CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Kazi indelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi indelee
Bima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,
" Hakuna kama Samia "
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.
Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,
Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
View attachment 2004380
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Hii pesa katoa mfukoni kwake?Niliwaambia Samia sio mtu wa mchezomchezo,
Mama anahesabu kali Sana,
Haya anayoyafanya wenzake wote waligwaya,
Samia atavunja rekodi huyu Mama,
Sisi tunamwombea heri kwa Allah,
View attachment 1946062
nzuri sana hii,Niliwaambia Samia sio mtu wa mchezomchezo,
Mama anahesabu kali Sana,
Haya anayoyafanya wenzake wote waligwaya,
Samia atavunja rekodi huyu Mama,
Sisi tunamwombea heri kwa Allah,
View attachment 1946062
Yatafanyika tuMnasema bima kwa wote mbona ndugu zetu bado wanalipa pesa tena nyingi kwa Afya! Wanatoa card za bima bure?
Wakikopa waseme pia Rais Samia amekopa XX amount of money kutoka...!!Bima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,
" Hakuna kama Samia "
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.
Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,
Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
View attachment 2004380
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Ndio ilivyo,Wakikopa waseme pia Rais Samia amekopa XX amount of money kutoka...!!
iriBima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,
" Hakuna kama Samia "
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.
Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,
Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
View attachment 2004380
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Kazi iendeleeBima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,
" Hakuna kama Samia "
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.
Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,
Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
View attachment 2004380
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Maneno na vitendo ni vitu viwili tofauti tusubiri tuone vimekamilika kwanza ndio tupongeze, mpaka 2030 mbona ni mbali sana !!?? Bandugu tusubiri tutasifu tu muda ukifika .Bima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,
" Hakuna kama Samia "
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.
Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,
Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
View attachment 2004380
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Wazo zuri sana mkuuSerikali igharamie miundombinu,mishahara,utawala,wataalamu.wadau wameshatoa Maoni kwamba kila mwananchi akitoe elfu 5,000 kwa mwaka tutapata Trilioni 3 zinatosha Sana kwa kila mtu kuwa na bima bila mzigo mkubwa kwa.serikali.
Tanzania iko salama sana chini ya Rais SamiaBima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,
" Hakuna kama Samia "
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.
Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,
Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
View attachment 2004380
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Actually tozo ingeenda kwenye universal health care usingesikia watu wanalalamika hata kidogo. Bahati mbaya wanakusanya, then wachche wenye midomo mipana wanazitafuna.Hela ndogo sana ukilinganisha na zile ambazo wanakwapuaga!
Kwa hesabu za Tozo tu hio pesa ni ya miezi 6 tu ya Tozo za miamala
Bwana Lameki anasomeshea vijana wake Feza BoyzActually tozo ingeenda kwenye universal health care usingesikia watu wanalalamika hata kidogo. Bahati mbaya wanakusanya, then wachche wenye midomo mipana wanazitafuna.