Bima ya afya kwa wote imetajwa kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025

Bima ya afya kwa wote imetajwa kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025

Mimi sitaki siasa sio mwanasiasa ila hiyo statement imekaa kisiasasiasa. Mwanasiasa mjanja kikanjanja sana.

..."Kuimarisha Mfumo wa Bima ya Afya Nchini. Ikiwemo Mifuko ya Bima za Afya (NHIF & ICHF) Ili kufikia lengo la serikali la kuwa na Bima ya Afya kwa wananchi wote". ...

Haisemi clear lini na wapi. Hilo lengo la serikali ni lini? Viability
Yani mimi naona kwa statement hiyo wanataka wote tuwe na bima either NHIF au CHF ambapo kwa NHIF ina package zake na CHF ni elfu 30 iliyoboreshwa, ko so kwamba watatupa bure bima, bali watatuhimiza tukate bima...
Mtazamo tuu
 
Kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuweka taarifa ikionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 hadi 2020 imeweka bayana kipengele cha Bima ya Afya kwa wote.

Ilani hiyo chini ya Jemedari wetu mbeba maono Dr. John Pombe Magufuli inasomeka kama ifuatavyo:-

1. HUDUMA ZA JAMII
Zimeanzia kutajwa kwenye ukurasa wa 124 - 150

2. HUDUMA ZA AFYA
Zimeanza kutajwa Ukurasa wa 131

3. BIMA YA AFYA KWA WOTE
Imetajwa Ukurasa wa 136 (e)
Nayo inasomeka kama ifuatavyo naomba kunukuu;

"Kuimarisha Mfumo wa Bima ya Afya Nchini. Ikiwemo Mifuko ya Bima za Afya (NHIF & ICHF) Ili kufikia lengo la serikali la kuwa na Bima ya Afya kwa wananchi wote".

Kusema Bima ya Afya kwa wote ni kauli ya jukwaani ni uongo mkubwa tuikemee kwa nguvu zote.

USHAURI
Kwasababu JF kuna wataalamu wa kila fani ni wakati sasa wa kuishauri Serikali namna ya kufikia lengo hilo. JF imekuwa ikiisaidia Serikali kwenye maeneo mengi. Ni wakati sasa tuirudishe JF ya miaka ileeeee! The Home of Great Thinkers.

Karibuni tujadiliane.

Queen Esther
My Queen kumbe ulivyopotea ulikwenda library kupekua ?
 
Mimi sitaki siasa sio mwanasiasa ila hiyo statement imekaa kisiasasiasa. Mwanasiasa mjanja kikanjanja sana.

..."Kuimarisha Mfumo wa Bima ya Afya Nchini. Ikiwemo Mifuko ya Bima za Afya (NHIF & ICHF) Ili kufikia lengo la serikali la kuwa na Bima ya Afya kwa wananchi wote". ...

Haisemi clear lini na wapi. Hilo lengo la serikali ni lini? Viability
Tulia upate bima kjana kelele za nini
 
My Queen kumbe ulivyopotea ulikwenda library kupekua ? Hahaaaa! Nilikumiss sana!
Hahaaa!!
Nilikumiss 😂. Karibu tuijenge nchi yetu hasa kwa ndg zetu wasio na uwezo wa kuchangia Bima Binafsi.

Queen Esther
 
Yani mimi naona kwa statement hiyo wanataka wote tuwe na bima either NHIF au CHF ambapo kwa NHIF ina package zake na CHF ni elfu 30 iliyoboreshwa, ko so kwamba watatupa bure bima, bali watatuhimiza tukate bima...
Mtazamo tuu
Vyovyote itakavyokuwa muhimu kuwa na Bima ya Afya! Iwe Private au Public! Iwe kwa Formal Sector au Informal Sector. Kumbuka watu wote hawaugui siku moja.

Queen Esther
 
Yaan uweke kwenye ilani huku haujui utaitekeleza vipi?

Mnapenda namba lakini hamjui hesabu.

Ukiangalia namna hizi ilani zetu zinavyoandaliwa,ni upuuzi mtu.

Ukiisoma hii ya CCM hata ile ya CHADEMA unabaki kushangaa tu.
Ilani sio Biblia au Quran!
Queen Esther
 
Back
Top Bottom