Bima ya afya kutoka jubilee

Bima ya afya kutoka jubilee

Sasa ikija hii Bima ya afya kwa wote itakuwaje au mta merge na nhif?
Kiongozi unaangalia we niwapi unapopata huduma nzuri zaidi na kwa wakati sahihi na ndio maana kabla hujafanya maamuzi unatakiwa ujiridhishe kwanza ndio maana Huwa tunakuelimisha ili ufanye chaguo sahihi.
 
Kiongozi unaangalia we niwapi unapopata huduma nzuri zaidi na kwa wakati sahihi na ndio maana kabla hujafanya maamuzi unatakiwa ujiridhishe kwanza ndio maana Huwa tunakuelimisha ili ufanye chaguo sahihi.
Nilitaka kujua kwamba ikija bima ya afya kwa wote ,nyinyi mtaendelea kubaki na kucompete na hiyo nhif au watafanya kama walivyofanya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa kuingunisha yote na kubaki na miwili tu.? Nimekuuliza kwa kuwa wewe ni mdau wa bima lazima mtakuwa mnashiriki kwenye vikao vinavyoendelea.
 
Ukiona mtu haoni umuhimu wa bima ya afya, ujue hajawahi kupata changamoto ya kuuguliwa au kuugua akatamani auze Hadi Mali zake na asikidhi gharama za matibabu. Miili yetu Haina guarantee, bima ni Kinga muhimu sana, na ukiwa nayo kadi ile unapaswa kutembea nayo popote maana njiani kuna mengi sana.
 
Je nisimpo umwa kwamwaja nzima mnaweza nirejeshea kias chochote au hata 40 % ya mchango wangu
Maana nyepesi ya bima ya afya
, nikuchangia gharama zamatibabu kwa wale watakao umwa.

Wewe hata usipo umwa kwa miaka 10 , pesa Yako ililipia matibabu ya Wana bima wengine. Usipo umwa wewe au kuuguliwa na wategemezi , furahia kuchangia matibabu ya wengine. IPO siku nawewe za kwao sitakulipia.
 
Inpatient bei gani
Outpatient bei gani
Dental

Kulazwa mwisho siku ngapi?
 
Bima yetu haikuhesabii siku za kulazwa kiongozi, piga namba ya simu niliyoitoa na tupange appointment nitakuja kukuelezea kila kitu na utaelewa
 
Ungeweka kila kitu wazi ili usijieleze sana...

Mf 440,000
Nitatibiwa hadi kiasi gani kwa mwaka kwa outpatient?
MRI, CT Scan, Operation
Dental, Optometry etc

Nina hakika huwa mna bronchures zinazoelezea kila kitu...

Usipende pigiwa simu wakati uwezo wa kueleza upo
 
Humu siwezi kuattach picha walionitafuta kwa hiyo namba walielewa vizuri tu, na ipo watsap. Kama ni muhitaji kweli utanitafuta
 
Humu siwezi kuattach picha walionitafuta kwa hiyo namba walielewa vizuri tu, na ipo watsap. Kama ni muhitaji kweli utanitafuta
Mkuu unajitahidi sana kuelezea ila sijui kasumba tuliyoumbiwa tu.
 
Watu humu hawasomi msg zilizotangulia, wakati kila kitu nimefafanua kwa uzuri kabisa, na namba ya simu nimetoa, lkn mtu anataka aelezewe kila anachotaka kufahamu humu, kama kweli ni muhitaji utakuja inbox kwa namba niliyoitoa hapo, mi nitakupigia nitakutumia taarifa zote watsap utazipitia kwa uzuri, ukinihitaji nije kufafanulie zaidi nipo tayari, sitaki mtu uwe kama unanunua matunda tu, unatakiwa ueleww ili unapoamua kufanya maamuzi ufanye kwa usahili kabisa.

Kama huna Imani karibu ofisini kwetu, ukifika nipigie na tutaonana tutaongea vizuri kabisa.
 
Watu humu hawasomi msg zilizotangulia, wakati kila kitu nimefafanua kwa uzuri kabisa, na namba ya simu nimetoa, lkn mtu anataka aelezewe kila anachotaka kufahamu humu, kama kweli ni muhitaji utakuja inbox kwa namba niliyoitoa hapo, mi nitakupigia nitakutumia taarifa zote watsap utazipitia kwa uzuri, ukinihitaji nije kufafanulie zaidi nipo tayari, sitaki mtu uwe kama unanunua matunda tu, unatakiwa ueleww ili unapoamua kufanya maamuzi ufanye kwa usahili kabisa.

Kama huna Imani karibu ofisini kwetu, ukifika nipigie na tutaonana tutaongea vizuri kabisa.
ungetoa ufafanuzi unaoeleweka hapa ingesaidia kupunguza maswali ila naona unasisitiza tu upigiwe kwani haiwezekani au ni lazima mpaka upigiwe ndiyo utoe maelezo.
 
Hii matibabu yake ni hapa tz tu, kimatatifa inabidi unipe umri wake nikupe gharama kamili ambazo zipo kwenye daraja nne, Kisha wewe utaangalia lipi lipo ndani ya bajeti yako.

Kwa ufafanuzi vizuri na zaidi nicheki kupitia namba niliyoitoa hapo
Ungeweka chart nadhani ingesaidia zaidi, aama utoe maelezo ya kina kwa vifurushi vyote, other wise marketing strategy yako itakwama.
Ni mtazamo tu...

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
OUT patient kwa mwaka hutakiwi kuzidi milioni 2
Ambapo ukipiga MRI 2 tu unakuwa unakaribia maliza
 
OUT patient kwa mwaka hutakiwi kuzidi milioni 2
Ambapo ukipiga MRI 2 tu unakuwa unakaribia maliza
Inategemea na package uliyonunua na ndio maana nimewaambia zipo katika levels tofauti tofauti mteja unalipia kulingana na bajeti yako ambapo zipo zinazoishia level ya 1-4 ambapo gharama zake zinatofautiana kuanzia level ya kwanza Hadi hiyo yanne

Na kuna yenye madaraja matano pia gharama zinatofautiana kwahyo ni wewe kuangalia uhitaji wako ni upi hizo zote unapata matibabu ndani na nje ya nchi katika hospitali zote Bila ya usumbufu wowote.

Kwahyo ni wewe kuangalia bajeti yako inatoshea wapi, na ndio maana nimesema kama muhitaji piga namba hiyo hapo ama unaweza fika ofisini kwetu na nikakupa maelezo yote kwa kirefu zaidi.

Karibuni sana

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Inategemea na package uliyonunua na ndio maana nimewaambia zipo katika levels tofauti tofauti mteja unalipia kulingana na bajeti yako ambapo zipo zinazoishia level ya 1-4 ambapo gharama zake zinatofautiana kuanzia level ya kwanza Hadi hiyo yanne

Na kuna yenye madaraja matano pia gharama zinatofautiana kwahyo ni wewe kuangalia uhitaji wako ni upi hizo zote unapata matibabu ndani na nje ya nchi katika hospitali zote Bila ya usumbufu wowote.

Kwahyo ni wewe kuangalia bajeti yako inatoshea wapi, na ndio maana nimesema kama muhitaji piga namba hiyo hapo ama unaweza fika ofisini kwetu na nikakupa maelezo yote kwa kirefu zaidi.

Karibuni sana

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kwa hitimisho ni kuwa bado Jubilee ni ghali sana kuliko NHIF
 
Kwa hitimisho ni kuwa bado Jubilee ni ghali sana kuliko NHIF
Hiyo ni kweli lkn kwa ubora tupo vizuri zaidi na inakupa uwanda Mpana zaidi wa kupata huduma popote utakapoenda.

Kwahyo ni wewe mwenyewe kujiangalia kipi Bora zaidi unachohitaji kwa ajili yako na familia yako.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni kweli lkn kwa ubora tupo vizuri zaidi na inakupa uwanda Mpana zaidi wa kupata huduma popote utakapoenda.

Kwahyo ni wewe mwenyewe kujiangalia kipi Bora zaidi unachohitaji kwa ajili yako na familia yako.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Sababu nimejaribu angalia outpatient ni ndogo sana 1.5mil max kwa mwaka ni ndogo sana.

NHIF nikilipa kifurushi kikubwa cha 576,000
Natibiwa bila kusumbuliwa hapo naepuka Agakhan pekee ila hosptal zote naenda....

Jaribuni weka ukweli ili mtu asijekata afu akaingia gharama
 
Back
Top Bottom