
Mimi huyo nilie?Shida yenu ndio hii yaani kwamba mimi Mwanaume siwezi kulia kumbe unaacha sumu mwilini mpendwa panapo hitaji kulia usijizuie liaaa tena ikiwezekana kwa sauti😬😁😁
Wanadamu ni wanyama nakwambia tena, nakuwaga mbogo yani, hasa pale pa kupush😂😂,, nawekaga meno kwenye godoro au vyuma vya kitanda,, nikishika nondo za dirisha lazima ipinde,, halafu ndo uone mtu anajipitisha,,, kiukweli huu uzungu bado ila ijayo nina mpango wa kujaribu
Na ndio maana tunashauri kuoa mwanamke anayekuhusudu zaidi. Mwanamke mwenye love na wewe ile ya kudata na wewe hawezi kukusaliti kizembe hata siku moja mbaya zaidi ukiwa companion wake.HV s huyu kijana kipindi fln nae alirecodi video akimpiga nandy vidole makalioni ama siyo huyu baadae baada tukio Hilo binti akaonekana akiwa analilia ktk msiba wa rugee kumbe walikuwa wapenzi duh wanawake jmn
Nn maana ake Kama ruge angekuepo hai na kumuoa nandy mnk Ni kwamba Bado nandy Angedelea kugegedwa na billnas tu kiwiziwizi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Shukrani sana🤩🤩All in all, hands up to all ladies (hata wanyama jinsia ya kike)
Ile process ya kutoa mtoto si mchezo...
Tena Wewe unalia kwa sauti😁Mimi huyo nilie?
😂😂😂😂😂 ofcourse ntaumia mbususu yako inatanuliwa itakuwa sio tamu tena .Tena Wewe unalia kwa sauti😁
Dogo huna adabu kabisa😬😂😂😂😂😂 ofcourse ntaumia mbususu yako inatanuliwa itakuwa sio tamu tena .
Mie mkubwa mwenzioDogo huna adabu kabisa😬
Wakubwa tunajuana kwenye commentMie mkubwa mwenzio
😂😂😂Kwani na wewe ni kibamia🙊😂😂😂😂😂 ofcourse ntaumia mbususu yako inatanuliwa itakuwa sio tamu tena .
Halafu tukiona kipi kipya ? Kipi cha ziada ?Wanaume wanapaswa waone tunavyozaaa Safi bilnenga,Mungu awalindie ndoa yenu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Inategemea, kama nikikutana na bwawa lazma niwe kiba1OO au waliofanyiwa overhaul!😂😂😂Kwani na wewe ni kibamia🙊
Kweli kabisa sema kimeumana😀😀😀Wakubwa tunajuana kwenye comment