Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelewa nilichoandika??baba kukurupuka?Utazaa kwa uchungu ina mhusu nini mwanaume? Mwanaume yake kula kwa jasho.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
We si huwa unaenjoy huo mkuyenge kwa niaba yangu
[emoji23] hahahahaaaaaaWavulana ni wengi kuliko Wanaume.
Nikweli Mkuu muda ni rafiki mzuri sanaTumpe mda aizoee ndoa.
Atakuja na mada Ingine ndoa ikifikia hatua ya kutorekebishika.
Katudharirisha Sana watu wa DarWanaume wa DAR..... mwanaume wa mikoani unapataje ujasiri huu wa kulia lia ovyo
Mmi nilishuhudia kwa mtoto Wangu wa kwanza mwaka 1995 najua kila kituMembers mnaomcheka bilnas mnanishangaza sana hivi mnadhani kushuhudia uzazi ni mchezo mchezo kuna aliyewahi kati yenu [emoji2372]
Shikamooo baba🙏🏽Mmi nilishuhudia kwa mtoto Wangu wa kwanza mwaka 1995 najua kila kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila wanaume wa jf mmejikatia tamaa na maisha hadi sio poa. Stress zitawaua jamani[emoji119][emoji119][emoji119]
Marahaba Nuzulati[emoji120]Shikamooo baba[emoji1431]
Wanamcheka kwasababu wengi wetu hiyo experience tuliishaipitia miaka thelathini iliyopita. Sema tu hatukwa celebrities. Kwahiyo tunapomuona Dogo anavyoweweseka leo tunajiinulia glasi zetu za Konyagi na kucheka kidharaaaaau!!!!Members mnaomcheka bilnas mnanishangaza sana hivi mnadhani kushuhudia uzazi ni mchezo mchezo kuna aliyewahi kati yenu 🤷🏼♀️
Mmmh Mtoto wa shule ya kweli haya uliyoandika 😁Wanamcheka kwasababu wengi wetu hiyo experience tuliishaipitia miaka thelathini iliyopita. Sema tu hatukwa celebrities. Kwahiyo tunapomuona Dogo anavyoweweseka leo tunajiinulia glasi zetu za Konyagi na kucheka kidharaaaaau!!!!
Ruge akifufuka anamla tenaBillnass amesema “Mimi wakati mke wangu anajifungua nilikuwepo hospitali na nilimuona process zote ni kitu ambacho kilinitesa sana niliona ni nusu ya kifo, nililia sana kuna muda mwingine unaona hujui kama atakuwa salama, nimezidisha mapenzi niliyokuwa nayo kwa mwanamke wangu."
wanawake hata mfanyiwe jambo gani hamuachi kutuandama?Maneno yanavyomtoka utazan hana michepuko 😂😁
Halafu ukute wakati anamtazama akijifungua alimrekodi video......Siku Nandy akimzingua video anaiuza kwa Mange kimambiEbu atuondoleee ujinga!
Binafsi kwenda kuangalia naona ni aina mpya ya udharilishaji
Believe me!Mmmh Mtoto wa shule ya kweli haya uliyoandika 😁