Billnass adai kushuhudia mkewe akijifungua, asema ni nusu ya kifo

Billnass adai kushuhudia mkewe akijifungua, asema ni nusu ya kifo

Inategemea, kama nikikutana na bwawa lazma niwe kiba1OO au waliofanyiwa overhaul!
Ile kitu inatanuka na kurudi umbile la awali, nyie ndo mnafanya wadada waombe upasuaji,, ingekuwa kuzaa kunamaliza utamu basi kila mwanamke angezaa mara moja na asiipate mwanaume wa kumrudia lkn tunaona hata wenye watoto 5 bado anatafutwa na madume
 
Ile kitu inatanuka na kurudi umbile la awali, nyie ndo mnafanya wadada waombe upasuaji,, ingekuwa kuzaa kunamaliza utamu basi kila mwanamke angezaa mara moja na asiipate mwanaume wa kumrudia lkn tunaona hata wenye watoto 5 bado anatafutwa na madume
Inategemea kwa kweli, kuna wengine unakuta mzigo umetepeta. Ila wengine udongo mzuri 😂😂😂 ndio kwanza utamu unazidi mo woraaaa!'!!
 
Unaona sasa ndio maana nikaandika bado kinda nani kakudanganya kuzaa kunatanua mbususu,Utukufu wa Mungu uko pale🙏🏽
Hahahah unaona mi kinda sababu makuzi mengi 😂😂😂!!! Ngoja nije DM
 
Wanandoa mnatakiwa mheshimiane sio heshima baada ya kuona eti anajifungua hio ni role yake waje wawe wanaona na sisi tunavyotaihirwa bila ganzi 🙂
 
Wanandoa mnatakiwa mheshimiane sio heshima baada ya kuona eti anajifungua hio ni role yake waje wawe wanaona na sisi tunavyotaihirwa bila ganzi 🙂
Mmmmm tuseme wanaume wa jf wote ni wakurya kukatwa bila ganzi kasoro billnass
 
Unahisi wote ni ‘Wavulana’ kama ‘Wavulana’ wenu wa siku hizi?!
Unapata ujasiri wa kuandika hapa juu ujashuhudia ile process yenyewe billnass kama alijitia kiherehere cha kuingia kwenye chumba cha kujifungulia lazima alie
 
Wajuaji wengi sana humu ndani.
Saaana eti leo wanaume wa humu wote wanajitia majasili eti wa kukatwa govi bila ganzi, ukiangalia vingine ni vivulana tu humu hata ujasili wa kuoa hawana,
 
Back
Top Bottom