Billnass adai kushuhudia mkewe akijifungua, asema ni nusu ya kifo

Billnass adai kushuhudia mkewe akijifungua, asema ni nusu ya kifo

Unapata ujasiri wa kuandika hapa juu ujashuhudia ile process yenyewe billnass kama alijitia kiherehere cha kuingia kwenye chumba cha kujifungulia lazima alie
Una uhakika sijashuhudia?! Ndio maana simshangai ‘Mvulana’ akilia.
 
Una uhakika sijashuhudia?! Ndio maana namshangaa ‘Mvulana’ akilia.
Aaaah wapi wanaume wanakaa nje wakingoja waje waambiwe "tayari kajifungua" na ukute mnawapeleka wake zenu hospital za bure za serikali nan akuruhusu uingie kulee?
 
Aaaah wapi wanaume wanakaa nje wakingoja waje waambiwe "tayari kajifungua" na ukute mnawapeleka wake zenu hospital za bure za serikali nan akuruhusu uingie kulee???
Wewe wasema!
 
Tatizo sio kushuhudia, tumeshaingia na kuona process yote mwanzo Hadi mwisho. Shida ni hapo kwenye kulia sana.
Si kaona ku.ma inavyotanuka kwa hiyo ndo Mana Amelia kwamba atapoteza hamu ya ku.to.mba
 
Wanadamu ni wanyama nakwambia tena, nakuwaga mbogo yani, hasa pale pa kupush😂😂,, nawekaga meno kwenye godoro au vyuma vya kitanda,, nikishika nondo za dirisha lazima ipinde,, halafu ndo uone mtu anajipitisha,,, kiukweli huu uzungu bado ila ijayo nina mpango wa kujaribu
Yaani labor kwa kweli,si pa mchezo.halafu kesho na kesho kutwa jitu linakutukana
 
Billnass amesema “Mimi wakati mke wangu anajifungua nilikuwepo hospitali na nilimuona process zote ni kitu ambacho kilinitesa sana niliona ni nusu ya kifo, nililia sana kuna muda mwingine unaona hujui kama atakuwa salama, nimezidisha mapenzi niliyokuwa nayo kwa mwanamke wangu.

Hiki kizazi cha millennials ni hovyo. What is the point of displaying such extreme emotions for your wife and infant child in the public sphere? Why even do it? Is it because he considers himself a celebrity of some sorts and therefore feels obliged to let the whole world know about his private feelings? Stupid fu.ck!
 
Yaani labor kwa kweli,si pa mchezo.halafu kesho na kesho kutwa jitu linakutukana
Hayo Ni matokeo tu,, ila we wajibika kwa nafasi yako na ktk hili hatuna wa kumtupia ukishabeba mimba tu jiandae kwa pito hilo, tunamkosea aliyetuumba ije kuwa uliyemzaa aua kumzalia,,,
 
Billnass amesema “Mimi wakati mke wangu anajifungua nilikuwepo hospitali na nilimuona process zote ni kitu ambacho kilinitesa sana niliona ni nusu ya kifo, nililia sana kuna muda mwingine unaona hujui kama atakuwa salama, nimezidisha mapenzi niliyokuwa nayo kwa mwanamke wangu.

Mwanaume Wa Dar katika ubora wake

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom