Mtoto wa Mama Samia
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 772
- 392
14|10|2021Kazi iendelee...
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu alidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo la " Bima ya Afya kwa Wote "ni lake Watanzania bila kujua kuwa alilidukua toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya " tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 231.7M kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22 hapa nataka nawale wachache waliosalia Chadema na vyama vingine vya ACT, NCCR, CUF waje CCM kuungana na Mama Samia Suluhu katika kuwaletea Watanzania maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno Mama Samia Suluhu anafanya kwa vitendo.
NB, Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo.
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Uko sahihi 100%Only that, mother anatakiwa akaze kwenye ufuatiliaji. CLOSE FOLLOW UP ndiyo maana ya Serikali. Tangu hela ilipopokelewa, inapoanza kutumika na mradi unapokamilika. Is value for money there?
If value for money is there, hakuhitaji maneno na madocument meengi. Mradi unajieleza. Mama inabidi akazane kwenye eneo hili. Wapigaji are back on the stage. Saa zingine wanaandaa mihitasaei kabisa kabla hata hela haijadumbukia.
Kaziindelee kwa kasi & wekedi zaidiYote yanayofanywa na CCM yalishaimbwa na Upinzani
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,Yote yanayofanywa na CCM yalishaimbwa na Upinzani
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿Kazi iendelee...
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu alidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo la " Bima ya Afya kwa Wote "ni lake Watanzania bila kujua kuwa alilidukua toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya " tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 231.7M kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22 hapa nataka nawale wachache waliosalia Chadema na vyama vingine vya ACT, NCCR, CUF waje CCM kuungana na Mama Samia Suluhu katika kuwaletea Watanzania maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno Mama Samia Suluhu anafanya kwa vitendo.
NB, Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo.
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
GoodRais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,
miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000
Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
Good👇🏿👇🏿👇🏿
Miezi sita ya Rais Samia,
Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona
#KAZIIENDELEE
Unaendaje ccm KWa mfano, wataenda hao ambao shibe kwao ni kipaumbele, lakini wale wanaoliangalia Taifa KWa maslahi mapana zaidi kwenda huko Mara mia ukabaki ukabaki bila chama, haki na usawa ni KILA kitu katika taifa mengine yanafuataKazi iendelee...
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu alidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo la " Bima ya Afya kwa Wote "ni lake Watanzania bila kujua kuwa alilidukua toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya " tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 231.7M kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22 hapa nataka nawale wachache waliosalia Chadema na vyama vingine vya ACT, NCCR, CUF waje CCM kuungana na Mama Samia Suluhu katika kuwaletea Watanzania maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno Mama Samia Suluhu anafanya kwa vitendo.
NB, Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo.
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Kampeni za kumnadi Samia zinapamba moto.Jitahidini sana maana mtavunaKazi iendelee...
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu alidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo la " Bima ya Afya kwa Wote "ni lake Watanzania bila kujua kuwa alilidukua toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya " tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 231.7M kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22 hapa nataka nawale wachache waliosalia Chadema na vyama vingine vya ACT, NCCR, CUF waje CCM kuungana na Mama Samia Suluhu katika kuwaletea Watanzania maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno Mama Samia Suluhu anafanya kwa vitendo.
NB, Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo.
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
😍😍Kazi iendelee...
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu alidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo la " Bima ya Afya kwa Wote "ni lake Watanzania bila kujua kuwa alilidukua toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya " tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 231.7M kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22 hapa nataka nawale wachache waliosalia Chadema na vyama vingine vya ACT, NCCR, CUF waje CCM kuungana na Mama Samia Suluhu katika kuwaletea Watanzania maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno Mama Samia Suluhu anafanya kwa vitendo.
NB, Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo.
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Asante sana SSSHKazi iendelee...
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu alidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo la " Bima ya Afya kwa Wote "ni lake Watanzania bila kujua kuwa alilidukua toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya " tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 231.7M kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22 hapa nataka nawale wachache waliosalia Chadema na vyama vingine vya ACT, NCCR, CUF waje CCM kuungana na Mama Samia Suluhu katika kuwaletea Watanzania maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno Mama Samia Suluhu anafanya kwa vitendo.
NB, Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo.
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Rais Samia ni moto mkali, Hii haijawahi kutokea
Mambo ni Fire na Rais Samia,Bima ya Afya kwa Wote " Universal Health Care " Rais Samia atoa TZS 149BL
Bima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya,
" Hakuna kama Samia "
Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu aliidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo|agenda ya Bima ya Afya kwa Wote au " Universal Health Care " ni lake Watanzania bila kujua kuwa Lissu alilidukua tu toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita.
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya na kutekeleza ilani ya CCM tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 149BL kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22.
Mpango huu utatekelezwa kwa awamu awamu hadi kufikia mwaka 2030|35 kila Mtanzania atakuwa na UHC huku katika awamu hii ya kwanza UHC itazihusu kaya masikini zinazokadiriwa kufikia 20% ya kaya zote 12.827M za Tanzania,
Kwa kasi hii Rais Samia nataka nawale wachache waliosalia kule Chadema au vyama vingine vidogo vidogo vya ACT, NCCR, CUF wote waje CCM ili tuungane na Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania hawa maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno kwenye Ilani zao Mama Samia Suluhu Hassan anafanya kwa vitendo.
Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo hivi "Nani kama Samia".
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Nini cha Uongo mkuu?CCM ni waongo, ukiwaamini umekwisha, washadangaya watanzania vya kutosha.
Hahaha CHADEMA mnateseka sanaCCM ni waongo, ukiwaamini umekwisha, washadangaya watanzania vya kutosha.