Bima ya Afya kwa Wote (Universal Health Care)Rais Samia atoa TZS 149BL

Bima ya Afya kwa Wote (Universal Health Care)Rais Samia atoa TZS 149BL

Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Bima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,

" Hakuna kama Samia "


Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.

Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,

Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
View attachment 2004380
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
 
Bima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,

" Hakuna kama Samia "


Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.

Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,

Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
View attachment 2004380
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Kaziiendelee
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Kama kuna jambo Rais Samia atakumbukwa kwalo basi ni hili
 
Kaziiendelee
Bima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,

" Hakuna kama Samia "


Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.

Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,

Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
View attachment 2004380
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
Bima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,

" Hakuna kama Samia "


Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.

Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,

Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
View attachment 2004380
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
 
Bima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,

" Hakuna kama Samia "


Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.

Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,

Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
View attachment 2004380
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
149 bilioni katoa wapi
Au ni fedha za serikali?
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Back
Top Bottom